wakikosi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,354
- 1,483
Huku mtaani ni taharuki imetanda, pesa zimepotea na raia wengi sana sana watumishi walishakopa dukani kwa mangi, kwa ahadi ya kurudisha tarehe 22 tu mishahara ikitoka.
Cha kushangaza hadi leo tatu bila na dukani kwa mangi hakuendeki tena.
Sijui tuishije sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha kushangaza hadi leo tatu bila na dukani kwa mangi hakuendeki tena.
Sijui tuishije sasa
Sent using Jamii Forums mobile app