Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,473
- 13,629
Mama anawachukulia poa hawa jamaa zetu kina Polepole, anawachukulia kidiplomasia hawa kina Ndugai. Ni mwanafunzi wa JK na atakuwa ni mshauri wake mkubwa japo ni wa kisiri.Ndugu zangu wa JF
Nitoe maoni yangu kama Mtanzania Mzalendo kufuatia kauli ya Ndugai kubeza kitendo cha Rais Samia kuendelea na Sera ya kukopa Fedha nje ya Nchi kugharamia miradi ya Maendeleo
Kauli ya Mheshimiwa Ndugai sio tu inabeza na kudharau mamlaka ya Rais bali inalenga kuhujumu jitihada za makusudi za Rais Samia kukamilisha miradi mikubwa ya maendeleo inayohitaji Fedha nyingi sana kuikamilisha
Mheshimiwa Ndugai akiwa Kiongozi wa Bunge ameshindwa kuonyesha uwajibikaji wa pamoja wa kidola na ameamua kwa makusudi kutumia nafasi yake vibaya kwa maslahi binafsi
Ieleweke Rais Samia anakopa fedha kwa maslahi ya Nchi yetu na amekuwa muwazi kwenye suala hili
Ieleweke kuwa Fedha za Tozo haziwezi kugharamia miradi yote mikubwa ya kimkakati na haiwezi kuwa mbadala wa kukopa Fedha
Mheshimiwa Ndugai angeliweza kuomba kuonana na Rais Samia na kumshauri aonavyo badala ya njia aliyoitumia ya kuropoka HADHARANI!
Kwa maoni yangu kauli ya Mheshimiwa Ndugai likusudia kukwamisha juhudi za Rais wetu kukamilisha miradi mbalimbali ya Maendeleo kama ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya CCM
Nashauri Mheshimiwa JOB NDUGAI ajiuzulu mara moja wadhifa wake wa Uspika na akishindwa kufanya hivyo mamlaka husika zimchukulie hatua za kumvua uanachama wa CCM kwani kwa sasa sio Mwenzetu tena
Tumpe ushirikiano Rais Samia
KaziIendelee
Hii nchi kazi yetu ni kusifu pekee hakuna kutoa mawazo mbadalaWatu mnajua Sana kujipendekeza Dah, sasa Yale si mawazo yake? Unataka mawazo yake yawe sawa na kila mtu?
Mbona mama Samia karudisha watu ambao magufuli aliwatimua? How do you say about that, mbona hakufanya wakati Magu yupo
Haya majangili ya CCM yanajua vizuri snMama anawachukulia poa hawa jamaa zetu kina Polepole, anawachukulia kidiplomasia hawa kina Ndugai. Ni mwanafunzi wa JK na atakuwa ni mshauri wake mkubwa japo ni wa kisiri.
JK anazijua sana hizi fitina, ni mtu anayeamini katika busara ya kuupa muda nafasi ili uamue. Ni kama vile Bashiru alivyowatukana wapumbavu wazee wa CCM halafu alipokufa bosi kila kitu kikaharibika. Akapewa ubunge wa viti maalum kwa kumlindia tu heshima yake.
Exactly,Samia apige chini mabaki yote Ya dikteta magufuli, hawana ujanja nje ya serikali Wala nje ya Chama hao wapuuzi kina nduugayWakati wa Magufuli huyu kichaa si alikuwa house boy Chato?
Angethubutu kuongea haya? Solution ya kudeal na waasi wa Sukuma gang ni kuwavuwa uanachama tu period.
Hakuna kibaka yeyote wa ccm mwenye uwezo wa kusurvive nje ya ccm.
More harm, more worse.Exactly,Samia apige chini mabaki yote Ya dikteta magufuli, hawana ujanja nje ya serikali Wala nje ya Chama hao wapuuzi kina nduugay
Kwani kuzungumzia mikopo inayokopwa kunaitaji usiri, ?Ndugu zangu wa JF
Nitoe maoni yangu kama Mtanzania Mzalendo kufuatia kauli ya Ndugai kubeza kitendo cha Rais Samia kuendelea na Sera ya kukopa Fedha nje ya Nchi kugharamia miradi ya Maendeleo
Kauli ya Mheshimiwa Ndugai sio tu inabeza na kudharau mamlaka ya Rais bali inalenga kuhujumu jitihada za makusudi za Rais Samia kukamilisha miradi mikubwa ya maendeleo inayohitaji Fedha nyingi sana kuikamilisha
Mheshimiwa Ndugai akiwa Kiongozi wa Bunge ameshindwa kuonyesha uwajibikaji wa pamoja wa kidola na ameamua kwa makusudi kutumia nafasi yake vibaya kwa maslahi binafsi
Ieleweke Rais Samia anakopa fedha kwa maslahi ya Nchi yetu na amekuwa muwazi kwenye suala hili
Ieleweke kuwa Fedha za Tozo haziwezi kugharamia miradi yote mikubwa ya kimkakati na haiwezi kuwa mbadala wa kukopa Fedha
Mheshimiwa Ndugai angeliweza kuomba kuonana na Rais Samia na kumshauri aonavyo badala ya njia aliyoitumia ya kuropoka HADHARANI!
Kwa maoni yangu kauli ya Mheshimiwa Ndugai likusudia kukwamisha juhudi za Rais wetu kukamilisha miradi mbalimbali ya Maendeleo kama ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya CCM
Nashauri Mheshimiwa JOB NDUGAI ajiuzulu mara moja wadhifa wake wa Uspika na akishindwa kufanya hivyo mamlaka husika zimchukulie hatua za kumvua uanachama wa CCM kwani kwa sasa sio Mwenzetu tena
Tumpe ushirikiano Rais Samia
KaziIendelee
Ulitaka aanzishe michache ili iweje, unakipimo utuambie ni miradi mingapi kwa mwaka serikali inatakiwa kuanzisha.Miradi Ile kila mmoja una source of fund ulitaka afanye nini!!!!Mchawi hapa ni jiwe aliyeanzisha miradi mingi kwa pamoja huku akiwa hana mbinu ya kuukuza uchumi wa nchi.
Hakuna kujiudhuru wewe.Ndugu zangu wa JF
Nitoe maoni yangu kama Mtanzania Mzalendo kufuatia kauli ya Ndugai kubeza kitendo cha Rais Samia kuendelea na Sera ya kukopa Fedha nje ya Nchi kugharamia miradi ya Maendeleo
Kauli ya Mheshimiwa Ndugai sio tu inabeza na kudharau mamlaka ya Rais bali inalenga kuhujumu jitihada za makusudi za Rais Samia kukamilisha miradi mikubwa ya maendeleo inayohitaji Fedha nyingi sana kuikamilisha
Mheshimiwa Ndugai akiwa Kiongozi wa Bunge ameshindwa kuonyesha uwajibikaji wa pamoja wa kidola na ameamua kwa makusudi kutumia nafasi yake vibaya kwa maslahi binafsi
Ieleweke Rais Samia anakopa fedha kwa maslahi ya Nchi yetu na amekuwa muwazi kwenye suala hili
Ieleweke kuwa Fedha za Tozo haziwezi kugharamia miradi yote mikubwa ya kimkakati na haiwezi kuwa mbadala wa kukopa Fedha
Mheshimiwa Ndugai angeliweza kuomba kuonana na Rais Samia na kumshauri aonavyo badala ya njia aliyoitumia ya kuropoka HADHARANI!
Kwa maoni yangu kauli ya Mheshimiwa Ndugai likusudia kukwamisha juhudi za Rais wetu kukamilisha miradi mbalimbali ya Maendeleo kama ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya CCM
Nashauri Mheshimiwa JOB NDUGAI ajiuzulu mara moja wadhifa wake wa Uspika na akishindwa kufanya hivyo mamlaka husika zimchukulie hatua za kumvua uanachama wa CCM kwani kwa sasa sio Mwenzetu tena
Tumpe ushirikiano Rais Samia
KaziIendelee
Aliyeanzisha slogan ya Sukuma Gang sijui ni nani alimloga.Mbegu imestawi na kumea vya kutosha, sasa ni kuvuna matunda yake.Hiyo mbegu ya sumu wameipanda, sasa inazidi kustawi na sasa inastawi against wao. Hakuna Rais atakayekuja tena asipingwe ndani na nje ya chama chake; Ndani na nje ya serikali(hii inakuwaga kimya kimya).
Mama hakuwa rais wakati huo wa Magu,Watu mnajua Sana kujipendekeza Dah, sasa Yale si mawazo yake? Unataka mawazo yake yawe sawa na kila mtu?
Mbona mama Samia karudisha watu ambao magufuli aliwatimua? How do you say about that, mbona hakufanya wakati Magu yupo
Makamu wa rais but angeweza tuMama hakuwa rais wakati huo wa Magu,
Leo mnamruka rafiki yenu, wakati yakifanywa maamuzi ya kibabe na yenye kuliumiza taifa wengine walisifu kwa mapambio Leo, mwenzenu anabananishwa mnajititenga nae, ama kweli huu kwangu nauita weledi was kitanzania, unapatikana Tanzania pekee na kwa wanachukua chako mapema(ccm,).Ndugu zangu wa JF
Nitoe maoni yangu kama Mtanzania Mzalendo kufuatia kauli ya Ndugai kubeza kitendo cha Rais Samia kuendelea na Sera ya kukopa Fedha nje ya Nchi kugharamia miradi ya Maendeleo
Kauli ya Mheshimiwa Ndugai sio tu inabeza na kudharau mamlaka ya Rais bali inalenga kuhujumu jitihada za makusudi za Rais Samia kukamilisha miradi mikubwa ya maendeleo inayohitaji Fedha nyingi sana kuikamilisha
Mheshimiwa Ndugai akiwa Kiongozi wa Bunge ameshindwa kuonyesha uwajibikaji wa pamoja wa kidola na ameamua kwa makusudi kutumia nafasi yake vibaya kwa maslahi binafsi
Ieleweke Rais Samia anakopa fedha kwa maslahi ya Nchi yetu na amekuwa muwazi kwenye suala hili
Ieleweke kuwa Fedha za Tozo haziwezi kugharamia miradi yote mikubwa ya kimkakati na haiwezi kuwa mbadala wa kukopa Fedha
Mheshimiwa Ndugai angeliweza kuomba kuonana na Rais Samia na kumshauri aonavyo badala ya njia aliyoitumia ya kuropoka HADHARANI!
Kwa maoni yangu kauli ya Mheshimiwa Ndugai likusudia kukwamisha juhudi za Rais wetu kukamilisha miradi mbalimbali ya Maendeleo kama ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya CCM
Nashauri Mheshimiwa JOB NDUGAI ajiuzulu mara moja wadhifa wake wa Uspika na akishindwa kufanya hivyo mamlaka husika zimchukulie hatua za kumvua uanachama wa CCM kwani kwa sasa sio Mwenzetu tena
Tumpe ushirikiano Rais Samia
KaziIendelee
Si marahisi lakini anahitaji kufumba macho na kuvaa ujasiri kama alivyomtengua Kalemani, ambaye anao wengi nyuma yake wenye kumuunga mkono.More harm, more worse.
Akiwafukuza, atawapata wapi hao malaika?
Na akivunja baraza la mawaziri kwa maana ya kutengua uteuzi wa waziri mkuu(WM);
Litaibuka mtifuano wa kidini. Watakuja hatutaki tena PM muislamu, aliyetoka ni muislamu, tunataka jina la kikristo.
Na uko ukristoni, watasema VP ni mkatoliki. Tunataka Mlutheri au Msabato au Mpendekoste.
Halafu watakuja na jiografia. Aliyetenguliwa anatoka kusini. Tunamtaka waziri mkuu kutoka kanda ya Kaskazini kwa sababu Nyanda za Juu kuna Naibu Speaker(NS), Kanda ya Kati kuna Speaker mwenyewe, Magharibi kuna VP, Mashariki tunaiunganisha na Zanzibar anakotoka Rais.
Tukifika kaskazini tuna mikoa yetu ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga kwa mbaaali.
Ndani ya mikoa yetu tuna majimbo yetu.
Yaani mama akivunja tu serikali kwa kumtengua PM basi akubali kumteua Professor Mkenda(Rombo) kuwa WM au Dk Charles Kimei(Vunjo) au Paulina Gekul(Babati) au Edward Lekaita(Kiteto) au Mrisho Mashaka Gambo(Arusha mjini).
Mambo sio marahisi kiasi hicho.
Kwa huyu awe presidaaaa, hapana jamani itakuwa ni kichekesho! 🤣Ndugai for President 🐒
Ndugu zangu wa JF
Nitoe maoni yangu kama Mtanzania Mzalendo kufuatia kauli ya Ndugai kubeza kitendo cha Rais Samia kuendelea na Sera ya kukopa Fedha nje ya Nchi kugharamia miradi ya Maendeleo
Kauli ya Mheshimiwa Ndugai sio tu inabeza na kudharau mamlaka ya Rais bali inalenga kuhujumu jitihada za makusudi za Rais Samia kukamilisha miradi mikubwa ya maendeleo inayohitaji Fedha nyingi sana kuikamilisha
Mheshimiwa Ndugai akiwa Kiongozi wa Bunge ameshindwa kuonyesha uwajibikaji wa pamoja wa kidola na ameamua kwa makusudi kutumia nafasi yake vibaya kwa maslahi binafsi
Ieleweke Rais Samia anakopa fedha kwa maslahi ya Nchi yetu na amekuwa muwazi kwenye suala hili
Ieleweke kuwa Fedha za Tozo haziwezi kugharamia miradi yote mikubwa ya kimkakati na haiwezi kuwa mbadala wa kukopa Fedha
Mheshimiwa Ndugai angeliweza kuomba kuonana na Rais Samia na kumshauri aonavyo badala ya njia aliyoitumia ya kuropoka HADHARANI!
Kwa maoni yangu kauli ya Mheshimiwa Ndugai likusudia kukwamisha juhudi za Rais wetu kukamilisha miradi mbalimbali ya Maendeleo kama ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya CCM
Nashauri Mheshimiwa JOB NDUGAI ajiuzulu mara moja wadhifa wake wa Uspika na akishindwa kufanya hivyo mamlaka husika zimchukulie hatua za kumvua uanachama wa CCM kwani kwa sasa sio Mwenzetu tena
Tumpe ushirikiano Rais Samia
KaziIendelee
Mama anawachukulia poa hawa jamaa zetu kina Polepole, anawachukulia kidiplomasia hawa kina Ndugai. Ni mwanafunzi wa JK na atakuwa ni mshauri wake mkubwa japo ni wa kisiri.
JK anazijua sana hizi fitina, ni mtu anayeamini katika busara ya kuupa muda nafasi ili uamue. Ni kama vile Bashiru alivyowatukana wapumbavu wazee wa CCM halafu alipokufa bosi kila kitu kikaharibika. Akapewa ubunge wa viti maalum kwa kumlindia tu heshima yake.