Nassari Agawa CD Kwenye Mkutano wa Kampeni

Nassari Agawa CD Kwenye Mkutano wa Kampeni

Ndege ni kwa manufaa ya nchi kiuchumi...CD ina manufaa gani?

Bajeti ya dawa imepanda kutoka b30 hadi b256 na zinafika !!

Asilimia zaidi 60 kwa sasa wanapata maji safi na salama ....kuna miradi mikubwa imezinduliwa hivi karibuni mfano longido,Sengerema na Kibaha...usijidai umesahau.

Nyie endeleeni na usanii wa bongo movie wakati CCM Inaleta maendeleo
Hebu njoo Tumbi hospital kilometer chache tu uone kilichopo halafu uniambie hayo mabilioni yameenda wapi
 
Unaenda kununua ndege za mabilioni wakati wanachuo wanakosa mikopo chuoni, hospital hazina dawa na vifaa tiba vya kutosha, maji safi na salama ni kitendawili kwa wengi... Ama kweli kupanga ni kuchagua
wewe vipi??? elimu ya chuo kikuu ni elimu ya ziada, huduma za hospitali zinaendelea kuboreshwa (tafuta rejea) tafuteni sera, mbona swala la mafisadi na madini hamusemi??? tutaendelea kuwaletea MADUME
 
Kuna kanuni inayokataza taa kuwekwa kwenye barabara ya vumbi?
Kwajili ya kuongozea punda!
Halafu kilomita chache tu hospitali haina dawa.....
mwanao bora arithi akili za bibi yake mzaa mama yake sio zako
 
Hizi akili mkaa? CD 500 ni pesa nyingi kwanini asifanye jambo la maendeleo ili wananchi wawachague Chedema kwa mazuri yao? Akili zingine bhana haya TUTACHAGUA CCM hadi mtakapo badilika.
CCM huwa haichaguliwi bali hufanya uchakachuaji na wizi wa kura hapo labda chadema wabuni mbinu ya kutengua mitego ya uchakachuaji wa CCM
 
Alafu nawe utaje majina 10 ya teuzi za bwana mkubwa 8 wanatokea kanda gani?
ulitaka watoke wapi?? mbowe mkwe wa mtei, Bob makani shemeji wa mtei, hao ndo waliowahi kuwa viongozi chadema, sasa unaposema ukabila na ukanda, anza na mbowe na CHADEMA
 
View attachment 633648 Unagawa CD kwa wananchi wanaohitaji mkate?Kweli Nassari kaishiwa hoja.
Sio lazima ukomenti kila kitu hata kama uwezo wako wa kulinki issues ni finyu! Ulitegemea awape vipesa wakanunue mkate? Hao waliokosa mkate leo ni matokeo ya mfumo unaonunua madiwani badala ya establish development perojects!
 
Kwajili ya kuongozea punda!
Halafu kilomita chache tu hospitali haina dawa.....
mwanao bora arithi akili za bibi yake mzaa mama yake sio zako
Nimekuuliza je kuna kanuni inayokataza taa za kuongozea watumiaji wa barabara kujengwa kwenye barabara ya vumbi?
 
View attachment 633640

Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari amemnadi kitofauti mgombea udiwani wa Kata ya Ambureni, Dominick Mollel kwa kugawa CD anazodai zinaonyesha baadhi ya madiwani wa chama hicho wilayani Arumeru walivyoshawishiwa kupokea rushwa.

Nassari aligawa zaidi ya nakala 500 katika mkutano wa kampeni uliofanyika eneo la Kwa Pole wilayani hapa huku akiwataka wananchi kutowachagua wagombea wa CCM kwa kudai baadhi yao wanatuhumiwa kupokea rushwa.

Nassari amefafanua kwamba pamoja na kuwasilisha ushahidi wake Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ameamua kugawa nakala hizo kuwafungua macho wananchi waelewe kwamba wagombea kutoka CCM hawafai.

Akizungumzia kitendo cha baadhi ya wagombea wa CCM kutoa ahadi ya kuyakomboa baadhi ya mashamba yaliyotwaliwa na wawekezaji wilayani humo, Nassari amesema kwamba wakati hao wanatoa ahadi jukwaani wao wataingia shambani kudai haki.

“Wakati wao wanaahidi kushughulika na nyaraka sisi watatukuta shambani tunaendelea na kazi sawa,” alisema Nassari.
CHADEMA ni kikundi cha wanaharakati. CHADEMA kingekuwa chama kingekuwa na ITIKADI.
 
Hizi akili mkaa? CD 500 ni pesa nyingi kwanini asifanye jambo la maendeleo ili wananchi wawachague Chedema kwa mazuri yao? Akili zingine bhana haya TUTACHAGUA CCM hadi mtakapo badilika.

Mimi huwa napata wakati mgumu sana kuamini kuwa kuna binadamu timamu anaweza kuchagua ccm.
 
Uhitaji huu wa mkate kasababisha nani kama sio ccm ??? Alafu leo unakebehi kama alivyozoea magufuli kutukebehi na kauli zake chafu,ndicho alichowatumeni nanyi mtufanyie !! Lolote baya,ovu,chafu lililo wakuta na linaloendelea kuwakuta wananchi limesababishwa na utawala wa ccm.miaka yote kuwa madarakani kwa kujinufaisha wao na sio kunufaisha wananchi !! Hapo kosa la Nasari ni lipi kama sio unawaza kinyume cha maumbile yako ?? ccm ni janga sio siri,na hakuna mnapofaa wala kupendwa,licha ya kutokubalika ! Ni wasiojulikana tu ndo wanawawekeni madarakani.
 
Ndege ni kwa manufaa ya nchi kiuchumi...CD ina manufaa gani?

Bajeti ya dawa imepanda kutoka b30 hadi b256 na zinafika !!

Asilimia zaidi 60 kwa sasa wanapata maji safi na salama ....kuna miradi mikubwa imezinduliwa hivi karibuni mfano longido,Sengerema na Kibaha...usijidai umesahau.

Nyie endeleeni na usanii wa bongo movie wakati CCM Inaleta maendeleo

Wewe kweli siyo wa Nchi hii.Takukuru si wameziona hazina maana kule anawapa waajiri halali.
 
Meru sio chato wewe kunguni!! Chato ndo wanahitaji mkate Meru walishaamka siku nyingi mkate sio ishu kwao.
Kunguni anatoa harufu mbaya bora umbadilishie jina la mdudu mwingine
 
ulitaka watoke wapi?? mbowe mkwe wa mtei, Bob makani shemeji wa mtei, hao ndo waliowahi kuwa viongozi chadema, sasa unaposema ukabila na ukanda, anza na mbowe na CHADEMA
Umeona payroll za November mkuu? Kuna chochote kimeongezeka huko upande wenu?
 
Back
Top Bottom