#COVID19 Nashauri Serikali wapike pilau na nyama pia na soda kwenye vituo vya kutolea chanjo

Nimeona taarifa ya wizara kua chanjo itaanza kutolewa Agost 3

Nashauri Serikali yetu pendwa chini ya Rais samia, wahakikishe kwenye vituo vya chanjo kuna Chakula

Napendekeza Pilau na nyama
Upande wa nyama wenyewe kama ikiwepo ya kuku itapendeza zaidi lakini wa kienyeji au kama kuku itakua ni ghali basi ya ng'ombe

Ila kwa wale wasio kula nyama ziwepo samaki, na pia mboga za majani kama chainizi kabichi na maharage, au mchicha

Waweke na ndizi za kupikwa but waweke na wali maji maana kuna watu hawalagi pilau, mchele waangalie ule mzuri mzuri mabao sio mpya maana ndio unanukia sana hata kama upo umbali wa mita 400 unasikia harufu,

Matunda pia nashauri waweke ndizi na matikiti maji

Waweke soda na juice ili mpata huduma awe na option ya kuchagua

Mje muone kama watu hawatamsaliti Gwajima

Kila lakheri hayo ni maoni yangu binafsi kama mtaniunga mkono ipitishwe

View attachment 1874160

Mzee wa ubwabwa Hashim Rungwe Sipunda kushiriki. Atafanikisha hili.
🤣🤣🤣
 
Pilau litaliwa na chanjo wasichanje hata mmoja, hivi unawajua wabongo vizuri lakini?
Kuna wengine kwenye mazishi wanakula pilau la Marehemu na bado hawaendi kumzika Marehemu, ndiyo maana siku hizi kuna familia zinazofiwa hua zinaomba watu wakazike kwanza alafu ndiyo warudi Nyumbani kwa Marehemu wapate sunaa!! Kisingizio watakuambia watu wajikoni ndiyo wamezinguwa hadi Msosi ukachelewa!!
 
Nimeona taarifa ya wizara kua chanjo itaanza kutolewa Agost 3

Nashauri Serikali yetu pendwa chini ya Rais samia, wahakikishe kwenye vituo vya chanjo kuna Chakula

Napendekeza Pilau na nyama
Upande wa nyama wenyewe kama ikiwepo ya kuku itapendeza zaidi lakini wa kienyeji au kama kuku itakua ni ghali basi ya ng'ombe

Ila kwa wale wasio kula nyama ziwepo samaki, na pia mboga za majani kama chainizi kabichi na maharage, au mchicha

Waweke na ndizi za kupikwa but waweke na wali maji maana kuna watu hawalagi pilau, mchele waangalie ule mzuri mzuri mabao sio mpya maana ndio unanukia sana hata kama upo umbali wa mita 400 unasikia harufu,

Matunda pia nashauri waweke ndizi na matikiti maji

Waweke soda na juice ili mpata huduma awe na option ya kuchagua

Mje muone kama watu hawatamsaliti Gwajima

Kila lakheri hayo ni maoni yangu binafsi kama mtaniunga mkono ipitishwe

View attachment 1874160
Kizuri kinajiuza wewe lofa, acha ujinga. Hivi mnadhani Watanzania ni wajinga kihivyo? Sasa hiyo si bait, wanaona!
 
Nimeona taarifa ya wizara kua chanjo itaanza kutolewa Agost 3

Nashauri Serikali yetu pendwa chini ya Rais samia, wahakikishe kwenye vituo vya chanjo kuna Chakula

Napendekeza Pilau na nyama
Upande wa nyama wenyewe kama ikiwepo ya kuku itapendeza zaidi lakini wa kienyeji au kama kuku itakua ni ghali basi ya ng'ombe

Ila kwa wale wasio kula nyama ziwepo samaki, na pia mboga za majani kama chainizi kabichi na maharage, au mchicha

Waweke na ndizi za kupikwa but waweke na wali maji maana kuna watu hawalagi pilau, mchele waangalie ule mzuri mzuri mabao sio mpya maana ndio unanukia sana hata kama upo umbali wa mita 400 unasikia harufu,

Matunda pia nashauri waweke ndizi na matikiti maji

Waweke soda na juice ili mpata huduma awe na option ya kuchagua

Mje muone kama watu hawatamsaliti Gwajima

Kila lakheri hayo ni maoni yangu binafsi kama mtaniunga mkono ipitishwe

View attachment 1874160


We umewaona Wabongo ni waroho??
 
Pilau litaliwa na chanjo wasichanje hata mmoja, hivi unawajua wabongo vizuri lakini?
Ukimaliza kuchanjwa ndiyo unapewa mlo. Maelezo iwe kwa sababu wengine wakishachanjwa wanaweza kukosa nguvu, ndiyo maana baada ya kuchanjwa unapewa chakula.

Aliyeleta hili wazo lazima atakuwa ni think tank ya CCM. Mbinu hii wanaitumia sana CCM kwenye uchaguzi.
 
Pilau na nyama ndo itakuwa sawa na ile dola 100 wanayolipa kule marekani kama fidia, siyo?
 
Nimeona taarifa ya wizara kua chanjo itaanza kutolewa Agost 3

Nashauri Serikali yetu pendwa chini ya Rais samia, wahakikishe kwenye vituo vya chanjo kuna Chakula

Napendekeza Pilau na nyama
Upande wa nyama wenyewe kama ikiwepo ya kuku itapendeza zaidi lakini wa kienyeji au kama kuku itakua ni ghali basi ya ng'ombe

Ila kwa wale wasio kula nyama ziwepo samaki, na pia mboga za majani kama chainizi kabichi na maharage, au mchicha

Waweke na ndizi za kupikwa but waweke na wali maji maana kuna watu hawalagi pilau, mchele waangalie ule mzuri mzuri mabao sio mpya maana ndio unanukia sana hata kama upo umbali wa mita 400 unasikia harufu,

Matunda pia nashauri waweke ndizi na matikiti maji

Waweke soda na juice ili mpata huduma awe na option ya kuchagua

Mje muone kama watu hawatamsaliti Gwajima

Kila lakheri hayo ni maoni yangu binafsi kama mtaniunga mkono ipitishwe

View attachment 1874160
Wawalete na wasanii, kina Diamond!
 
Back
Top Bottom