Nasikia kuna mtu anafanya warm up nafikiri utakuwa mpango wa kuingiza wapiga penati

Nasikia kuna mtu anafanya warm up nafikiri utakuwa mpango wa kuingiza wapiga penati

Hakika kumekucha safari hii sio mchezo Sub zote zimeisha Ila tunaingiza wapiga penati ambao wako wanafanya warm up.

Sasa tusiangushane.
Kwa ccm ,imebaki na watu watatu tu, mmoja huyu namfahamu vizuri ,ni mkuu wa mkoa mahala ila sio P Mackonda , wa pili ni mzee wa makamu ila sio umri wa mzee Wasira, wa tatu huyu ni kidogo ni shida ,mzee pia ila sio umli wa mzee Wasira pia .

Ukichukua hawa wazee wawili nje ya umri ya mzee wasira na akawepo uyo wa tatu ambae hakuwahi kuwa na nyadhifa kuu ccm , angalau majukwaa ya siasa yanaweza Ongeleka . Kwa mtazamo tu wa Mungu wangu .

Ccm hutupa vipaji nje that's hubaki na watu hovyo
 
Anatoka mwanamke (Ruvuma) anaingia mwanaume (Tanga)

Sekta binafsi mishahara mipya vipi,,? Mbona mnakausha..
 
Hakika kumekucha safari hii sio mchezo Sub zote zimeisha Ila tunaingiza wapiga penati ambao wako wanafanya warm up.

Sasa tusiangushane.
[/QUOTDr?

Jaman hizi code mbona ngumu sana

Kuna nini huko ulimwenguni?
 
Back
Top Bottom