Nashtuka sana nikipigiwa simu.

Nashtuka sana nikipigiwa simu.

Prince Mujubu

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2016
Posts
340
Reaction score
249
Asalam.
Wakuu tatizo langu nashtuka sana na ringtone ya simu yangu,yaan nikiskia tu imeita mi roho juu nashtuka hadi nahisi naweza kupata cardiac arrest baadae.

Nimejaribu kujikaza kwa muda lakini nimeshindwa,hapa nilipo simu yangu iko silent mode for the last few months lakini hili jambo bado tu linanitesa naweza sikia hata kwa simu ya mtu tofauti na yangu.

Naombeni msaada wenu wakuu nifanye nini kuepuka hili janga mtu unaweza kupotea hivihivi kizembe kabisa.
 
Dhuuu huuu ugonjwa nilikuwa nao na nina hisi bado ninao
 
Uko addicted sana na simu pasi na shaka, anza kujizoesha kwa kuizima simu yako hasa nyakati za usiku unapolala au hata wakati wowote unapotaka kupumzika.


Niliwahi kukumbwa na hali kama hiyo, nikawa naizima simu yangu hata kwa siku mbili au tatu mfululizo sijihusishi nayo kabisa kwa muda wa miezi kadhaa nikaanza kuizoea hali ya kukaa bila kuwa na simu mwishowe ikatoweka unless unatumia simu kuendesha kazi zinazokuingizia kipato chako kiasi kwamba ukiiacha kwa dakika kadhaa inapata hasara
 
Uko addicted sana na simu pasi na shaka, anza kujizoesha kwa kuizima simu yako hasa nyakati za usiku unapolala au hata wakati wowote unapotaka kupumzika.
Niliwahi kukumbwa na hali kama hiyo, nikawa naizima simu yangu hata kwa siku mbili au tatu mfululizo sijihusishi nayo kabisa kwa muda wa miezi kadhaa nikaanza kuizoea hali ya kukaa bila kuwa na simu mwishowe ikatoweka unless unatumia simu kuendesha kazi zinazokuingizia kipato chako kiasi kwamba ukiiacha kwa dakika kadhaa inapata hasara
Thanks mkuu kuzima simu for three days?huo mtihani mkubwa ntajaribu lakini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom