Nasikia nchi haina hela ndio maana mishahara hadi leo bado

Kumbuka tu, kuwa hata wafarhili wanojazilia bajeti ya Tanzania nao kwao wana majanga ya corona.

Endelea kusubiri au fanya kazi ambazo hazitakufanya usubiri mshahara.

Au kama unaona kuwa mshahara umechelewa (kumbuka tu kuwa hata mwisho wa mwezi haujafika) basi nenda mahakamani ukadai haki yako. Au kaa kimya mpaka mwezi uishe ndiyo uanze kupayuka.
Tokea tarehe 22 mwezi uliopita mpaka tarehe 22 mwezi huu... Ni siku ngapi? Au umekariri mwezi lazima uishie tarehe 30?

Sasa huoni wewe ndiye unaye payuka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tokea tarehe 22 mwezi uliopita mpaka tarehe 22 mwezi huu... Ni siku ngapi? Au umekariri mwezi lazima uishie tarehe 30?

Sasa huoni wewe ndiye unaye payuka?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani alikudanganya kuwa tarehe 22 ni mwanzo au mwisho wa mwezi?

Hiyo ni tarehe tu ambayo umepangiwa kulipwa Pesa zako kutokana na sababu mbali mbali lakini siyo mwanzo wala mwisho wa mwezi.

Kama unaona umecheleweshewa kulipwa una mawili ya kufanya, moja kwenda vyombo vya sheria kutafuta haki yako. Pili, kuacha hiyo kazi ambayo kwa muono wako wako unaona hutendewi haki. Kwanini uendelee kubaki kufanya kazi sehemu ambayo, kwa.muono wako, hautendewi haki?

Naam, nimekariri kuwa mwezi wa kazi ni tarehe 1 mpaka utapoishia mwezi huo.

Tatizo nini?
 
Nani alikudanganya kuwa tarehe 22 ni mwanzw Wu mwisho wa mwezi?

Hiyo ni tarehe Tu ambayo umepangiwa kulipwa Pesa zako kutokana na sababu mbali mbali lakini siyo mwanzo wala mwisho wa mwezi.

Kama unaona umecheleweshewa kulipwa una mawili ya kufanya, moja kwenda vyombo vya sheria kutafuta haki yako. Pili, kuacha hiyo kazi ambayo kwa muono wako wako unaona hutendewi haki. Kwanini uendelee kubaki kufanya kazi sehemu ambayo, kwa.muono wako, hautendewi haki?

Naam, nimekariri kuwa mwezi wa kazi ni tarehe 1 mpaka utapoishia mwezi huo.

Tatizo nini?
'mwanzw Wu' ni kitu gani? Nawe pia ulisomea ujinga?
 
Back
Top Bottom