yaelekea we penda penda sana mkuu,yan m2 anajipitia zake 2 mtaan we ushampenda?khaaaaaKuna mkaka anapitaga hapa mtaani kwetu, yaani nampenda ila kumwambia ndiyo nashindwa, usoni naona haya, hata sijui nifanyeje? Nisaidieni pleeeease.
Mapenzi kakaaangu! lolyaelekea we penda penda sana mkuu,yan m2 anajipitia zake 2 mtaan we ushampenda?khaaaaa
Kuna mkaka anapitaga hapa mtaani kwetu, yaani nampenda ila kumwambia ndiyo nashindwa, usoni naona haya, hata sijui nifanyeje? Nisaidieni pleeeease.
acha tamaa mkuu!we c una mke na watoto 6 au unafkri ha2kujui?Kwan ww unakaa wapi? uckute ndo mimi...ili turahisishe mambo.
hamna cha mapenz wala nin hapo,pepo wa ng*no 2 huyo anakusumbua ndugu yangu.Mapenzi kakaaangu! lol
Kuna mkaka anapitaga hapa mtaani kwetu, yaani nampenda ila kumwambia ndiyo nashindwa, usoni naona haya, hata sijui nifanyeje? Nisaidieni pleeeease.
weee kaka wee! barua tena! he makubwa......mwandikie barua...usisahau kutafuta karatasi yenye maua au unaweza kuchora mwenyewe.
tena usisahau kumchorea maua...weee kaka wee! barua tena! he makubwa......