Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,867
Bunge la USA linataka kupitisha Sheria 2 baada ya Trump kutoa msamaha kwa Stone rafiki yake aliyefungwa miezi 40 kwa kukataa kutoa USHAHIDI dhidi ya Trump.
1. APPPA- kuhakikisha Trump hachezei madaraka ya kusamehe.
2.NPALA - kuhakikisha rais anashtakiwa baada ya kuacha madaraka
Rais hawezi kuwa JUU ya SHERIA. Yeye ni Mwananchi kama wananchi wengine. Tumempa dhamana ya kuongoza Nchi na si ya KUTAWALA. Nchi lazim UTAWALIWE kwa mujib ya KATIBA na SHERIA na si MATAKWA ya Rais. Tujifunze kutoka wenzetu kama 🇺🇸
1. APPPA- kuhakikisha Trump hachezei madaraka ya kusamehe.
2.NPALA - kuhakikisha rais anashtakiwa baada ya kuacha madaraka
Rais hawezi kuwa JUU ya SHERIA. Yeye ni Mwananchi kama wananchi wengine. Tumempa dhamana ya kuongoza Nchi na si ya KUTAWALA. Nchi lazim UTAWALIWE kwa mujib ya KATIBA na SHERIA na si MATAKWA ya Rais. Tujifunze kutoka wenzetu kama 🇺🇸