Nyambala,Geza Ulole,
..u can have as many Ministers,PS,...frm one area.
..bila kuwa na shughuli ya uchumi ya maana ambayo inashirikisha watu wengi zaidi watu wa eneo husika hawawezi kuinuka hata siku moja.
..kinachotakiwa kufanyika kanda ya Ziwa, Kusini, etc etc ni kuinua sekta ambazo zinashirikisha wananchi wengi zaidi. hawa wananchi wakiwa na uwezo wa kujitegemea then wataweza kutamani vingine kama elimu bora kwa watoto wao etc etc.
..serikali haiwezi kumgawia kila mwananchi wa kanda ya ziwa mabonge/mapande ya dhahabu, lakini inaweza kusaidia kuinua/kuiboresha sekta ya kilimo, mfano cha pamba, ili hali za kiuchumi za wananchi ziwe bora zaidi.
..kuhusu elimu nadhani ni kukosa commitment tu, lakini jitihada zikifanyika inawezekana kabisa kuanza kufufua na kuboresha shule chache ambazo zitaweza kuzi-challenge shule zinazosifika sasa hivi. kitu cha msingi ni kwamba shule hizo ziwe zinachukua watoto wa walalahoi.
NB:
..naona Dr.Slaa yupo hapa. I hope he can chime in kuhusu matatizo/challenges/potentials za kanda ya Ziwa.