Nasumbuka na uzazi

Natumaini mu wazima hata kama sio mia kwa mia lkn pumzi ipo.Mwenzenu nina shida hasa inayonikosesha furaha ya maisha maana nimeolewa mwaka Wa tatu sasa sijafanikiwa kupata mtoto,sijawahi kutoa mimba ila nimekunywa dawa nyingi za mitishamba bila mafanikio.Mwaka Jana mwishoni nilienda hospitali wakagundua nilikuwa na fungus kwenye kizazi na mirija yote ilikuwa imeziba,walinipa dawa za kutibu iyo fangas na niliona mabadiliko na pia walinizibua mirija nayo pia niliona mabadiliko.Sasa ni miezi mitano imepita bado sijashika mimba,sasa bas najua humu kuna madoctor au wahanga ambao waliwahi kupitia hali kama yangu Kwa kweli naomba msaada wenu.natanguliza shukrani zangu za dhati

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana Abbitto .

Miezi mitano bado ni michache kwa wewe kupata wasiwasi hata kama umepona.Hivyo endelea kusubiria.Wataalamu wanasemaga mtoto atakuja tuu akitaka kuja, hivyo usipanick wala kuwa na mawazo sana utapata mwanao.Hakikisha mnafanya yale mambo kila unapoweza usisubirie hadi pale unapohisi wewe(au kuona) kuwa upo kwenye siku za hatari.Usimpimie :D:D

Pili, muombe na mmeo apime, na muende wote kupima.Ikiwezekana wewe ndiye uamue mnaenda kupima wapi;Nadhani umenielewa kwanini nimeshauri wewe ndiye uamue wapi pa kuchukulia vipimo...

La msingi usistress; ndugu/majirani/marafiki wanaweza wakawa wanauliza sana kuhusu mtoto na pengine wengine wanatoa kauli zisizo sahihi ila cha msingi usiwaze sana wanasema nini, furahia maisha, relax Abbitto .

I pray that mfanikiwe, mjaliwe hata mapacha.Sisi tunasubiria mrejesho hapa.Ukileta mrejesho utaniambia unaitwa mama nani.
 
Pole sana Abbitto .

Miezi mitano bado ni michache kwa wewe kupata wasiwasi hata kama umepona.Hivyo endelea kusubiria.Wataalamu wanasemaga mtoto atakuja tuu akitaka kuja, hivyo usipanick wala kuwa na mawazo sana utapata mwanao.Hakikisha mnafanya yale mambo kila unapoweza usisubirie hadi pale unapohisi wewe(au kuona) kuwa upo kwenye siku za hatari.Usimpimie :D:D

Pili, muombe na mmeo apime, na muende wote kupima.Ikiwezekana wewe ndiye uamue mnaenda kupima wapi;Nadhani umenielewa kwanini nimeshauri wewe ndiye uamue wapi pa kuchukulia vipimo...

La msingi usistress; ndugu/majirani/marafiki wanaweza wakawa wanauliza sana kuhusu mtoto na pengine wengine wanatoa kauli zisizo sahihi ila cha msingi usiwaze sana wanasema nini, furahia maisha, relax Abbitto .

I pray that mfanikiwe, mjaliwe hata mapacha.Sisi tunasubiria mrejesho hapa.Ukileta mrejesho utaniambia unaitwa mama nani.
Hahaaa thanx mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu sijui ni wanaume wote au ni yy tu yani tukido ataachia kagoli kamoja ila tukicheza tena awezi kufunga goli na tukisema Kwa mfano tufululize kucheza kama Leo atafunga goli kesho atalivutia Kwa mbali siku zifuatazo hafungi kabisa nakumbuka kuna siku tulipangiwa na doc za Kudo aliweza sijui mbili nyingine hola sasa je na nyie midume mko hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app

Hii ni tatizo,shida itakuwa iko kwake,aende naye akapime,Pole sn.
 
Tapeli wewe unataka kumpiga dada wa watu hela kupitia shida zake.Hizo Dawa zako zimethibitishwa na mamlaka gani? Una elimu ya utabibu pamoja na vyeti vya kuthibisha hilo?
*TATIZO LA UGUMBA*

Tatizo la ugumba linatibika nimeona ni bora nielezee hapa kwa faida ya wote huenda hata wewe au ndugu yako unasumbuliwa na tatizo hili, kwa kifupi tatizo hili ni kubwa sana kwa wanawake na wanaume takriban 30%_40%ya tatizo hili la Ugumba linawakumba wanaume na 40%_50% huwakumba wanawake wakati 10%-30% zilzobak ya tatizo hili husababishwa kwa pamoja na matatzo Kati ya mwanamme na mwanamke,
*UNAJUA MAANA YA UGUMBA??*
Ugumba ni Ile hali ya mwanamme /mwanamke kupoteza uwezo wa kutungisha au kubeba mimba
hii kwa mwanaume tunasema anashindwa kutungisha mimba ilhal anakutana kimwili na mkewe pasipo kutumia kizuizi na mkewe pia hatumii vizuizi vya mimba, Hali huwa hivi kwa upande wa mwanamke naye huwa anashindwa kubeba mimba ilhal hatumii dawa za Uzazi wa mpango ambapo pia anakutana na mumewe Bila Kinga ila anashindwa kupata ujauzito
katika familia 5 zinazofanya mapenzi katika wakati muafaka wa OVULATION wakiwa na malengo ya kupata mtoto ni familia moja tu ndiyo inafanikiwa kupata mtoto,
AINA ZA UGUMBA
PRIMARY INFERTILITY
Hii ni aina ya kwanza ya Ugumba ambayo yenyewe inawahusisha watu ambao hawakuwahi kubahatika kupata mtoto hata mmoja yan mwanaume anajitahid kutungisha mimba huku mwenza wake akiwa hatumii kizuizi mimba Lakin hafankiw na huku pia mwanamke anajitahid kubeba mimba ilhal hatumii dawa za Uzazi wa mpango Lakin hafankiw
SECONDARY INFERTILITY
Hii ni aina ya Ugumba ambayo hutokea baadae yani ni baada ya mwanamke/mwanamme kuzaa/kuzalisha Mara Moja maishani mwao na hawafanikiwi kupata mtoto mwingne
SABABU/VYANZO VYA UGUMBA
UTOAJI WA MIMBA
TATIZO LA HORMONE IMBALANCE (kutokuwa na uwiano mzuri wa homoni kwa mwanamke)
MATUMIZI YA DAWA/SINDANO ZA UZAZI WA MPANGO
KUUGUA UGONJWA WA FANGASI UKENI KWA MUDA MREFU (VAGINAL CANDIDIASIS)
KULEGEA KWA SHINGO YA KIZAZI
KUWA NA MSONGO WA MAWAZO
MATATIZO YA UZAZI OVARIES KUSHINDWA KUTOA MAYAI
KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI
MATUMIZI YA POMBE/BANGI /SIGARA NI HATARI
KUTOKWA NA UCHAFU SEHEMU ZA SIRI WENYE HARUFU MBAYA
KUSUMBULIWA NA MAUMIVU YA TUMBO WAKATI WA HEDHI KWA MUDA MREFU
KUPATA MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA NA KUWA NA MAUMIVU MAKALI CHINI YA KITOVU KWA MUDA MREFU
MWILI KUWA MNENE KUPITA KIAS
KUWA NA MAGONJWA YA ZINAA, KAMA KISONONO, PID, GONO NK
MWANAUME KUWA NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
KUZIBA KWA MIRIJA YA KUPITISHIA MANII
KUWA NA MBEGU CHACHE (uchache wa shahawa)
DALILI ZA UGUMBA
kutokushika mimba katika siku za hatari
siku zako za hedhi kutokua katika mpangilio yani zinapishana na kubadilka tarehe kila wakati
kupata Maumivu makali chini ya tumbo Mara kwa Mara
mwili kuwa na manyoya kifuani au kuwa na ndevu nyingi
kushindwa kushiriki tendo la ndoa/kutokufurahia tendo la ndoa kwasababu unapata maumivu makali
kutokuwa na MSISIMKO
kupata Maumivu makali chini ya kitovu upande wa kulia au kushoto kwa ndani
kutokuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa Zaidi ya Mara moja
uume kushindwa kusimama
kufika Kileleni mapema
kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
*MATIBABU NA JINSI YA KUJIKINGA*
Matibabu ya Ugumba huhusisha wenzi wote wawili na yanahtaji uvumilvu na uelewa kwasababu yanaweza kuchukua muda mrefu kuona matokeo,
matibabu haya hufanyika kwa kuangalia majibu kutoka ktk vipimo mbalimbali
Ni vizuri mtu kujikinga na tatizo hili kutokana na athari zake kuwa kubwa,
*NJIA ZA KUJIKINGA NA TATIZO HILI*
kuondoa mawazo
kujikinga na magonjwa mbalmbal kama vile fangas, uti nk
acha kutumia dawa za Uzaz wa mpango
jitahd uwe unachuguza vizuri afya yako
mwanaume acha kutumia viagra na dawa za kemikal
jiepushe na kansa na kisukar
zingatia afya bora kwa kula mlo kamili
punguza mwili
acha kutumia dawa za kulevya na unywaji wa pombe

Kwa faida ya watu wengine share post hii kwa magroup mengine

Whats app / call
+255 655 821 550

Pia usikose kufuatilia mada zangu kuhusu matibabu yake. Au kama tayari umeathirika waweza kunitafuta ili nikupatie msaada piga

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pole sanaa S
Natumaini mu wazima hata kama sio mia kwa mia lkn pumzi ipo.Mwenzenu nina shida hasa inayonikosesha furaha ya maisha maana nimeolewa mwaka Wa tatu sasa sijafanikiwa kupata mtoto,sijawahi kutoa mimba ila nimekunywa dawa nyingi za mitishamba bila mafanikio.Mwaka Jana mwishoni nilienda hospitali wakagundua nilikuwa na fungus kwenye kizazi na mirija yote ilikuwa imeziba,walinipa dawa za kutibu iyo fangas na niliona mabadiliko na pia walinizibua mirija nayo pia niliona mabadiliko.Sasa ni miezi mitano imepita bado sijashika mimba,sasa bas najua humu kuna madoctor au wahanga ambao waliwahi kupitia hali kama yangu Kwa kweli naomba msaada wenu.natanguliza shukrani zangu za dhati

Sent using Jamii Forums mobile app

pole sanaa Sis, je bwanashemeji yupo vzuri? amepima sperm count? unaweza ukawa unahangaika wewe kumbe bro anashida ya kutoa mbegu bora. Usikate tamaa miaka mitatu bado ni michache ukizingatia hii ni zawadi kutoka kwa M.Mungu humpa amtakaye na kwa muda autakae yeye.
 
mamii anza kula vyakula vya kulance hormone kwanza, mle wote yeye na wewe.

kula korosho, mbegu za maboga kwa sana kabla ya mzunguko. Then uwe unakula mihogo na viazi tumia hata kwa kunywea chai. vitakusaidia. malimao pia wakati unaovulate husaidia kuboresha PH kwenye vagina, unajua vi sperm vingine vikikutana na acidic eviroment vinakufa, vinashidwa kusafiri mpka yai lilipo. so drink lemon water itenengeze Ph nzuri kiping cha ovulation. hakika itakusaidia. pIA HAKIKISHA UNAPATA LISHE BORA WEWE NA MMEO.
umemshauri vyema ila vyakula vya sukari nyingi kama hivyo ulivyotaja ndivyo vinasababisha mwili umwage insuline kwa wingi na insuline ikiwa juu kwa muda mrefu inasababisha mvurugiko wa homone, mbada la wake ni kula vyakula ambavyo vinasisimua mwili kidogo ili mwili usimwage insulin kwa wingi pia isiwe juu kwa wingi kwa muda mrefu akifanya hivyo homone nyingi zitakaa sawa ambako kutamletea mafanikio makubwa kama tatizo lake ni la homone
 
Halafu sijui ni wanaume wote au ni yy tu yani tukido ataachia kagoli kamoja ila tukicheza tena awezi kufunga goli na tukisema Kwa mfano tufululize kucheza kama Leo atafunga goli kesho atalivutia Kwa mbali siku zifuatazo hafungi kabisa nakumbuka kuna siku tulipangiwa na doc za Kudo aliweza sijui mbili nyingine hola sasa je na nyie midume mko hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
awali ya yote nirudi kukupa pole yote hayo ni matatizo sasa yawezekana ni tatizo la kisaikolojia ama upande mwingine , kikubwa ni kumshauri vyema kusuhu kula, kulala, kupumzika na jitahidi kumpunguzia mawazo ka inawezekana alafu nawe uwe mbunifu maana yawezekana mwenzako anaweza jaribisha mahala mara akafunga 3-5, so jiangalie naweweee na jaribu kuangalia wakati mnaanza mahusiano mlikuwa hivyooo?
Kamwoneni mtaalamu ninyi nyote ukija ukieleza hapa tuuuu pasipo kufanyia kazi yale tukushauriyo sidhani ka utajenga
 
Kutokana na maelezo yako,we uko vizuri hata hospitali walichokonoa bure mirija yako ya uzazi;tatizo liko kwa mwanaume,atakuwa na uchache wa mbegu (low sperm) kwa kuthibitisha hilo naye aende hospitali akapimwe, asiwe mbishi ili apewe mchanganuo wa lishe na vitu vingine ili atimize lengo.Suala la kupata mtoto ni wewe na yeye,kwa hiyo pambaneni.
 
Natumaini mu wazima hata kama sio mia kwa mia lkn pumzi ipo.Mwenzenu nina shida hasa inayonikosesha furaha ya maisha maana nimeolewa mwaka Wa tatu sasa sijafanikiwa kupata mtoto,sijawahi kutoa mimba ila nimekunywa dawa nyingi za mitishamba bila mafanikio.Mwaka Jana mwishoni nilienda hospitali wakagundua nilikuwa na fungus kwenye kizazi na mirija yote ilikuwa imeziba,walinipa dawa za kutibu iyo fangas na niliona mabadiliko na pia walinizibua mirija nayo pia niliona mabadiliko.Sasa ni miezi mitano imepita bado sijashika mimba,sasa bas najua humu kuna madoctor au wahanga ambao waliwahi kupitia hali kama yangu Kwa kweli naomba msaada wenu.natanguliza shukrani zangu za dhati

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna doctor mmoja kiboko ya hii mambo kwa wamama. Acha nitafute namba nikutumie PM
 
Halafu sijui ni wanaume wote au ni yy tu yani tukido ataachia kagoli kamoja ila tukicheza tena awezi kufunga goli na tukisema Kwa mfano tufululize kucheza kama Leo atafunga goli kesho atalivutia Kwa mbali siku zifuatazo hafungi kabisa nakumbuka kuna siku tulipangiwa na doc za Kudo aliweza sijui mbili nyingine hola sasa je na nyie midume mko hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa tayari pana shaka, ndoa zina changamoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokana na maelezo yako,we uko vizuri hata hospitali walichokonoa bure mirija yako ya uzazi;tatizo liko kwa mwanaume,atakuwa na uchache wa mbegu (low sperm) kwa kuthibitisha hilo naye aende hospitali akapimwe, asiwe mbishi ili apewe mchanganuo wa lishe na vitu vingine ili atimize lengo.Suala la kupata mtoto ni wewe na yeye,kwa hiyo pambaneni.
Asante kwa ushaur

Sent using Jamii Forums mobile app
 
awali wa yote mkuu jitahidi upate majibu kwa upande wapili then jitahidi mtafuta huyu mtu popote pale
Dr Boaz Mkumbo labda anaweza kukusaidia chochote,sina nia ya kibiashara wala sina maslahi na daktari huyo ila kwa vile nimemsoma na kufuatilia elimu yake nimejifunza mengi sana na naamini yanaweza kuwa na matokeo chanya na Mungu akiwa pamoja nanyi, huyo unaweza mcheki kwenye mitandao ya kijamii na youtube
Nakazia.
 
Fungus ili kupona inachukua miaezi 6 mpaka mwaka mzima kupona

Hapo Bado hypothalmo pituitary ovarian axis ikae sawa

Don't worry endelea na dawa after one year ndo tufanya assessment
 
Hapo kwenye limao sikua najua thanx

Sent using Jamii Forums mobile app
yaani inabidi ujikakague kwanza kama uvolation unapata, ule uteute kama egg whites unapata,hakikisha kwanza unaovulate ndo uendelee na mengine, lemon water inasaidia saaana,

magimbi, mihogo yaani hizi njia za asili kabisa, ule kabla hujapata ovulation kwa wingi, ila pia punguza kumuwaza huyo mtoto wakati unaendelea na Lishe bora utashangaa kipenzi.

halafu acha kabisa ile ya kujisafisha kwenye k huko unaweka mavidole sijui, yanaondoa bacteria wazuri wote walioko huko. inasababisha ugumba kujisafisha kwa style hiyo, sawa k inakuwa na mnato ilakavuuu na fertility inapungua
 
Back
Top Bottom