Bunge la USA linataka kupitisha Sheria 2 baada ya Trump kutoa msamaha kwa Stone rafiki yake aliyefungwa miezi 40 kwa kukataa kutoa USHAHIDI dhidi ya Trump.
1. APPPA- kuhakikisha Trump hachezei madaraka ya kusamehe.
2.NPALA - kuhakikisha rais anashtakiwa baada ya kuacha madaraka
Rais hawezi kuwa JUU ya SHERIA. Yeye ni Mwananchi kama wananchi wengine. Tumempa dhamana ya kuongoza Nchi na si ya KUTAWALA. Nchi lazim UTAWALIWE kwa mujib ya KATIBA na SHERIA na si MATAKWA ya Rais. Tujifunze kutoka wenzetu kama 🇺🇸
Watu walioleta wazo la kutoa kinga kwa Raisi, walikuwa na mawazo mabovu mno.Jambo lingine la hovyo ni sheria iliyopitishwa na Bunge kutokukwa sheria kamili mpaka Raisi asaini muswaada husika kuwa sheria,sasa akikataa sijui inakuwaje!!
Kwa bunge lipi ndugu? hili la ndugai la mipasho, uswahili, kujikomba na ambalo linasimamiwa na .......!
Labda tuwate maspika nguli na hodari kama akina Sitta. RIP Mh. Sitta.