Nasikia nchi haina hela ndio maana mishahara hadi leo bado

Huku mtaani ni taharuki imetanda, pesa zimepotea na raia wengi sana sana watumishi walishakopa dukani kwa mangi, kwa ahadi ya kurudisha tarehe 22 tu mishahara ikitoka.

Cha kushangaza hadi leo tatu bila na dukani kwa mangi hakuendeki tena.

Sijui tuishije sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi kabisa, hakuna hela na ndiyo maana hata uchaguzi 2020 haupo, umeahirishwa mpaka mwaka 2025, hela hakuna
 
'mwanzw Wu' ni kitu gani? Nawe pia ulisomea ujinga?
Nnafahamu uelewa wako ni finyu, umeshalionesha hilo kwenye maandiko yako. Hiyo ni "typo" tu isikupe shida, soma tena pamoja na marekebisho yake...

Nani alikudanganya kuwa tarehe 22 ni mwanzo au mwisho wa mwezi?

Hiyo ni tarehe tu ambayo umepangiwa kulipwa pesa zako kutokana na sababu mbali mbali lakini siyo mwanzo wala mwisho wa mwezi.

Kama unaona umecheleweshewa kulipwa una mawili ya kufanya, moja ni kwenda vyombo vya sheria kutafuta haki yako. Pili, kuacha hiyo kazi ambayo, kwa muono wako unaona hutendewi haki. Kwanini uendelee kubaki kufanya kazi sehemu ambayo, kwa muono wako, hautendewi haki?

Naam, nimekariri kuwa mwezi wa kazi ni tarehe 1 mpaka utapoishia mwezi huo.
 
Nnafahamu uelewa wako ni finyu, umeshalionesha hilo kwenye maandiko yako. Hiyo ni "typo" tu isikupe shida, soma tena pamoja na marekebisho yake...

Nani alikudanganya kuwa tarehe 22 ni mwanzo au mwisho wa mwezi?

Hiyo ni tarehe tu ambayo umepangiwa kulipwa pesa zako kutokana na sababu mbali mbali lakini siyo mwanzo wala mwisho wa mwezi.

Kama unaona umecheleweshewa kulipwa una mawili ya kufanya, moja ni kwenda vyombo vya sheria kutafuta haki yako. Pili, kuacha hiyo kazi ambayo, kwa muono wako unaona hutendewi haki. Kwanini uendelee kubaki kufanya kazi sehemu ambayo, kwa muono wako, hautendewi haki?

Naam, nimekariri kuwa mwezi wa kazi ni tarehe 1 mpaka utapoishia mwezi huo.
Leo ndiyo unajua kuwa kuna typo? Ila ambavyo huwa unatukana wenzio kuwa walienda shule kusomea ujinga huwa hufikiri kuna typo? Mtu akikosea msahihishe basi, na sio kuleta ngonjera za sijui ulienda shule kusomea ujinga.
 
Una haraka sana kulalama, siku inaisha saa 5.59 usiku.Siku nyingine ukikopa waambie utawalipa tarehe 27,ili usiwe unaji- lock down sababu ya madeni ,badala ya CORONA.
 
Huku mtaani ni taharuki imetanda, pesa zimepotea na raia wengi sana sana watumishi walishakopa dukani kwa mangi, kwa ahadi ya kurudisha tarehe 22 tu mishahara ikitoka.

Cha kushangaza hadi leo tatu bila na dukani kwa mangi hakuendeki tena.

Sijui tuishije sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi haina hela wewe ndiyo Waziri wa Fedha na Mipango au Katibu Mkuu Hazina?Vumilia tu utapata mshahara uache uzushi.Ukibinywa hizo korodani/makende/mbupu utadhibitishia umma kweli nchi haina hela au unajifurahisha na stori za vijiweni?
 
Huku mtaani ni taharuki imetanda, pesa zimepotea na raia wengi sana sana watumishi walishakopa dukani kwa mangi, kwa ahadi ya kurudisha tarehe 22 tu mishahara ikitoka.

Cha kushangaza hadi leo tatu bila na dukani kwa mangi hakuendeki tena.

Sijui tuishije sasa

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu wakikosi nani kakuambia nchi haina pesa? Unaweza kutupatia kaushahidi kidogo kwamba nchi haina pesa?

Ahsante
 
Serikali inayokusanya kuliko zote haiwezi kukosa hela...... Istoshe sisi ni dona kantri........
Tufanye mnada majengo airport na mbuga kula chato tulipe mshahara.....
 
Huku mtaani ni taharuki imetanda, pesa zimepotea na raia wengi sana sana watumishi walishakopa dukani kwa mangi, kwa ahadi ya kurudisha tarehe 22 tu mishahara ikitoka.

Cha kushangaza hadi leo tatu bila na dukani kwa mangi hakuendeki tena.

Sijui tuishije sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Meko kajichokea kitambo ndio mana anatafuta joto kwenye mawe kama mjusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani alikudanganya kuwa tarehe 22 ni mwanzo au mwisho wa mwezi?

Hiyo ni tarehe tu ambayo umepangiwa kulipwa Pesa zako kutokana na sababu mbali mbali lakini siyo mwanzo wala mwisho wa mwezi.

Kama unaona umecheleweshewa kulipwa una mawili ya kufanya, moja kwenda vyombo vya sheria kutafuta haki yako. Pili, kuacha hiyo kazi ambayo kwa muono wako wako unaona hutendewi haki. Kwanini uendelee kubaki kufanya kazi sehemu ambayo, kwa.muono wako, hautendewi haki?

Naam, nimekariri kuwa mwezi wa kazi ni tarehe 1 mpaka utapoishia mwezi huo.

Tatizo nini?
Sasa acha kukariri na hii ndio tabia ya watu waliosomea shule zinazofundisha UJINGA na UPUMBAVU badala ya kufundisha watoto wawe na uwezo wa kufikiri.

Rudia vizuri swali langu na uelewe nnacho maanisha bila kukariri.

Swali la msingi ni je tokea tarehe 22 mpaka tarehe 22 ni siku ngapi?

Je mwezi una siku ngapi?
 
Back
Top Bottom