Mwigulu acha siasa za maji taka

LESIRIAMU

JF-Expert Member
Feb 12, 2008
8,721
13,959
Habari. Nina news za Mwigulu ya kuandika jamii forum. Iko hivi:
Kwa kawaida mbunge ni kiongozi ambaye anatakiwa kuwa mstari wa mbele kuvutia uwekezaji jimboni kwake.
Lakini Katika hali ya kustaajabisha sana, mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi yeye anapinga wawekezaji wakati yeye hafanyi uwekezaji wowote jimboni zaidi ya miradi yake binafsi nje ya jimbo tena kwa kutumia fedha za serkali. Mwigulu bila aibu anafanya jitihada kubwa kujenga seminary pale kiomboi na kushawishi taasisi ya kanisa la kilutheri kufuta chuo maarufu cha Bible school na kubadili kuwa Seminary eti kwa nia ya kumdhoofisha mwekezaji mwingine aliyejenga Katala High School jirani na Iliyokuwa Bible school. Kama hiyo haitoshi, Mwigulu kaamuru ijengwe shule ya sekondari Iramba ktk eneo la Salala kata hiyo hiyo ya old Kiomboi ilipo Katala high school na seminari anayoifadhili ijengwe. Nia ikiwa ni hiyo hiyo kumdhoofisha mwekezaji wa Katala High school. Anafanya hivyo wakati kata za jirani zilizoungana za kiomboi na old kiomboi tayari zina secondary za Lulumba, Kiomboi, na New Kiomboi na sasa Iramba secondary. Vitongoji na vijiji vya Ruruma, Shati, mkonze na Meli havina shule za sekondari ambapo watoto wanatembea hadi kilomita kumi kufuata shule zilizopo kiomboi mjini kwa uzembe na ubinafsi tu wa mbunge kupitia madiwani ambao wote yeye ndio amewapigania wapate udiwani wakati hawajiwezi kifikra kabisa.
Kama hiyo haitoshi, kuna mwekezaji alitaka kujenga VETA ktk kijiki cha kisiriri na yeye Mwigulu kamuwekea vikwazo na kuzuia. Kuna mwingine alishawishi chuo cha IFM kijenge tawi Singida napo akapinga.
Sasa Iramba ina mbunge wa aina gani?, halafu Rais wa nchi anamwamini mtu mbinafsi kiasi hicho. Hii ni hatari kwa maendeleo ya Iramba na wilaya inazidi kudidimia siku hadi siku.
Wana Iramba amkeni na kumkataa mtu huyu. Hafai kuiongoza Iramba.
Na wapi wawekezaji wrngine wakija hawapati ushirikiano na viongozi wa wilaya na kuambiwa mbunge hataki wawekezaji eti wanatishia kumuondolea ubunge wake. Vingozi wa wilaya wanasema wakimpokea mwekezaji hasa mzaliwa wa Iramba wanahatarisha kazi zao na kuna mifano ya ealuofanyiwa njama na kufukuza ama kuhamishwa n misingi hiyo. Kwa ujumla
Mwigulu hafai kuwa kiongozi hata wa kitongoji. Rais atakuwa tu amefunikwa na ushirikina ambao ndio kinga kuu na sifa ya Mwigulu Chemba na pesa anazoiba na kugawa kubakia kwenye nafasi hiyo.
 
Habari. Nina news za Mwigulu ya kuandika jamii forum. Iko hivi:
Kwa kawaida mbunge ni kiongozi ambaye anatakiwa kuwa mstari wa mbele kuvutia uwekezaji jimboni kwake.
Lakini Katika hali ya kustaajabisha sana, mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi yeye anapinga wawekezaji wakati yeye hafanyi uwekezaji wowote jimboni zaidi ya miradi yake binafsi nje ya jimbo tena kwa kutumia fedha za serkali. Mwigulu bila aibu anafanya jitihada kubwa kujenga seminary pale kiomboi na kushawishi taasisi ya kanisa la kilutheri kufuta chuo maarufu cha Bible school na kubadili kuwa Seminary eti kwa nia ya kumdhoofisha mwekezaji mwingine aliyejenga Katala High School jirani na Iliyokuwa Bible school. Kama hiyo haitoshi, Mwigulu kaamuru ijengwe shule ya sekondari Iramba ktk eneo la Salala kata hiyo hiyo ya old Kiomboi ilipo Katala high school na seminari anayoifadhili ijengwe. Nia ikiwa ni hiyo hiyo kumdhoofisha mwekezaji wa Katala High school. Anafanya hivyo wakati kata za jirani zilizoungana za kiomboi na old kiomboi tayari zina secondary za Lulumba, Kiomboi, na New Kiomboi na sasa Iramba secondary. Vitongoji na vijiji vya Ruruma, Shati, mkonze na Meli havina shule za sekondari ambapo watoto wanatembea hadi kilomita kumi kufuata shule zilizopo kiomboi mjini kwa uzembe na ubinafsi tu wa mbunge kupitia madiwani ambao wote yeye ndio amewapigania wapate udiwani wakati hawajiwezi kifikra kabisa.
Kama hiyo haitoshi, kuna mwekezaji alitaka kujenga VETA ktk kijiki cha kisiriri na yeye Mwigulu kamuwekea vikwazo na kuzuia. Kuna mwingine alishawishi chuo cha IFM kijenge tawi Singida napo akapinga.
Sasa Iramba ina mbunge wa aina gani?, halafu Rais wa nchi anamwamini mtu mbinafsi kiasi hicho. Hii ni hatari kwa maendeleo ya Iramba na wilaya inazidi kudidimia siku hadi siku.
Wana Iramba amkeni na kumkataa mtu huyu. Hafai kuiongoza Iramba.
Na wapi wawekezaji wrngine wakija hawapati ushirikiano na viongozi wa wilaya na kuambiwa mbunge hataki wawekezaji eti wanatishia kumuondolea ubunge wake. Vingozi wa wilaya wanasema wakimpokea mwekezaji hasa mzaliwa wa Iramba wanahatarisha kazi zao na kuna mifano ya ealuofanyiwa njama na kufukuza ama kuhamishwa n misingi hiyo. Kwa ujumla
Mwigulu hafai kuwa kiongozi hata wa kitongoji. Rais atakuwa tu amefunikwa na ushirikina ambao ndio kinga kuu na sifa ya Mwigulu Chemba na pesa anazoiba na kugawa kubakia kwenye nafasi hiyo.
Wanyiramba kujifanya much know wakazingua.
KCMC ilikua ijengwe Kiomboi, lakini u-much know na kujifanya kupenda percent kukawaponza, Wachsga wakaidaka fursa, na kupelekea KCMC iwepo ilipo sasa.
Naona Mwigulu and the company wanajaribu kurekebisha makosa.
By the way, Project ya Mwigulu na Makonda dhidi ya Chongolo ndiyo iliisha?
 
Wanyaturu kujifanya much know wakazingua.
KCMC ilikua ijengwe Kiomboi, lakini u-much know na kujifanya kupenda percent kukawaponza, Wachsga wakaidaka fursa, na kupelekea KCMC iwepo ilipo sasa.
Naona Mwigulu and the company wanajaribu kurekebisha makosa.
By the way, Project ya Mwigulu na Makonda dhidi ya Chongolo ndiyo iliisha?
Kiomboi ni wanyiramba ndugu wala sio wanyaturu.
 
Wanyaturu kujifanya much know wakazingua.
KCMC ilikua ijengwe Kiomboi, lakini u-much know na kujifanya kupenda percent kukawaponza, Wachsga wakaidaka fursa, na kupelekea KCMC iwepo ilipo sasa.
Naona Mwigulu and the company wanajaribu kurekebisha makosa.
By the way, Project ya Mwigulu na Makonda dhidi ya Chongolo ndiyo iliisha?
sio wanyaturu, ni wanyiramba
 
Habari. Nina news za Mwigulu ya kuandika jamii forum. Iko hivi:
Kwa kawaida mbunge ni kiongozi ambaye anatakiwa kuwa mstari wa mbele kuvutia uwekezaji jimboni kwake.
Lakini Katika hali ya kustaajabisha sana, mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi yeye anapinga wawekezaji wakati yeye hafanyi uwekezaji wowote jimboni zaidi ya miradi yake binafsi nje ya jimbo tena kwa kutumia fedha za serkali. Mwigulu bila aibu anafanya jitihada kubwa kujenga seminary pale kiomboi na kushawishi taasisi ya kanisa la kilutheri kufuta chuo maarufu cha Bible school na kubadili kuwa Seminary eti kwa nia ya kumdhoofisha mwekezaji mwingine aliyejenga Katala High School jirani na Iliyokuwa Bible school. Kama hiyo haitoshi, Mwigulu kaamuru ijengwe shule ya sekondari Iramba ktk eneo la Salala kata hiyo hiyo ya old Kiomboi ilipo Katala high school na seminari anayoifadhili ijengwe. Nia ikiwa ni hiyo hiyo kumdhoofisha mwekezaji wa Katala High school. Anafanya hivyo wakati kata za jirani zilizoungana za kiomboi na old kiomboi tayari zina secondary za Lulumba, Kiomboi, na New Kiomboi na sasa Iramba secondary. Vitongoji na vijiji vya Ruruma, Shati, mkonze na Meli havina shule za sekondari ambapo watoto wanatembea hadi kilomita kumi kufuata shule zilizopo kiomboi mjini kwa uzembe na ubinafsi tu wa mbunge kupitia madiwani ambao wote yeye ndio amewapigania wapate udiwani wakati hawajiwezi kifikra kabisa.
Kama hiyo haitoshi, kuna mwekezaji alitaka kujenga VETA ktk kijiki cha kisiriri na yeye Mwigulu kamuwekea vikwazo na kuzuia. Kuna mwingine alishawishi chuo cha IFM kijenge tawi Singida napo akapinga.
Sasa Iramba ina mbunge wa aina gani?, halafu Rais wa nchi anamwamini mtu mbinafsi kiasi hicho. Hii ni hatari kwa maendeleo ya Iramba na wilaya inazidi kudidimia siku hadi siku.
Wana Iramba amkeni na kumkataa mtu huyu. Hafai kuiongoza Iramba.
Na wapi wawekezaji wrngine wakija hawapati ushirikiano na viongozi wa wilaya na kuambiwa mbunge hataki wawekezaji eti wanatishia kumuondolea ubunge wake. Vingozi wa wilaya wanasema wakimpokea mwekezaji hasa mzaliwa wa Iramba wanahatarisha kazi zao na kuna mifano ya ealuofanyiwa njama na kufukuza ama kuhamishwa n misingi hiyo. Kwa ujumla
Mwigulu hafai kuwa kiongozi hata wa kitongoji. Rais atakuwa tu amefunikwa na ushirikina ambao ndio kinga kuu na sifa ya Mwigulu Chemba na pesa anazoiba na kugawa kubakia kwenye nafasi hiyo.
Mwashamba, Nigrastratract na choicevariable mmekutania na huku?
 
Kitila ni wa huko na ndiyo waziri wa uwekezaji, aingilie kati. Mwigulu ni kama mfalme wa iramba hakuna wa kumtikisa katika jimbo lake. Jimbo lenyewe halina maendeleo ya kusisimua kama alivyo yeye. Kuna wabunge wanaonekana ni smart lakini majimbo yao yako hoi hayaendani na jinsi walivyo, ni bora wakapisha wengine watakaopaisha majimbo yao kimaendeleo
 
Habari. Nina news za Mwigulu ya kuandika jamii forum. Iko hivi:
Kwa kawaida mbunge ni kiongozi ambaye anatakiwa kuwa mstari wa mbele kuvutia uwekezaji jimboni kwake.
Lakini Katika hali ya kustaajabisha sana, mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi yeye anapinga wawekezaji wakati yeye hafanyi uwekezaji wowote jimboni zaidi ya miradi yake binafsi nje ya jimbo tena kwa kutumia fedha za serkali. Mwigulu bila aibu anafanya jitihada kubwa kujenga seminary pale kiomboi na kushawishi taasisi ya kanisa la kilutheri kufuta chuo maarufu cha Bible school na kubadili kuwa Seminary eti kwa nia ya kumdhoofisha mwekezaji mwingine aliyejenga Katala High School jirani na Iliyokuwa Bible school. Kama hiyo haitoshi, Mwigulu kaamuru ijengwe shule ya sekondari Iramba ktk eneo la Salala kata hiyo hiyo ya old Kiomboi ilipo Katala high school na seminari anayoifadhili ijengwe. Nia ikiwa ni hiyo hiyo kumdhoofisha mwekezaji wa Katala High school. Anafanya hivyo wakati kata za jirani zilizoungana za kiomboi na old kiomboi tayari zina secondary za Lulumba, Kiomboi, na New Kiomboi na sasa Iramba secondary. Vitongoji na vijiji vya Ruruma, Shati, mkonze na Meli havina shule za sekondari ambapo watoto wanatembea hadi kilomita kumi kufuata shule zilizopo kiomboi mjini kwa uzembe na ubinafsi tu wa mbunge kupitia madiwani ambao wote yeye ndio amewapigania wapate udiwani wakati hawajiwezi kifikra kabisa.
Kama hiyo haitoshi, kuna mwekezaji alitaka kujenga VETA ktk kijiki cha kisiriri na yeye Mwigulu kamuwekea vikwazo na kuzuia. Kuna mwingine alishawishi chuo cha IFM kijenge tawi Singida napo akapinga.
Sasa Iramba ina mbunge wa aina gani?, halafu Rais wa nchi anamwamini mtu mbinafsi kiasi hicho. Hii ni hatari kwa maendeleo ya Iramba na wilaya inazidi kudidimia siku hadi siku.
Wana Iramba amkeni na kumkataa mtu huyu. Hafai kuiongoza Iramba.
Na wapi wawekezaji wrngine wakija hawapati ushirikiano na viongozi wa wilaya na kuambiwa mbunge hataki wawekezaji eti wanatishia kumuondolea ubunge wake. Vingozi wa wilaya wanasema wakimpokea mwekezaji hasa mzaliwa wa Iramba wanahatarisha kazi zao na kuna mifano ya ealuofanyiwa njama na kufukuza ama kuhamishwa n misingi hiyo. Kwa ujumla
Mwigulu hafai kuwa kiongozi hata wa kitongoji. Rais atakuwa tu amefunikwa na ushirikina ambao ndio kinga kuu na sifa ya Mwigulu Chemba na pesa anazoiba na kugawa kubakia kwenye nafasi hiyo.
Naona mabus ya Ester yanazidi kuongezeka hapa nchini kwa fujo sana
 
Wanyiramba kujifanya much know wakazingua.
KCMC ilikua ijengwe Kiomboi, lakini u-much know na kujifanya kupenda percent kukawaponza, Wachsga wakaidaka fursa, na kupelekea KCMC iwepo ilipo sasa.
Naona Mwigulu and the company wanajaribu kurekebisha makosa.
By the way, Project ya Mwigulu na Makonda dhidi ya Chongolo ndiyo iliisha?
Makonda na Mwigulu hawaongei tena mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom