Nashindwa kumweleza ukweli

Nashindwa kumweleza ukweli

HAONI Kwa mujibu ya maelezo yako, inaonesha wewe sio mwaminifu ktk ndoa yako!!!
Kwanini ukimbie kupima na mkeo?
Umemuua bure mtoto wa watu!
...
Na ikiwa aliyosema watu8 (..mkeo anajua hali yake but anataka nawe ujijue...) then huyo mkeo hajakuonesha hali yoyote ya kuchukizwa na hayo matokeo, hapo iko namna!
...
My take:
Ongozana na mkeo mukapime tena, ili muanze kutumia dawa na kufuata miko/masharti ya matabibu! Ili muishi kwa matumaini!!!
Just mkapime bila kupoteza mda! Huwezjua pengine wewe and/or mkeo hamujaathirika!
 
Last edited by a moderator:
mmh ngumu kumeza.maana na wahudumu wa hospitali hao huwa hawana siri,ingawa ni makosa.kikubwa kuwa muwazi kwa mke wako iwe isiwe ipo siku haitokuwa siri tena kwa mke wako.pole sana
 
Pole ndugu yangu! kuwa na maambukizi ya vvu sio mwishn wa kuishi! cha msingi zingatia ushauri nasaha, kuwa muwazi kwa mkeo kama unaona vigumu mwambie ombi lake la kutaka mkapime umeridhia mwende mkapime! Unatakiwa ujiamini na uishi kwa matumaini!
 
Nilivyopata kuzungumza na wataalamu wa hilo gonjwa wengi wana sema kuwa uwezekano wa kupata ukimwi kwa mwanamke ni mkubwa sana kuliko kwa mwanamme. Hali kadhalika katikia ulimwangu wa sasa Wajawazito wote wanapimwa vvu. sasa kama alisema mdau moja hapo juu kuwa yawezekana hata mkeo anaijua hali yake. Sasa yawezekana wote wanafichana tu hapo. NOW, Vuta pumzi, ukimwi sio kifo kwa haraka kama anavyo zani, kwanza hapo duniani hajafika kuhamia hapo, kuwa kama mwanajesji, Kazi nzuri lakini kifo mkononi. Tafuta fursa nzuri, onngea na mkeo mwambie ukweli, na hiyo itawasidieni kuishi kadiri mashariti ya ya ngoma yenyewe yanavyotaka.
 
duu nasikitika elimu ya ukimwi bado sana haya amuuaje mke wake kama anavyodai?na nani kakuambia kuwa ukipima ukikutwa nao moja kwa moja mnaanza kutumia dawa?afu si vizuri kumshutumu mleta mada lililotokea limetokea huyu bwana anahitaji ushauri mzuri sana si kumshutumu hivo
HAONI Kwa mujibu ya maelezo yako, inaonesha wewe sio mwaminifu ktk ndoa yako!!!
Kwanini ukimbie kupima na mkeo?
Umemuua bure mtoto wa watu!
...
Na ikiwa aliyosema watu8 (..mkeo anajua hali yake but anataka nawe ujijue...) then huyo mkeo hajakuonesha hali yoyote ya kuchukizwa na hayo matokeo, hapo iko namna!
...
My take:
Ongozana na mkeo mukapime tena, ili muanze kutumia dawa na kufuata miko/masharti ya matabibu! Ili muishi kwa matumaini!!!
Just mkapime bila kupoteza mda! Huwezjua pengine wewe and/or mkeo hamujaathirika!

HAONI kamata mchuma mchukue mkeo nendeni AMREF mkapime ili mke apate ushauri nasaha zaidi japo nauhakika mkeo kapima
 
Last edited by a moderator:
haya mambo ya ujauzito na vvu au ukimwi noma nilimpoteza dadangu hivihivi kidonda hakijapona.Kila akienda hospital anaambiwa apime harudi hospital ile tena clinic ya mtoto haendi kwenye kuzaa akaenda private sijui alihonga akazaa mtoto kinga hana kitoto kikafariki na yeye kuanza kuumwa hapo ndo tukakamata mchuma fasta kumfata alipo na kumpeleka hospital akaanza dawa na tukambeba kuja nae dar.Akasimama na nguvu akapata akarudi kama zamani.Akarudi mkoa anaokaa sijui ibilisi gani aliyemkumba na wakati dawa zinachululiwa dar mi mwenyewe namtumia na kuna dawa za asili za burundi alikuwa anatumiwa akaacha kumeza dawa sie kuja kupata taarifa kaacha na kuanza kuumwa ndani ya wiki kakonda,kavurugika,kukamata mchuma fasta kumfata mkoa i mi na ndugu yangu mwingine ili kumuangalia apate nafuu turudi nae dar ila haikuwa ridhiki baada ya wiki moja ya kuhangaika kumuokoa akaondoka. HAONI mchukue mkeo haraka sana mkapime hata kama kapima anahitaji support yako sana haijalishi kama majibu positive au negative ila anakuhutaji sana kipindi hiki
 
Last edited by a moderator:
Mkuu yaani out of nowhere aanze tu kutumia kondomu mind mkewe ni mjamzito....sasa hiyo kondomu sijui mkewe akiuliza kwa nini yavaliwa jamaa atajibu nini...

Suala la muhimu ni huyu jamaa kwa kuwa anajua hali yake, akae chini na mkewe na kumueleza. Kuwa na HIV sio ndio kwamba u marehemu...kila mtu ataonja mauti ni vile hakuna ajuaye ni namna gani roho yake itavyochukuliwa.

angalia mimba isije ikatoka ghafla
 
haya mambo ya ujauzito na vvu au ukimwi noma nilimpoteza dadangu hivihivi kidonda hakijapona.Kila akienda hospital anaambiwa apime harudi hospital ile tena clinic ya mtoto haendi kwenye kuzaa akaenda private sijui alihonga akazaa mtoto kinga hana kitoto kikafariki na yeye kuanza kuumwa hapo ndo tukakamata mchuma fasta kumfata alipo na kumpeleka hospital akaanza dawa na tukambeba kuja nae dar.Akasimama na nguvu akapata akarudi kama zamani.Akarudi mkoa anaokaa sijui ibilisi gani aliyemkumba na wakati dawa zinachululiwa dar mi mwenyewe namtumia na kuna dawa za asili za burundi alikuwa anatumiwa akaacha kumeza dawa sie kuja kupata taarifa kaacha na kuanza kuumwa ndani ya wiki kakonda,kavurugika,kukamata mchuma fasta kumfata mkoa i mi na ndugu yangu mwingine ili kumuangalia apate nafuu turudi nae dar ila haikuwa ridhiki baada ya wiki moja ya kuhangaika kumuokoa akaondoka. HAONI mchukue mkeo haraka sana mkapime hata kama kapima anahitaji support yako sana haijalishi kama majibu positive au negative ila anakuhutaji sana kipindi hiki

Pole sana imenisikitisha sana....
 
Last edited by a moderator:
Mimi mahusikaje huku lakini mwallu!??

Au Kaizer kakudanganya ninao!??

pole sana
ongea na mkeo
n nijuavyo wajawazito huwa wanapima HIV mapema tu
wengine huwa wanakua HIV -ve huku wenza wao wanakua HIV +ve Mentor njoo huku
 
Last edited by a moderator:
Kaka pole sana.....hadi roho inaniuma hapa
 
Mbona kopi endi pesti kabisa hii? Kinadharia mno.
 
Back
Top Bottom