Inawezekana kuwa ni mwanzo mzuri kama madiwani wote ni wa vyama other than where he belongs......
1. Lakini baada ya kutoka yeye alternative plan yake ilikuwa ni shilingi ngapi kwa square meter moja
2. Bei ya soko kwa square meter hapo mahali ni shilingi ngapi???
3. Kuna bei elekezi katika masuala haya hapo wilayani kwake????
Hii falsafa ya kuwa eti mimi sikuwa sehemu ya maamuzi inabidi tuiangalie kwa jicho la tatu sababu kama ni sehemu ya maamuzi au la bado wananchi wataumia kwa yatokanayo.....so suala la kutoka linampa yeye credo kuliko kuwasaidia wananchi husika..........thus atakuwa kautumia mgogoro kujipandisha hadhi kuliko kuwasaidia wananchi.....hili si sawa...ni bora kukaa na kujenga hoja mpaka dakika ya mwisho kuliko kutoka
A retreating soldier has nothing good to serve......................neither for himself, people nor the nation at its large..................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!