Ndugu zangu Wana JF,
Mwishoni mwa mwaka uliopita nilileta post hapa nikiomba ushauri ili kulinda kibarua na kuwa jirani na familia. Wengi kama sio wote waliochangia walinipa na ushauri mzuri iloi hatimaye mambo yaweze kwenda vizuri.
Napenda kutumia fursa hii kuwajulisha kuwa hatimaye wiki iliyopita nimepokea barua inayoniruhusu kuhamia jirani na familia. Hivi ninavyoandika hapa nipo njiani kwenda kuanza kazi kwenye kituo changu kipya cha kazi fursa ambayo itanifanya sasa niungane na familia yangu.
Nawashukuruni wote mkiongozwa na Typical Tz kwa ushauri wenu.
Mwishoni mwa mwaka uliopita nilileta post hapa nikiomba ushauri ili kulinda kibarua na kuwa jirani na familia. Wengi kama sio wote waliochangia walinipa na ushauri mzuri iloi hatimaye mambo yaweze kwenda vizuri.
Napenda kutumia fursa hii kuwajulisha kuwa hatimaye wiki iliyopita nimepokea barua inayoniruhusu kuhamia jirani na familia. Hivi ninavyoandika hapa nipo njiani kwenda kuanza kazi kwenye kituo changu kipya cha kazi fursa ambayo itanifanya sasa niungane na familia yangu.
Nawashukuruni wote mkiongozwa na Typical Tz kwa ushauri wenu.