Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,314
- 7,167
Yaani wewe unamtajia maeneo ya mjini atashindwa kuyafahamu wakati amekwambia keshatembelea wilaya zote? Ungemwambia ndani ndani huko, wilaya kama Chemba, Kakonko, Buhigwe n.kMkuu, kutokana na majukum yangu ya kikandarasi mimi pia nimezunguka sana nchi hii yote pamoja na majiran zake..
Sema ckua mtu wa kukaa muda mrefu kama wewe (Now I am 25 yrs).
Sasa baba (au we ni mama??) nimabie maeneno haya chini yako wilaya gani mkoa gani:
Mshikamano, Ndemdezi, Bushushu, Mwasele na Lubaga.
#Chief Eng.