nassari nae ana mambo ya kike
Hata kama ni kweli aliandikiwa hiki kimemo. Hakuwa na haja ya kukiweka hadharani.
huyu mtoto kumbe hana kifua kipana.
Hiki hapa ni Kimemo kilichotoka kwa Mwigulu kwenda kwa Mbunge wa Arumeru wakati wa sakata la Escrow.
Kwenye uzi wangu huu, Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!. pia nilizungumzia ma ignorants tulionao bungeni, mambo ya kike kike, na mambo ya utoto utoto, childlessness nayo ni ignorance tuu!.
Pasco
Pasco hapa bado kuna jambo liko gizani. Hivi fedha ya wizi inahitajika kulipiwa kodi? Na jee kodi ikilipwa ndio hadhithi imeisha? Kwa nini tusiziridishe hizo pesa? Maana bado inanitatiza kuita fedha zile ni za wizi halafu kuzidai kodi. Ok kodi inaweza kulipwa na hao watu then what? Unamuamuruje mtu arudishe fedha aliyoilipia kodi tayari kwa vile ulishaihalalisha?Kwenye uzi wangu huu, Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!. pia nilizungumzia ma ignorants tulionao bungeni, mambo ya kike kike, na mambo ya utoto utoto, childlessness nayo ni ignorance tuu!.
Pasco
akili ya Nassar haina tofauti na wewe----- wewe.... Hujui hata siri mana yake nn
Imekuuma eeeh? Kenge wewe
Hatutaki kuchukua kodi kwenye pesa haramu kama mnamuunga mkono Mwigulu kwanini Bunge limeazimia kuitanga bank
zilizojihusisha na mimala ya escrow kama watakatishaji wa fedha huko ni kuamisha na kuliua hili zali kwamba tatizo ni
kodi tu haijakatwa bali mengineyo yote yaliyotokea ni sawa na ni halali. Pathetic
Sa kwani me nimeandikaje au unaona vice versa nisome kwa mara ya pili then linganisha na kimemo cha Mwigulu then turn back to the argument.Nafikiri huelewi maana ya money laundering in short ni illegal obtained money na side effects ni kuwa imekwepa kodi so ni haki kodi ikatwe pale