Kbsaaaa na akithubutu kumwaga mboga basi unammwagia ugali abaki njaa.Hii ninayokupa ni mbinu ya kishetani,
Mpe sharti kuwa awe msiri wako japo once ili aikwae kazi, akiwa msiri wako na siri zako zingine atazihifadhi hatazifikisha kwa my wife wako.😀
Kamwe...!!!Hii ninayokupa ni mbinu ya kishetani,
Mpe sharti kuwa awe msiri wako japo once ili aikwae kazi, akiwa msiri wako na siri zako zingine atazihifadhi hatazifikisha kwa my wife wako.😀
Shemeji kumbe unanizingua mpango wa kazi sababu ni hiyo? nifanyie mpango ntatunza siri i promise.Katika hali inayonisikitisha shemeji yangu kamaliza economics chuo flan, sasa hapa kazini kwangu kuna post ambayo mimi naweza kufanya makeke nimuingize kwenye post hiyo kwa kuwa mimi ndio mkuu wa idara na nimeambiwa nichague mtu ninaye mtaka.
Tatizo hapa ofisini nina nyumba ndogo yangu tunakaa vizuri kabisa, sasa najua nikimleta shemeji hapa habari zote zitafika kwa dada yake nyumbani yaani ataharibu timing zangu zote, kama bwai na iwe mbwai atafute kazi sehemu nyingine huko.
Au mnasemaje wadau??
Huyo shemeji ako ni she?
hujamjibu jamaa sababu ya kuwa na mchepuko...nimekupata mkuu,ushauri mzuri sana huu mkuu,wema usije ukaniponza
Hongera una nyumbamba ndogo!!!Katika hali inayonisikitisha shemeji yangu kamaliza economics chuo flan, sasa hapa kazini kwangu kuna post ambayo mimi naweza kufanya makeke nimuingize kwenye post hiyo kwa kuwa mimi ndio mkuu wa idara na nimeambiwa nichague mtu ninaye mtaka.
Tatizo hapa ofisini nina nyumba ndogo yangu tunakaa vizuri kabisa, sasa najua nikimleta shemeji hapa habari zote zitafika kwa dada yake nyumbani yaani ataharibu timing zangu zote, kama bwai na iwe mbwai atafute kazi sehemu nyingine huko.
Au mnasemaje wadau??
Hivi ni kweli kuchepuka ni lazima?Dah kazi mpe ila atasema coz akianza kazi atakuwa na mashoga tena ataanza kuwaleta kwako hao ndo chanzo trust me atasemaaaaa! Afu kwa nn hukumtaftia kazi sehemu nyingine? Yaan kazi ya kufanya na ndugu sio nzuri mara nae atakuanzishia vitibwi
mm staki kuhoji kwa nn unachepuka kwa sababu kaka yangu alishanipaga majibu kuwa hata mwanamke awe mzuriiii kiasi gani lazima mwanaume achepuke na sina tatizo lolote na mtu akichepuka kwa heshima.
Nisihukumu ila huyo dada anaweza kuwa chanzo cha ugomvi kwenye ndoa yako coz si sasa hivi anabanwa na dada yake, akianza kazi atakuwa anakutega kwenye gani nawe utategeka mchepuko wako akijua ni zaidi ya shida,
ushauri embu kwa garama yeyote mtaftie sehemu nyingine fasta
badala ya kumshauri aachane na uzinzi un amfundisha mbinu za kuendelea na uzinziHii ninayokupa ni mbinu ya kishetani,
Mpe sharti kuwa awe msiri wako japo once ili aikwae kazi, akiwa msiri wako na siri zako zingine atazihifadhi hatazifikisha kwa my wife wako.😀
Huna wema wowote, ungekuwa mwema ungeanza na kumfanyia wema mkeo, ona tabia yako ya kukosa uaminifu inakunyima kuwapa fursa ndg zakonimekupata mkuu,ushauri mzuri sana huu mkuu,wema usije ukaniponza
Kweli we msema kweli, umesema ukweli wa moyo wako!Katika hali inayonisikitisha shemeji yangu kamaliza economics chuo flan, sasa hapa kazini kwangu kuna post ambayo mimi naweza kufanya makeke nimuingize kwenye post hiyo kwa kuwa mimi ndio mkuu wa idara na nimeambiwa nichague mtu ninaye mtaka.
Tatizo hapa ofisini nina nyumba ndogo yangu tunakaa vizuri kabisa, sasa najua nikimleta shemeji hapa habari zote zitafika kwa dada yake nyumbani yaani ataharibu timing zangu zote, kama bwai na iwe mbwai atafute kazi sehemu nyingine huko.
Au mnasemaje wadau??
Umemshauri vema, hongeraNakushauri kaka angu, kuwa mwaminifu ktk ndoa yako. Pia kila mtu duniani hapa ana harakati zake, Leo tajiri wewe, na kesho utakua maskini wewe pia, na hutajua atakayekusaidia. Mtafutie kazi Shem wako, na rudisha mapenz yote kwa mkeo.
Labda nikuulize, vp wewe ukichukuliwa mke?
Mbuzi kazimia mbele ya banda la muuza supu.M nimekufuata pm mkuu....naomba nisaidie
Upo vizuri. Talking from experience!Kwani huo mchepuko wako umeuambia kwamba wewe uko singo? Si muwe mnavunga mambo yenu mkafanyie sehemu nyingine? Au ndo ofisi nzima wanajua mahusiano yenu...kama ndo hivyo mtakuwa maboya watu mnajijua mnaiba af mnajianika[emoji23]