mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 459
Nasari kichwa kimejaa matope.
Upuuzi tu. Nilikuwa simkubali Mwigulu, lakini kwa sasa anafanya watanzania watakacho. Sasa Nassari kama kweli alipewa memo hiyo, kuna umuhimu wowote wa kuitoa public. Labda awe mjinga tu.
Hivi uko sawa kweli hela ya escrow imechunguzwa na TRA CAG TAKUKURU na wote wameprove kwamba mchakatoNafikiri huelewi maana ya money laundering in short ni illegal obtained money na side effects ni kuwa imekwepa kodi so ni haki kodi ikatwe pale
Hiki hapa ni Kimemo kilichotoka kwa Mwigulu kwenda kwa Mbunge wa Arumeru wakati wa sakata la Escrow.
Ana mambo ya kike kwa vipi? Hayo ni mambo ya kiume!!!!Nassari nae ana mambo ya kike
Nassari umeweka hii memo public ili iweje? Ni kitu gani huyu Mwigulu ameandika ambacho ni cha kukufanya uweke hii memo hapa? Looks childish! Kwa sasa namkubali Mwigulu baada ya kupoteza imani kwake hapo cku za nyuma.
Hiki hapa ni Kimemo kilichotoka kwa Mwigulu kwenda kwa Mbunge wa Arumeru wakati wa sakata la Escrow.
Hivi nyie kina Pasco, laki si pesa na wengine mnaosema "mambo ya kike" hivi mama zenu ndiyo wanafanya mambo ya kipumbavu halafu mnadhani wanawake wote wanafanya hivyo? Kuweni na heshima kwa mama, dada, shangazi na bibi zenu. Mumhukumu mtu kwa pumba zake na siyo kusema wasiohusika.Mbona Mwigulu kawa mwema tena kaandika point kweli huyu Mungu kambadilisha kawa mpya kweli na huyo aliyeweka hicho kimemo ana mambo ya kimbea na kike kike