Nashawishika kutafuta demu wa pembeni

Nashawishika kutafuta demu wa pembeni

Ni kawaida sn mtu akiwa hivyo na utaona mengi. Mm wangu nilimchukia nikawa sitaki ht kuongea nae lkn alikuwa akiondoka nammiss sn,namsumbua kwny simu hd anarudi home na akirudi nachukia namtukana sn.
Ni vitu ambavyo kiukweli kuvicontrol ni vigumu sn kwsbb inakuwa km vl vinaleta ahueni,yaan yy anavyofanya hivyo anapata ahueni kutokana na magumu ya mimba anayopitia. Cha muhimu vumilia tu.
 
Mkuu Rogie mara nyingi sana aise na nilishawahi kulala pale kwenye gari usiku kucha si unajua pale kuna kizuizi cha polisi na malori mengi huwa yakichelewa huwa yanalala pale
Tulichelewa kufika pale tukitokea Meatu na wakatuambia mbele kuna hatari ya majambazi hatuwezi kuendelea ikabidi tulale pale mpaka alfajiri
Tuliruhusiwa baada ya magari kuanza kuondoka kuelekea mwanza saa kumi na moja alfajiri

Oh sawa sawa kaka.
 
mimba ndio zilivyo, mood ina swing kama imelewa. Kuna saa unataka hadi kumla mtu, kesho yake hutaki kumwona, labda unamtaka balozi.

Trust me anayoyapitia ni magumu zaidi.

Sipati picture. Kumla mtu
 
Wakuu nimeoa nina mwaka mmoja.

Shemeji/wifi yenu ana mimba,kwa kweli kipindi fulani akawa na mapenzi mazito sana na mimi,kiasi kwamba nikiwa field,wikendi lazima anifate,usiku tunaongea na simu mpaka saa 6.

Bandugu amebadilika ghafla,simu anampa house girl kupokea,text hajibu.

Akichoka kelele za ring tone anazima.

Hata sijui nifanyeje,kazi haziendi huku mbali nilipo.

Daaaah,majanga

Ndoa ni zaidi ya simu kawaulize wazazi wako enzi hizo hakukuwa na mawasiliano ya papo kwa hapo waliishije? Naona wewe unatafuta uhalali wa kuchepuka na tayari unaonekana unanyumba ndogo
 
bora angekuwa anaongea hata kunitukana na kunichamba.bahati mbaya ye ni mkimya sana,hongei,akimaind sana anaanza kulia.najitahidi sana kumpa maneno matamu na am sory swty nying sana
 
Hyo siyo tiba mkuu, ebu fanya uchunguzi ufaham tatizo ni nini, jaribu kumdodosa h/girl unaweza kuta anajua chanzo alafu uwe unamtumia sms nzuriiii itafikia hatua atajirud
 
Huyu atakuwa si mpendaji sana, kutopokea simu ni kosa na huenda ni tabia yake (TEMPERAMENT) hata kama hana ujauzito. Chunguza kabla ya kutenda jambo. Tumeumbwa tofauti na hivyo mjali kitofauti na mubali pia. Usipige simu, tafuta muda umfuate. Kisha mpe penzi haswa hadi akojoe vyote kisha yeye atakutafuta kwa simu hadi uizime kabisa ushinde=we kufanya kazi or else wewe usiwasiliane naye hadi hamu imjae, mambo yatakuwa sawa. Mchepuko ni mbaya kwani unaweza kupata panja injini ika-nock na usirudi njia kuu.
 
Ungejua ni mazingira/hali gana mama mjamzito anazokuwa nazo nadhani ingekupa uvimilivu wa kutokukimbilia jf kusaka ushauri. Yawezekana mwenzio unamuonea kwa kumuwazia hivyo kumbe hali yake aliyonayo inamuendesha tofauti na mazoea. Tuliza moyo wako msome vizur mkeo, pamoja na vikwazo walivyopata wazazi wako ni pamoja na hayo mabadiliko lakini hawakukubali kuvunjika moyo. NDOANO HIYO UMENASA MWENYEWE.
 
Mkuu Rogie mara nyingi sana aise na nilishawahi kulala pale kwenye gari usiku kucha si unajua pale kuna kizuizi cha polisi na malori mengi huwa yakichelewa huwa yanalala pale
Tulichelewa kufika pale tukitokea Meatu na wakatuambia mbele kuna hatari ya majambazi hatuwezi kuendelea ikabidi tulale pale mpaka alfajiri
Tuliruhusiwa baada ya magari kuanza kuondoka kuelekea mwanza saa kumi na moja alfajiri

Aisee mr Rocky pale kuna jamaa yule trafiki ana macho mekundu hivi tall kisha mweusiiiii yule ukipita bila kuacha mpunga ujue una bahati nae hata kama mnafahamiana lazima akutoe upepo!
 
Last edited by a moderator:
huwa wanaendekeza mimi mama kayai wala hakuniletea shobo na nlimwambia situmii drama mimba imeingia mpaka amejifunga sikuona maigizo na ameniletea dume la ukweli
 
Google kuhusu changes mwanamke anazopitia akiwa mjamzito itakusaidia kuelewa mengi
 
huwa wanaendekeza mimi mama kayai wala hakuniletea shobo na nlimwambia situmii drama mimba imeingia mpaka amejifunga sikuona maigizo na ameniletea dume la ukweli

mkuu usidanganye,hii habari ya mimba ni habari nyingine,biti langu mimi ni kubwa sana na linafanya kazi,lakini sometimes linafeli,hasira za mateke ya kichanga tumboni anazihamishia kwako
 
Mvumilie mkeo ata yeye hapendi anavyokufanyia ili automatically utokea so you have to be calmed in this transition era. Kila la heri Ba kijacho.
 
Aisee mr Rocky pale kuna jamaa yule trafiki ana macho mekundu hivi tall kisha mweusiiiii yule ukipita bila kuacha mpunga ujue una bahati nae hata kama mnafahamiana lazima akutoe upepo!


Halafu amekaa muda mrefu sana pale bila kubadilishwa
Ila panaendelea sana kwa sasa kutokana na malori kufanya kituo pale wanajenga na guest house pale na hotel maana kipindi tunasimamishwa pale na kulala hata hotel hakuna
 
Ni mood swings tu za mimba vumilia kdogo akizaa tu tataisha! I had the same experience with my first born but it's Ok now mi nilikuwa nanuniwa kabisa, nn kupokea simu
 
mimba ndio zilivyo, mood ina swing kama imelewa. Kuna saa unataka hadi kumla mtu, kesho yake hutaki kumwona, labda unamtaka balozi.

Trust me anayoyapitia ni magumu zaidi.

Kumbe we ni mwnamke, lol!
Mda wote najua kongosho n mwanaume.
Mchangowako ndio umenipa jinsia yako n ipi.
 
Sasa katika hali ya mimba tuu ambayo ni ya muda mfupi unataka kutafuta mpango wa kando vipi ikitokea hali ya ugonjwa itakuaje yaani mnaoa wadogo mno hata kujiongeza ni shida aagh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom