Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,030
- 1,384
Jamani Wakuu; hiki kitu kimepostiwa facebook. Nimeshindwa kuamini kama kinawezekana hasa kwa kiwango cha chuo kikuu.
Tunaomba kama kuna yeyote alietokea ktk chuo tajwa au mwenye kufahamu kama yanafanyika haya!!!
Tunaomba kama kuna yeyote alietokea ktk chuo tajwa au mwenye kufahamu kama yanafanyika haya!!!