DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 13,895
- 31,141
umetumia clomiphene?Natumaini mu wazima hata kama sio mia kwa mia lkn pumzi ipo.Mwenzenu nina shida hasa inayonikosesha furaha ya maisha maana nimeolewa mwaka Wa tatu sasa sijafanikiwa kupata mtoto, sijawahi kutoa mimba ila nimekunywa dawa nyingi za mitishamba bila mafanikio...