Nasubiri huyu wa CCM akachukue fomu, Arguably the most qualified humo

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,478
39,998
A.K.A Mzee wa Mikasi...

Akiingia huyu utampitisha vipi yule?

mapinduzi01.jpg
 
Hivi CCM wana utaratibu usio rasmi wa kupokezana mgombea urais kati ya bara na visiwani?

Manake kama safari hii mgombea wao akitoka bara itakuwa ni mara ya tatu mfululizo.

Sijui wana CCM wa visiwani wanalichukuliaje hilo suala?

hakuna utaratibu huo ndani ya katiba ya ccm,hachaguiwi kiongozi kwa kigezo cha anakotoka bali sifa zingine zilizoko ndani ya katiba ya chama
 
Huyu ndo the most qualified?

Ile mikasi nayo ni sehemu ya qualification?

Ila huyu kusema ukweli sijawahi kusikia kama ana kashfa za ufisadi (ingawa kutokusikia kwangu haimaanishi kwamba ni msafi).

Think about it... he has been a heartbeat from the Presidency; amesoma (nasikia wapo wanajivunia usomi wao sana) na ukizungumzia experience ya kuendesha nchi n.k sioni nani mwingine anaweza kusema atakavyosema yeye. Hata hivyo sioni ni kwa jinsi gani mgombea yeyote wa CCM ataweza kushinda dhidi ya mgombea presumed wa upinzani.
 
Ni msafi ndio lakini nina mashaka na utendaji wake. Sidhani kama ana "earth shattering" maamuzi au utendaji which is what we need right now, ili tuweze kukimbia badala ya kujongea. Namuona ni wale watu wa kufanya kazi kwa mazoea.
Sijawahi kusikia maamuzi yake yoyote, for that reason alone, hatufai.
 
Think about it... he has been a heartbeat from the Presidency; amesoma (nasikia wapo wanajivunia usomi wao sana) na ukizungumzia experience ya kuendesha nchi n.k sioni nani mwingine anaweza kusema atakavyosema yeye. Hata hivyo sioni ni kwa jinsi gani mgombea yeyote wa CCM ataweza kushinda dhidi ya mgombea presumed wa upinzani.

Mzee,

Wewe endelea tu kuandika makala zako za kichovu. Mambo ya CCM hujui yanaendeshwaje. Hivi kabisa umewaza na kuona wagombea wa upinzani wana nafasi yoyote ya kuingia Ikulu? Serious?

Pia, huyo uliyemtaja hapo kuwa anafaa hana nafasi yoyote kwa bara kuwa rais wa nchi yetu. Ondoa kabisa hayo mawazo yako.
 
Hivi CCM wana utaratibu usio rasmi wa kupokezana mgombea urais kati ya bara na visiwani?

Manake kama safari hii mgombea wao akitoka bara itakuwa ni mara ya tatu mfululizo.

Sijui wana CCM wa visiwani wanalichukuliaje hilo suala?
Inabidi liingie kwenye katiba ya nchi, ili, pale inapokuwa urais ni zamu ya upande fulani wa muungano, basi vyama vyote viweke wagombea urais kutoka upande huo wa muungano!
NB: HUU NI MFUMO WA VYAMA VINGI VYA SIASA NA CCM NI KIMOJAWAPO.
 
Now this is very interesting....so what are you exactly trying to say there....that this time around the CCM nominee doesn't have a prayer of winning?
That guy is kidding, facts afield already show that the opposition, besides losing the presidential elections, will have a shrinking presence in the parliament!
 
kumbe muda wote unamtukana lowasa kumbe wewe ni team shein? ana uzoefu upi wa kiuongozi zaidi ya kufungua warsha,semina na majengo? pia si mpole bali ni mwoga,nchi hii sasa inahitaji mtu anayethubutu hata kama inabidi alaumiwe
 
huyo ni rais wa nchini zanzibar hawez kwenda kugombea nchi jiran ya Tanganyika!
 
Now this is very interesting....so what are you exactly trying to say there....that this time around the CCM nominee doesn't have a prayer of winning?

No they don't; this is the proverbial "yours to lose" for the opposition in Tanzania. CCM wakishinda Urais si kwa sababu ya uzuri au ustahili wa mgombea au chama chao; simply kwa sababu opposition a.k.a CDM wamepoteza wenyewe.
 
kumbe muda wote unamtukana lowasa kumbe wewe ni team shein? ana uzoefu upi wa kiuongozi zaidi ya kufungua warsha,semina na majengo? pia si mpole bali ni mwoga,nchi hii sasa inahitaji mtu anayethubutu hata kama inabidi alaumiwe

Hizi ndio akili za sisimizi; ukiulizwa nimewahi kumtukana Lowassa wapi si utapata shida sana kupapata? Sijawahi kumtukana kiongozi yeyote wa kisiasa zaidi ya kuonesha ukali na uzito wa tofauti zetu za kisiasa. Hutanikuta nikimuita mtu jina lisilo lake au hata kukebehi vitu vyake vya kibinadamu. Ukipapata njoo unisahihishe.
 
Mzee,

Wewe endelea tu kuandika makala zako za kichovu. Mambo ya CCM hujui yanaendeshwaje. Hivi kabisa umewaza na kuona wagombea wa upinzani wana nafasi yoyote ya kuingia Ikulu? Serious?

Pia, huyo uliyemtaja hapo kuwa anafaa hana nafasi yoyote kwa bara kuwa rais wa nchi yetu. Ondoa kabisa hayo mawazo yako.

Kinyume na unavyofikiria labda naijua CCM kuliko wengi wa wanaoitwa "wakeretekwa" wa CCM.
 
Back
Top Bottom