meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Baada ya kamati ya uchumi ya baraza la madiwani Arumeru kudhamiria kuingia na hoja ya kuuza viwanja(square meter kwa Tsh 22'000). Mheshimiwa mbunge machachari amesusia kikao cha madiwani (full council) ili asiwe historia ya kuhalalisha ufisadi wa viwanja huko Meru.