Nashawishika kutafuta demu wa pembeni

Nashawishika kutafuta demu wa pembeni

mimba ndio zilivyo, mood ina swing kama imelewa. Kuna saa unataka hadi kumla mtu, kesho yake hutaki kumwona, labda unamtaka balozi.

Trust me anayoyapitia ni magumu zaidi.
 
Yaani ni shida sana. We jamaa huko Hungumalwa ulifika lini?


Mkuu Rogie mara nyingi sana aise na nilishawahi kulala pale kwenye gari usiku kucha si unajua pale kuna kizuizi cha polisi na malori mengi huwa yakichelewa huwa yanalala pale
Tulichelewa kufika pale tukitokea Meatu na wakatuambia mbele kuna hatari ya majambazi hatuwezi kuendelea ikabidi tulale pale mpaka alfajiri
Tuliruhusiwa baada ya magari kuanza kuondoka kuelekea mwanza saa kumi na moja alfajiri
 
Last edited by a moderator:
mimba ndio zilivyo, mood ina swing kama imelewa. Kuna saa unataka hadi kumla mtu, kesho yake hutaki kumwona, labda unamtaka balozi.

Trust me anayoyapitia ni magumu zaidi.

nakusoma Kongosho,kiukweli haya nilikuwa napewa kama stori sasa ninapa uzoefu.kuna mda anaweza kukufosi uongee nae kwa 4n hata kama upo busy na job
 
Sasa ukipata demu mwingine ndio mkeo atapokea simu, au?
 
ndio hivyo.

Kuna saa unakuwa mtamu kwake kama samli, anatamani akuweke kwenye sahani akule.

Kasheshe ni pale utakapoleta mizengwe, unaweza ua mtu wewe bila kujua.

nakusoma Kongosho,kiukweli haya nilikuwa napewa kama stori sasa ninapa uzoefu.kuna mda anaweza kukufosi uongee nae kwa 4n hata kama upo busy na job
 
mbona dogo hilo mwingine km mnaishi wote anakuhama na chumba kabisa hata harufu yako akiisikia ni kutapika tu. vumilia mwanaume ndo ukubwa huo
 
Hovyooo!fanya uzinzi wako ila akijua kusamehe ni ngumu,na uwe tayari kuvumilia kisasi chake,mfanyie unyama mwanamke akiwa mZima,lkn akiwa kwny hyo hali usithubutu,maumivu yake hayasahauliki na ndoa yko bado changa,jiheshim!
mpe huyo... hoovyooo si kidogo, et nashawishika tafta dem wa pemben...
 
Kawaida sana hali kama hiyo ni ujauzito tu wala usihofu
 
Wanaume wengine bana,hujui kama mimba inaweza badilisha tabia ya mtu?tulizana kwenye ndoa hyo
 
Usiniqoute ujinga kama huu,yaani mtu anakua anahitaji uwepo wako wewe upo busy ataacha kukasirika na kukaa kimya?muda mwingine waweza kua chanzo cha matatizo ndani ya ndoa bila kujitambua
haah,haah inabidi nicheke,ananambia alipiga cm jana sa 3 uck akakuta nipo busy,eti nilikuwa naongea na wanawake zangu.daah huruma
 
Kweli wewe ni zaid ya chizi
Clinic hauendi hujui tabia za mimba
Mda huu sio wa kuendekeza mchepuko utakuja kumbemenda mtoto..
 
Wakuu nimeoa nina mwaka mmoja.

Shemeji/wifi yenu ana mimba,kwa kweli kipindi fulani akawa na mapenzi mazito sana na mimi,kiasi kwamba nikiwa field,wikendi lazima anifate,usiku tunaongea na simu mpaka saa 6.

Bandugu amebadilika ghafla,simu anampa house girl kupokea,text hajibu.

Akichoka kelele za ring tone anazima.

Hata sijui nifanyeje,kazi haziendi huku mbali nilipo.

Daaaah,majanga

Usitafute mchepuko, mpokonye simu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom