Shem katika Ubora wako wa Kila Sikulady in action my dear, nahisi tangu naingia jf nakusoma unavyolia tu maskini. Ni yule yule mtu ambaye hadi alikutolea mahari nadhani au ni mwingine? Hujawahi kumove on?
Inawezekana sijawahi kupitia uliyoyapitia, but utaendelea kulia hadi lini, sema imetosha sasa. Huitaji kulia tena, unadeserve kuwa happy. Maisha yako lazima yaendelee no matter what. Mungu alikuleta duniani kwa ajili ya kusudi maalumu. Siku ya mwisho ikifika, Una kitu chochote cha kuangalia nyuma na kusema " Mungu Ahsante kwa maisha niliyoishi? Au unakipi cha kuwa proud nacho?
Kuna muda tutalalamika hadi tunamkufuru Mungu. Unaona kama kuachika ndo mwisho wa maisha yako. But trust me, nimekuja kujua hakuna kitu cha muhimu kama "Afya bora". Una Vitu vingi sana vya kuwa grateful navyo. Upo hai, una afya, una familia, una watu wanaokujali n.k. Hata siku moja hakuna siku utasema nina maisha perfect, but ukienjoy hata hivi unavyoviona ni vidogo kwako, basi maisha utayaona perfect. Usimtegemee binadamu mwingine kukupa furaha, Jipe furaha wewe mwenyewe. Maisha ni yako, hakuna mtu atakayeyaishi isipokuwa ni wewe mwenyewe. Kwa nini ujiharibie maisha yako?
Sema Mungu nakushukuru kwa maumivu niliyoyapata kwa mwanaume yule. Najua yule hakuwa wangu, ila alikuwa njia tu ya kunifikisha kwa mume uliyenipangia. Usichukulie Kila situation negatively, learn to have "the right perspective". Amini tu hakuwa wako, na Mungu alimuondoa kwako kwa kusudi maalumu kwa sababu alijua huko mbeleni angekukwamisha mahali.
Be grateful for every pain and experience. Anza mwanzo mpya, don't endure life, but rather learn to enjoy your life. Jione wewe una thamani, na lazima ufanye kitu kwa ajili ya maisha yako. Please Tafuta wanasaikolojia uongee nao, Usisahau na kuomba sana. Mungu atatenda kitu kwa ajili yako. Itafika siku utajicheka na kutamani hata kujipiga kofi ukikumbuka Ulivyokuwa unamlilia mtu asiye hata na habari na wewe. Hata ungekuwa mzuri kama malaika, alichokipanga Mungu kingetokea tu. My prayers are with you darlin
Some times unajiuliza mtu unaempenda akikuacha ina maana unakuta wewe ni mbaya sana au inakuaje unapendwa aisee unaweza uone hauna thaman ikabisa katika hii dunia.
Eee Mungu nisaidie tu niweze kusahau
Hahaha thanks shem akeShem katika Ubora wako wa Kila Siku
Heaven Sent haka katoto kana akili..uwa kanaongea nukta tupu..Yani Kila siku nazidi kukapenda
Ndiyo maana nimeamua tu kukapa jina langu, na watoto wangu.
Hapa usiondoke bro..
Some times unajiuliza mtu unaempenda akikuacha ina maana unakuta wewe ni mbaya sana au inakuaje unapendwa aisee unaweza uone hauna thaman ikabisa katika hii dunia.
Eee Mungu nisaidie tu niweze kusahau
Ndiyo maana nimeamua tu kukapa jina langu, na watoto wangu.
Ukishindwa Kumpa matunzo wa kukusaidia tupo mkuu
HahahahahaHaha. Naona una-question taste na judgement ya Heavent Sent.
"He's just wishing he could have what God has given to you only"Haha. Naona una-question taste na judgement ya Heavent Sent.
Yani hizi siku mbili umekuwa na upako hatare. Barikiwa sanaUhusiano bora ni Ule ukupao tabasamu, kicheko, na Uhuru wa Moyo na nafsi Yako.. Kwanza naomba ufute neno Mbaya kwa kuwa Kila Alichokiumba mwenyezi Mungu Amekiumba katika Ubora Wake.
Siku Zote Unapotaka kuanzisha Uhusiano na Mwanaume Unatakiwa kuwa makini na kila aina ya mienendo ya mwanaume umtakae...
unapoingia kwenye mapenzi unamaana kuwa unatafuta liwazo na bembelezo la kudumu ma sio mtu wa kukuumiza na Kukuliza kila kitu. lazima Utambue na Kuamini kuwa Mtu unayemchagua ni Sahihi na Atakufanya Uishi katika Amani na tulizo la Moyo...
Usilie kwa kuwa Umeachwa na unashindwa kupiga Hatua, Usilie kwa kuumizwa ma kupata maumivu ya moyo bali Shukuru mungu kwa kukuonyesha Njia Sahihi kabla Hujafika mwisho... Kulia na kuomboleza kwa mtu asiye na Muda na ww ni kutoutendea haki Moyo Wako.
Simama na ufute machozi Wanaolia na kuumizwa ni Wengi na sio ww tu. Usikate tamaa ya Maisha kwa kuachwa na Mmoja Wapo watakaoiona Thamani Yako.. Simama imara na Mungu Atakupigania
Yani hizi siku mbili umekuwa na upako hatare. Barikiwa sana
"He's just wishing he could have what God has given to you only"
ur the best atleast unajua kutia moyo nafikiri ni wengi tumepona kwa ushauri wakoPole sana...mapenzi yanauma