Nashindwa kumtafutia shemeji kazi

Nashindwa kumtafutia shemeji kazi

Fanya iwe siri kama ni shemegi yako na unapenda mchepuko chepuka nae kwanza kisha mpe ajira uone kama ataenda kumwambia mkeo kitu chochote
 
Nakushauri kaka angu, kuwa mwaminifu ktk ndoa yako. Pia kila mtu duniani hapa ana harakati zake, Leo tajiri wewe, na kesho utakua maskini wewe pia, na hutajua atakayekusaidia. Mtafutie kazi Shem wako, na rudisha mapenz yote kwa mkeo.
Labda nikuulize, vp wewe ukichukuliwa mke?
Mwache achepuke bana Kwan SI starehe zake, usipende kuingilia faragha za watu, kila mtu na maisha yake
 
mkuu sikiza nikuambie! mpe kazi shem wako! unless kama kuna figisu figisu nyingine kati yako na yeye, kama hamna mpe shavu, ninavojua mimi, ataufyata tu! yaani hiyo siku akijua unapiga game za nje kisela, hatathubutu kufyanya fyoko, psychologically kumpatia mchongo manake ameingia ktk 18 zako! Hawa viumbe walivo, hata kumla unamla ukitaka ktk situation kama yako, lkn in due respect wee mpe job, kisha piga kimya!

Tena huyu mwepesi sana kamanda wng, anaficha siri huyu, hafanyi kitu! mkuu msemakweli hii scenario simple sana! usiwaze kabisa! labda kama unazungumzia kazi za Foreverliving, lkn kazi kwa maana ya kazi, tena kwa msoto huu, huyo lazima akae!
 
"Walioko ndani ya ndoa chini ya miaka mitatu na wale ambao hawajaoa/kuolewa, hawawezi kujua kwa nini tunacheat"....nimeondoka na hilo tu, mwanzo niliambiwa walioko ndani ya ndoa chini ya miaka miwili, leo wameongeza mwaka...
 
Mwache achepuke bana Kwan SI starehe zake, usipende kuingilia faragha za watu, kila mtu na maisha yake
Ingekua hvo unavyofkiria asingetuma post ya kutaka ushauri. Na hata hvo , mhusika niliyemshauri hvo hakunijibu ulivyojibu wewe. What if ungepost wewe??????
 
"Walioko ndani ya ndoa chini ya miaka mitatu na wale ambao hawajaoa/kuolewa, hawawezi kujua kwa nini tunacheat"....nimeondoka na hilo tu, mwanzo niliambiwa walioko ndani ya ndoa chini ya miaka miwili, leo wameongeza mwaka...
wanaongeza mwaka ndani ya kipindi kisichofika mwaka!
 
We jamaa ni nouma aisee,mpe kazi bwa shemeji acha utoto bhana...piga chini nyapu maisha yasonge..
 
Sasa skia...Tena skiliza vizuri maana sirudii mara mbili...Cha kufanya ni hiki.......Nenda chooni ukajisaidie big need halafu toka bila kunawa.....Ukishafika hapo nje kata kulia..Nyoosha weeeeeeee....Halafu simama hapo hapo....

Utaniambia mwenyewe matokeo yake......Lazma Yanga ishinde tu
Ha ha ha haaaa..huishiwi vituko wewe mtu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] noumaaaaaaa kweli asee!!! Haa haa haaa
 
Dah kazi mpe ila atasema coz akianza kazi atakuwa na mashoga tena ataanza kuwaleta kwako hao ndo chanzo trust me atasemaaaaa! Afu kwa nn hukumtaftia kazi sehemu nyingine? Yaan kazi ya kufanya na ndugu sio nzuri mara nae atakuanzishia vitibwi
mm staki kuhoji kwa nn unachepuka kwa sababu kaka yangu alishanipaga majibu kuwa hata mwanamke awe mzuriiii kiasi gani lazima mwanaume achepuke na sina tatizo lolote na mtu akichepuka kwa heshima.

Nisihukumu ila huyo dada anaweza kuwa chanzo cha ugomvi kwenye ndoa yako coz si sasa hivi anabanwa na dada yake, akianza kazi atakuwa anakutega kwenye gani nawe utategeka mchepuko wako akijua ni zaidi ya shida,

ushauri embu kwa garama yeyote mtaftie sehemu nyingine fasta
 
Katika hali inayonisikitisha shemeji yangu kamaliza economics chuo flan, sasa hapa kazini kwangu kuna post ambayo mimi naweza kufanya makeke nimuingize kwenye post hiyo kwa kuwa mimi ndio mkuu wa idara na nimeambiwa nichague mtu ninaye mtaka.

Tatizo hapa ofisini nina nyumba ndogo yangu tunakaa vizuri kabisa, sasa najua nikimleta shemeji hapa habari zote zitafika kwa dada yake nyumbani yaani ataharibu timing zangu zote, kama bwai na iwe mbwai atafute kazi sehemu nyingine huko.
Au mnasemaje wadau??


"foolish answer is the best for foolish question"
Man is *** on ur biscuits?
 
Katika hali inayonisikitisha shemeji yangu kamaliza economics chuo flan, sasa hapa kazini kwangu kuna post ambayo mimi naweza kufanya makeke nimuingize kwenye post hiyo kwa kuwa mimi ndio mkuu wa idara na nimeambiwa nichague mtu ninaye mtaka.

Tatizo hapa ofisini nina nyumba ndogo yangu tunakaa vizuri kabisa, sasa najua nikimleta shemeji hapa habari zote zitafika kwa dada yake nyumbani yaani ataharibu timing zangu zote, kama bwai na iwe mbwai atafute kazi sehemu nyingine huko.
Au mnasemaje wadau??
Easy......mchakate kwanza Shem ndo umpe kazi. Atakuwa anakuheshimu na atakuwa anajishtukia, wewe unateleza tu na umalaya wako.
 
Hii design unatubeba hivi. Kama unaweza pull strings kiasi hicho hapo kazini kwako, then ungekuwa na uwezo wa kufanya hivyo ofisi zingine through connections. Either kwa shemeji, au mchepuko.

Ofisi gani kwanza hiyo, wanakuambia weka yeyote utakayeamua?
 
mkuu , nakushauri utupie macho upande mwingine, usijitie kihere here cha kumtafutia kazi shem wako, ila pia kama ni mtu wa kuji mix ulizia ulizia opening ofisi za marafiki zako ili umtuupie huko ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom