Nassari asusia kikao cha baraza la madiwani kupinga ugawaji wa viwanja

Magamba hawaishii tu kukupinga lazima wakuzomee sanaaaaaaaaaaaaaaaana!. hivyo huo ni mwanzo mzuri baada ya hapo ni kuliripoti au kulipeleka bungeni. kwa hatua zaidi...
 
Ana haki ya kugoma maana ndio sera ya chama chake,kila anayegoma anaonekana ndiye kamanda wa ukweli ndani ya chadema.
 
Baada ya kamati ya uchumi ya baraza la madiwani Arumeru kudhamiria kuingia na hoja ya kuuza viwanja(square meter kwa Tsh 22'000). Mheshimiwa mbunge machachari amesusia kikao cha madiwani (full council) ili asiwe historia ya kuhalalisha ufisadi wa viwanja huko Meru.

TZS 22,000 per square meter? It does not make sense at all!!! Are we really serious in selling the said land to our "Wananchi"? I am puzzled
 
Mhh meru mmezidi nakumbuka vya duluti eti mlikua mnauza sq meter sh 24000,kuna mmeru mwenye uwezo wa kununua?

huu ni uhuni wa wenye hela ili wauziwe wao. Size ndogo kabisa ya kiwanja cha kutosha nyumba ni 400 m2(20 by 20). Kwa bei hiyo wananchi watanunua kweli? Au wanataka yale yale ya unaingia kwenye kikao unapiga kelele weeee, na mwisho wanapitisha madudu waliyoyaleta bila mabadiliko yoyote? Wakija mtaani wanaanza kusema na wewe ulichukua posho na kukubaliana na hoja hizo?
 
hivi viwanja wagawane kwa ufisadi na kujuana ila wajue muda sio mrefu tutavitwaa kwa nguvu bila kufuata sheria maana sheria kwa nchi hii ni kwa wanyonge wakubwa wapo above the law, wakumbuke sakata la Madira estate maeneo ya SADEC
 
dogo anakurupuka tu hataki kushauriwa hajui soko la real estate linasemaje hapo arumeru na hataki kujuzwa,yeye ka mbunge hawezi jua kila kitu ndo mana kuna wataalamu na specialization, land value arusha na meru kwa ujumla iko juu sana, bei ya soko kwa sasa ni 20,000-25,000Tshs/sq.metre kulingana na factors za location,availability of services, demand and supply of land in the area na factors zingine.kwa kawaida katika kupanga bei za viwanja huwa nguvu ya soko ya demand and supply factors ndo zinatumika katika kudetermine price..........
 
Baada ya kamati ya uchumi ya baraza la madiwani Arumeru kudhamiria kuingia na
hoja ya kuuza viwanja(square meter kwa Tsh 22'000). Mheshimiwa mbunge machachari amesusia kikao cha madiwani (full council) ili asiwe historia ya kuhalalisha ufisadi wa viwanja huko Meru.
Ungetwambia anapinga uuzwaji wa viwanja au bei square meter 22000.? Aua wanauza sehemu isiyohalali.?
 
Safi sana .................. komaa kamanda ili kuonyesha kieleweke

Akomae kivipi sasa mkuu, ili hali ametoka na maamuzi yanapitishwa, kipi ni bora kutoka kwako na maamuzi yakapitoshwa au kutotoka mkapambana ndani ya vikao ? kwa uwamuzi wake naona amekurupuka zaidi

 
Akomae kivipi sasa mkuu, ili hali ametoka na maamuzi yanapitishwa, kipi ni bora kutoka kwako na maamuzi yakapitoshwa au kutotoka mkapambana ndani ya vikao ? kwa uwamuzi wake naona amekurupuka zaidi


Yote yanayozungumzwa Bungeni na ktk vikao vya kupitisha jambo fulani,ni lazima wahitimishe na upigaji wa kura.Nasari angekaa ndani ya kikao hicho asingeweza kuzuia chochote kile kisipitishwe kwa kura yake moja.Amepinga kwa vitendo juu ya suala hilo,acha kupotosha fikiri zaidi ya hapo.
 
huu ndio ufisadi anaojaribu kupambana nao dogo janja!
Unakimbia mstari wa mbele wa mapambano Vita mkishinda (NILIKUWEPO) Vita mkishindwa (aka SIKUWEPO) niliwaambia wasigawe viwanja hawakunisikia sasa angalieni wapiga kura wangu wote hamkuweza kuvinunua.
Kila Manispaa na Halmashauri zimeamua kupima Ardhi na kuimilikisha kihalali na kwa vile michoro hiyo ipo Kimataifa na hata kwenye Google itakuwepo havitakuwa Bei poa ndio maana wapo wanaotaka kuturudisha 1921
 
Yote yanayozungumzwa Bungeni na ktk vikao vya kupitisha jambo fulani,ni lazima wahitimishe na upigaji wa kura.Nasari angekaa ndani ya kikao hicho asingeweza kuzuia chochote kile kisipitishwe kwa kura yake moja.Amepinga kwa vitendo juu ya suala hilo,acha kupotosha fikiri zaidi ya hapo.

Yeye akisusa wenzake walaaa, haya aendelee kususa tu
 
Kama ni kwa dhamira safi nampa shavu lakini kama ni kare kamtindo kakujitafutia umaarufu kama turivyowazoea sina comment
 
Yote yanayozungumzwa Bungeni na ktk vikao vya kupitisha jambo fulani,ni lazima wahitimishe na upigaji wa kura.Nasari angekaa ndani ya kikao hicho asingeweza kuzuia chochote kile kisipitishwe kwa kura yake moja.Amepinga kwa vitendo juu ya suala hilo,acha kupotosha fikiri zaidi ya hapo.

Kura za makinda za wanafiki semeni ndio na msiowanafiki sema sio? Tehe Tehe Tehe ccm ni zaidi ya uijuavyo
 
Back
Top Bottom