Nashindwa ku move on

Nashindwa ku move on

lady in action my dear, nahisi tangu naingia jf nakusoma unavyolia tu maskini. Ni yule yule mtu ambaye hadi alikutolea mahari nadhani au ni mwingine? Hujawahi kumove on?

Inawezekana sijawahi kupitia uliyoyapitia, but utaendelea kulia hadi lini, sema imetosha sasa. Huitaji kulia tena, unadeserve kuwa happy. Maisha yako lazima yaendelee no matter what. Mungu alikuleta duniani kwa ajili ya kusudi maalumu. Siku ya mwisho ikifika, Una kitu chochote cha kuangalia nyuma na kusema " Mungu Ahsante kwa maisha niliyoishi? Au unakipi cha kuwa proud nacho?

Kuna muda tutalalamika hadi tunamkufuru Mungu. Unaona kama kuachika ndo mwisho wa maisha yako. But trust me, nimekuja kujua hakuna kitu cha muhimu kama "Afya bora". Una Vitu vingi sana vya kuwa grateful navyo. Upo hai, una afya, una familia, una watu wanaokujali n.k. Hata siku moja hakuna siku utasema nina maisha perfect, but ukienjoy hata hivi unavyoviona ni vidogo kwako, basi maisha utayaona perfect. Usimtegemee binadamu mwingine kukupa furaha, Jipe furaha wewe mwenyewe. Maisha ni yako, hakuna mtu atakayeyaishi isipokuwa ni wewe mwenyewe. Kwa nini ujiharibie maisha yako?

Sema Mungu nakushukuru kwa maumivu niliyoyapata kwa mwanaume yule. Najua yule hakuwa wangu, ila alikuwa njia tu ya kunifikisha kwa mume uliyenipangia. Usichukulie Kila situation negatively, learn to have "the right perspective". Amini tu hakuwa wako, na Mungu alimuondoa kwako kwa kusudi maalumu kwa sababu alijua huko mbeleni angekukwamisha mahali.

Be grateful for every pain and experience. Anza mwanzo mpya, don't endure life, but rather learn to enjoy your life. Jione wewe una thamani, na lazima ufanye kitu kwa ajili ya maisha yako. Please Tafuta wanasaikolojia uongee nao, Usisahau na kuomba sana. Mungu atatenda kitu kwa ajili yako. Itafika siku utajicheka na kutamani hata kujipiga kofi ukikumbuka Ulivyokuwa unamlilia mtu asiye hata na habari na wewe. Hata ungekuwa mzuri kama malaika, alichokipanga Mungu kingetokea tu. My prayers are with you darlin

nimesoma ujumbe wako nimekikuta nalia tu bt namshukuru mungu kwan najua kaniandalia mtu sahihi..... ndo yule yule my ni mwaka na kitu sasa
 
Last edited by a moderator:
nimesoma ujumbe wako nimekikuta nalia tu bt namshukuru mungu kwan najua kaniandalia mtu sahihi..... ndo yule yule my ni mwaka na kitu sasa

Sincerely nilivyoona tu heading na ID yako, Nikasema Mungu ni nini hiki na huyu binti, muda wote huu. I was carried away, nimejikuta Naandika tu hayo yote. Trust me, I wish I could be of any help to you, ingawa sijui kama naweza kukusaidia kwa njia yoyote. Natamani siku nije nikusome ukifurahi na umeendelea na maisha yako. Wote humu tuna matatizo, but tungeendelea tu kukaa chini na kulia, sijui tungekuwa wapi. May God see you through this.

."Seeds of discouragement cannot take root in a Grateful Heart."

"Complain and Remain, .Praise ad you shall be raised".- Joel Osteen
 
nimesoma ujumbe wako nimekikuta nalia tu bt namshukuru mungu kwan najua kaniandalia mtu sahihi..... ndo yule yule my ni mwaka na kitu sasa

mi nakupa pole tu....

ila kumbuka hakuna mbaya au asiyependwa hapa duniani, kile ambacho mi nitaona ni kubaya yupo atakayekiona ni kizuri...
We mshukuru Mungu kwa hiyo hatua maana huwezi jua labda alikuwa anakuepusha na hatari fulani ambayo ingekukabili hapo baadaye...

stay strong
 
lady in action my dear, nahisi tangu naingia jf nakusoma unavyolia tu maskini. Ni yule yule mtu ambaye hadi alikutolea mahari nadhani au ni mwingine? Hujawahi kumove on?

Inawezekana sijawahi kupitia uliyoyapitia, but utaendelea kulia hadi lini, sema imetosha sasa. Huitaji kulia tena, unadeserve kuwa happy. Maisha yako lazima yaendelee no matter what. Mungu alikuleta duniani kwa ajili ya kusudi maalumu. Siku ya mwisho ikifika, Una kitu chochote cha kuangalia nyuma na kusema " Mungu Ahsante kwa maisha niliyoishi? Au unakipi cha kuwa proud nacho?

Kuna muda tutalalamika hadi tunamkufuru Mungu. Unaona kama kuachika ndo mwisho wa maisha yako. But trust me, nimekuja kujua hakuna kitu cha muhimu kama "Afya bora". Una Vitu vingi sana vya kuwa grateful navyo. Upo hai, una afya, una familia, una watu wanaokujali n.k. Hata siku moja hakuna siku utasema nina maisha perfect, but ukienjoy hata hivi unavyoviona ni vidogo kwako, basi maisha utayaona perfect. Usimtegemee binadamu mwingine kukupa furaha, Jipe furaha wewe mwenyewe. Maisha ni yako, hakuna mtu atakayeyaishi isipokuwa ni wewe mwenyewe. Kwa nini ujiharibie maisha yako?

Sema Mungu nakushukuru kwa maumivu niliyoyapata kwa mwanaume yule. Najua yule hakuwa wangu, ila alikuwa njia tu ya kunifikisha kwa mume uliyenipangia. Usichukulie Kila situation negatively, learn to have "the right perspective". Amini tu hakuwa wako, na Mungu alimuondoa kwako kwa kusudi maalumu kwa sababu alijua huko mbeleni angekukwamisha mahali.

Be grateful for every pain and experience. Anza mwanzo mpya, don't endure life, but rather learn to enjoy your life. Jione wewe una thamani, na lazima ufanye kitu kwa ajili ya maisha yako. Please Tafuta wanasaikolojia uongee nao, Usisahau na kuomba sana. Mungu atatenda kitu kwa ajili yako. Itafika siku utajicheka na kutamani hata kujipiga kofi ukikumbuka Ulivyokuwa unamlilia mtu asiye hata na habari na wewe. Hata ungekuwa mzuri kama malaika, alichokipanga Mungu kingetokea tu. My prayers are with you darlin


Fact@MuLemuLe
 
Last edited by a moderator:
"Nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu" akija kichwani mwako rudia haya maneno yatakupa nguvu na utaenda mbele pole sana dada
 
Tunaposema maisha magumu watu wengi hudhani ni katika kutafuta hela tu, ugumu katika mapenzi ndio ugumu hasa wa maisha.

Mapenzi yanaweza yakamfanya maskini ajione kama malkia, na malkia ajione maskini, rejea Princess Diana marriage. So the way you feel is exactly how a proper and sound human being should feel.

Ila ujue wewe sio wa kwanza, na wala hutakuwa wa mwisho. Kitu cha muhimu ni kuitambua dhamani yako, you are a special. Pamoja na mapungufu yako, hakuna mtu mwingine duniani kama wewe. Mtu akinikataa namsikitikia, cause I know what they are about to miss or lose.

Jithamini jiamini, know your worth, people will notice.
 
Mbona wanaume tunaachika hatuliii tunatafuta mwingine na wewe kaza moyo tafuta mwingine kuna ambae atafika kwako na ananasa kiukweli. galz wote walionipiga chini sasa hivi wananiangalia kwa nyuso za aibu na nadhani wanajuta sana
 
sio mbaya kwani alipokutongoza hakujua kama we ni mbaya au umekuwa mbaya baada ya kumkubali? toa hayo mawazo chenye mwanzo hakikosi mwisho

Una uhakika gani yeye ndo alitongozwa??... Pengine yeye ndo alimtongoza
 
lady in action my dear, nahisi tangu naingia jf nakusoma unavyolia tu maskini. Ni yule yule mtu ambaye hadi alikutolea mahari nadhani au ni mwingine? Hujawahi kumove on?

Inawezekana sijawahi kupitia uliyoyapitia, but utaendelea kulia hadi lini, sema imetosha sasa. Huitaji kulia tena, unadeserve kuwa happy. Maisha yako lazima yaendelee no matter what. Mungu alikuleta duniani kwa ajili ya kusudi maalumu. Siku ya mwisho ikifika, Una kitu chochote cha kuangalia nyuma na kusema " Mungu Ahsante kwa maisha niliyoishi? Au unakipi cha kuwa proud nacho?

Kuna muda tutalalamika hadi tunamkufuru Mungu. Unaona kama kuachika ndo mwisho wa maisha yako. But trust me, nimekuja kujua hakuna kitu cha muhimu kama "Afya bora". Una Vitu vingi sana vya kuwa grateful navyo. Upo hai, una afya, una familia, una watu wanaokujali n.k. Hata siku moja hakuna siku utasema nina maisha perfect, but ukienjoy hata hivi unavyoviona ni vidogo kwako, basi maisha utayaona perfect. Usimtegemee binadamu mwingine kukupa furaha, Jipe furaha wewe mwenyewe. Maisha ni yako, hakuna mtu atakayeyaishi isipokuwa ni wewe mwenyewe. Kwa nini ujiharibie maisha yako?

Sema Mungu nakushukuru kwa maumivu niliyoyapata kwa mwanaume yule. Najua yule hakuwa wangu, ila alikuwa njia tu ya kunifikisha kwa mume uliyenipangia. Usichukulie Kila situation negatively, learn to have "the right perspective". Amini tu hakuwa wako, na Mungu alimuondoa kwako kwa kusudi maalumu kwa sababu alijua huko mbeleni angekukwamisha mahali.

Be grateful for every pain and experience. Anza mwanzo mpya, don't endure life, but rather learn to enjoy your life. Jione wewe una thamani, na lazima ufanye kitu kwa ajili ya maisha yako. Please Tafuta wanasaikolojia uongee nao, Usisahau na kuomba sana. Mungu atatenda kitu kwa ajili yako. Itafika siku utajicheka na kutamani hata kujipiga kofi ukikumbuka Ulivyokuwa unamlilia mtu asiye hata na habari na wewe. Hata ungekuwa mzuri kama malaika, alichokipanga Mungu kingetokea tu. My prayers are with you darlin

Dah...umemaliza kbs,huyu dada atakuwa kwenye mapito haswa. Barikiwa mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Mbona wanaume tunaachika hatuliii tunatafuta mwingine na wewe kaza moyo tafuta mwingine kuna ambae atafika kwako na ananasa kiukweli. galz wote walionipiga chini sasa hivi wananiangalia kwa nyuso za aibu na nadhani wanajuta sana

I like ur ID
 
some times unajiuliza mtu unaempenda akikuacha ina maana unakuta ww ni mbaya? sana au inakuaje wpendwa aisee unaweza uone hauna thaman kabisa katika hii dunia da eee mungu nisaidie tu niweze kusahau

Tufungue ukurasa mpya lady in action
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom