Nashindwa ku move on

Nashindwa ku move on

some times unajiuliza mtu unaempenda akikuacha ina maana unakuta ww ni mbaya? sana au inakuaje wpendwa aisee unaweza uone hauna thaman kabisa katika hii dunia da eee mungu nisaidie tu niweze kusahau
Pole sana dada yangu kwa mambo yanayo kuandama, muombe mungu akupe wepesi wa mambo unayopitia, mungu ndie mwenye uwezo wa kutatua shida zetu .....yaan mnatia huruma sana ndani ya roho yangu.....tunaomba tujue umri wako samahan lakin.
 
Mbona wanaume tunaachika hatuliii tunatafuta mwingine na wewe kaza moyo tafuta mwingine kuna ambae atafika kwako na ananasa kiukweli. galz wote walionipiga chini sasa hivi wananiangalia kwa nyuso za aibu na nadhani wanajuta sana

concrete15 nakubalii,dawa yao ni kuvuta kitu kikali aibu zaidi yao(waliokuona hufai) mercilessly,huwa wanatubu mpaka sio vizuri wanabaki kutokwa mate tu maskini kurudi nyuma haiwezekani unaishia kupewa i miss you kind of texts na kuzi delete. No replies for loosers!
 
Last edited by a moderator:
no replies for loosers, move on mtu aliyekuacha kwa mameno/ maumivu kibao akirudi ujue kaona sasa una furaha anataka aipoteze tena,

mtu akijuacha usijute utakuja pata tulizo la moyo hadi ushangae heeeh
 
lady in action, kwanza jikubali dear maana we ni mrembo mno kwa namna ambayo pengine hujaijua.Huwa ni ngumu kumtoa mtu uliyempenda sana moyoni ila kuna wakati unakuwa huna budi kumtoa tu maana hamna namna nyengine zaidi itakayokuondoa kwenye hayo maumivu.Yupo mtu ambae anakupenda ila hujapata kukutana nae la hasha unachelea kumfungulia moyo kwa kumfikiria mtu aliyekwisha ondoka maishani mwako.
Mchakato rahisi kumsahau uyo ex wako ni kujishughulisha na mambo yako zaidi,usikae mwenyewe tumia mda mwingi kufurahia na rafiki zako au na watoto wako huku ukisubiria mtu sahihi!
 
Last edited by a moderator:
lady in action pole sana mama napenda utambue yupo Mungu anaejishughulisha sana na mambo yetu anasema pia tumtwike fadhaa zetu.
Niliwahi pita katika changamoto flani hivi nilimtwika Mungu fadhaa zangu zote nilifunga siku 40 na niliona Mungu akinitetea kwa namna ya ajabu sana nilipata amani na nilisahau kabisa maumivu yote kiasi ambacho yule aliedhani kua nitateseka alianza kuteseka yeye.

Maandiko yanasema tuuvue kwanza utu wa kale tuvae utu mpya nataka nikutie moyo kwamba uvue ukale piga magoti kwa imani yako omba toba na rehema yamkimi katika hayo mahusiano mlimtenda Mungu dhambi kwa mambo yasiyofaa omba utakasaso alafu anza upya lipo jambo zuri Mungu ameliandaa kwa ajili yako ukomboe wakati kwa kuanza upya mumy

Isitoshe unaemlilia yawezekana amemove on na ya kwake muda mrefu sana so please mama fanya ya kwako ili uukomboe wakati...PAULO ANASEMA ANATENDA NENO MOJA TU AKISAHAU YA NYUMA AKICHUCHUMILIA YA MBELE so u need to move on mpenzi

By the way mshukuru Mungu kwa uhai ulionao na afya njema pia maana katika hayo bado ipo nafasi ya kusonga mbele palipo uhai kuna kila kitu....katika njia zako zote mkiri yeye naye atayanyoosha mapito yako .......kama ukihitaji msaada zaidi karibu PM tuweze kusiaidiana mawazo.......Asante
 
Last edited by a moderator:
some times unajiuliza mtu unaempenda akikuacha ina maana unakuta ww ni mbaya? sana au inakuaje wpendwa aisee unaweza uone hauna thaman kabisa katika hii dunia da eee mungu nisaidie tu niweze kusahau

Act as your name!
 
Pole aisee, wengi tumepitia hali ulio nayo saivi lakini kuvumilia ndio iliotuwezesaha kuvuka salama, waliopaniki waliendelea kupata maumivu na vilio wakati wote. lakini ukichukulia kama ni jambo la kukupeleka htua nyingine siku ipo utakuja kucheka toka moyoni.kuna punda mmoja aliangukia shimoni,na kushindwa kupanda akaanza kulia na kupiga makelele,majirani waliposikia kelele hizo walitoka kuona ninini. Walipogundua ni punda yule na kwasababu walikuwa hawampendi au mwenye nae hwampendi waliazimia kumfukia hukohuko chini, mwenye mawe alitupia vifusi vya udongo walimwagia shimoni ili afie huko,lakini yule mnyama alijua huu ndio mzaada kwaio kila wakijaza ye anajikunguta anapanda juu maudongo na mawe yanakuwa chini japo mara nyingine aliumia lakini aliendelea kufanya hivyo mwishowe katokea juu ya shimo nawale watu ilibidi wakimbie! Kwaiyo dada uwapo katika hali hio jikungute iwe ni ngazi yako ya kupandia juu siku ipo utakua unafuraha ya moyo, lakini usiikaribie dhambi tubu sali toa sadaka jali , ubaikiwe.
 
Pole dadaa kwanza jiangalie na wewe may be kuna ulilolifanya kwake akatoka. Bado unanafasi lkn mwombe Mungu atakufungulia njia.
 
Pole mwaya yataisha na utapata ambaye utajiuliza nilikuwa napoteza muda Kwa yule.maisha yanashonga kama kawaida utakuja ukurasa MPYA na utasahau yanyuma.be strong
 
concrete15 nakubalii,dawa yao ni kuvuta kitu kikali aibu zaidi yao(waliokuona hufai) mercilessly,huwa wanatubu mpaka sio vizuri wanabaki kutokwa mate tu maskini kurudi nyuma haiwezekani unaishia kupewa i miss you kind of texts na kuzi delete. No replies for loosers!

Licha ya kitu kikali kinachojiheshimu then na maendelo yangu kiujumla si unajua ukiwa dent magal wengi hawakushobokei ila huyu nliemfanya wife alinikubali from the beginning life likasonga aiseee kuna wanawake wengine ukiwaoa wanakuja na bahati zao kwenye maisha yako acha kabisa mambo yakanyooka ukipita wanaforce hi nawaitikia na kupiga nao story now wananiona kama mtu muhimu wapite kule.
 
achana naeeee nyan tuu hyoo utamsahau

Mkuu usiseme hayo maneno..coz huwezi jua nini kimemfanya jamaa amemuacha huyu dada...
Vile vile syo kwamba kwa vile we ni mzuri huwezi achwa kwani mtu anapo amua kumchagua mwenza wa maisha kuna vitu mtu huwa anaviangalia na kuona anaweza vivumilia ama laa.., hivyo kila mmoja ana kusudi lake japo tunaweza tofautiana mitizamo...
 
Some times unajiuliza mtu unaempenda akikuacha ina maana unakuta wewe ni mbaya sana au inakuaje unapendwa aisee unaweza uone hauna thaman ikabisa katika hii dunia.

Eee Mungu nisaidie tu niweze kusahau

Pole daaa huwa ni tamaa zao tyuuu hakuna lolote
 
Back
Top Bottom