kitambaa Cha sofa
Member
- May 23, 2023
- 40
- 93
Mimi nina miaka 40 na ushee, miaka mitano iliyopita nilipata tatizo la kutokurudia tendo yaani nikipiga goli langu moja basi mpaka kesho.
Sasa mwezi mmoja uliyopita limeibuka tatizo lingine nikiwa KWENYE sex sikojoi yaan nafanyaa... halafu dushe linawyeaaa hapo ndio basi mpaka kesho tena.
Mwenzenu nina mwezi siijui raha ya kukojoa.
Wataalamu naombeni ushauri
Sasa mwezi mmoja uliyopita limeibuka tatizo lingine nikiwa KWENYE sex sikojoi yaan nafanyaa... halafu dushe linawyeaaa hapo ndio basi mpaka kesho tena.
Mwenzenu nina mwezi siijui raha ya kukojoa.
Wataalamu naombeni ushauri