Nashawishika kutafuta demu wa pembeni

Nashawishika kutafuta demu wa pembeni

Duh mie nitahama nimuache akae mwenyewe
 
haah,haah inabidi nicheke,ananambia alipiga cm jana sa 3 uck akakuta nipo busy,eti nilikuwa naongea na wanawake zangu.daah huruma

Kawaida sana wala usihangaike!Kila mimba ina tabia yake aisee, wengine wakikwambia huwa wanafanya vituko gani wakati wa ujauzito mbona utasema wa kwako ana nafuu??
 
nimeyachukua mawazo ya wadau,of coz 'nimemlilia',japo amezuga zuga at the end kaanza kunicheka jinsi nilivokuwa nampet
 
haah,haah inabidi nicheke,ananambia alipiga cm jana sa 3 uck akakuta nipo busy,eti nilikuwa naongea na wanawake zangu.daah huruma

Mkuu, Simu uliyokuwa unaongea nayo ilipokatwa, hukuona missed call ya mkeo?
 
Mkuu, Simu uliyokuwa unaongea nayo ilipokatwa, hukuona missed call ya mkeo?

Niliiona na nilipoipoipiga akagoma kupokea, nilizidi sana akampa housegirl apokee, of coz nimejifunza mengi, maana hata yeye baadae ananiambia sio yeye ni mimba
 
[QUwe we sandybird314;9770746]Duh mie nitahama nimuache akae mwenyewe[/QUOTE]

Wee naye! Kuitwa baba Kazi. Kwa mtaji huu ubaba wako utakuwa na walakini.
Kwa hiyo nawe ukiumwa ahame akuache ukae mwenyewe?
Au wewe sio muumini wa "for better for worse"?
 
Watu wengine sijui mmezal8wa majira gani....

Badala ya kuwaza hali ya mkeo unawaza kuchepuka...

Unajua kimuhemuhe cha mimba wewe?

Hovyo kabisa
 
Siku hizi ndoa zinafanyiwa mzaha sana na watu wanaingia katika ndoa bila kuwa na elimu sahihi juu ya wanachokifanya. Matokeo yake ndoa kuvunjika mapema, mifarakano isioisha ndani ya ndoa na mawazo kama ya huyu ndugu yetu hapa. Mwaka tu ameshaanza kufikiria mchepuko.?

NB: Na ndoa zote ziheshimiwe. Huu si usemi kwa ambao hawajaoa tu, hata waliooa inawahusu pia. Heshimu ndoa yako kijana. Take care of mkeo na hicho kiumbe anachotarajia kukuzalia, iwe furaha kwenu
 
Niliiona na nilipoipoipiga akagoma kupokea, nilizidi sana akampa housegirl apokee, of coz nimejifunza mengi, maana hata yeye baadae ananiambia sio yeye ni mimba

Sasa kama alishakwambia kwamba hali yake hiyo inasababishwa na mimba, ambayo ni zao lako pia...why unawaza kuchepuka?

Fahamu mabadiliko ya mwenzako kulingana na hali na wakati alionao..usijump into stupid conclusions (sorry for this)
 
wanawake wa mijini wana raha aisee....

mapenzi yakizidi, haya ndio huwa matokeo yake!

wanawake wenzao huku vijijini hawana hizo swaga!

mimba za miezi saba lakini bado wanasongo shamba kama kawa na familia inapikiwa na kula as normal.
 
Sasa kama alishakwambia kwamba hali yake hiyo inasababishwa na mimba, ambayo ni zao lako pia...why unawaza kuchepuka?

Fahamu mabadiliko ya mwenzako kulingana na hali na wakati alionao..usijump into stupid conclusions (sorry for this)

unajua hizo ni updates tu,mambo yaliendelea ku-change,
 
wala c kushawishika n tabia yako inamana uvumilivu kwako n mdogo hata uaminifu n ivyo hivyo iki n kipind cha kumfariji kuwa nae karbu ili na yeye ajisikie furaha ukifanya hvyo utamsababishia matatizo makubwa kuliko hilo linaloweza kuepukika
 
Yaani kutokupokea simu tu, tayari unaamua kuchepuka. Una lako jambo wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom