Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,355
HAONI Kwa mujibu ya maelezo yako, inaonesha wewe sio mwaminifu ktk ndoa yako!!!
Kwanini ukimbie kupima na mkeo?
Umemuua bure mtoto wa watu!
...
Na ikiwa aliyosema watu8 (..mkeo anajua hali yake but anataka nawe ujijue...) then huyo mkeo hajakuonesha hali yoyote ya kuchukizwa na hayo matokeo, hapo iko namna!
...
My take:
Ongozana na mkeo mukapime tena, ili muanze kutumia dawa na kufuata miko/masharti ya matabibu! Ili muishi kwa matumaini!!!
Just mkapime bila kupoteza mda! Huwezjua pengine wewe and/or mkeo hamujaathirika!
Kwanini ukimbie kupima na mkeo?
Umemuua bure mtoto wa watu!
...
Na ikiwa aliyosema watu8 (..mkeo anajua hali yake but anataka nawe ujijue...) then huyo mkeo hajakuonesha hali yoyote ya kuchukizwa na hayo matokeo, hapo iko namna!
...
My take:
Ongozana na mkeo mukapime tena, ili muanze kutumia dawa na kufuata miko/masharti ya matabibu! Ili muishi kwa matumaini!!!
Just mkapime bila kupoteza mda! Huwezjua pengine wewe and/or mkeo hamujaathirika!
Last edited by a moderator: