white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,279
Haiwezekani kukwepa, unaanzia kwenye chanjo , then ndio unapitia kwenye pilau hapo hapo!!!Pilau litaliwa na chanjo wasichanje hata mmoja, hivi unawajua wabongo vizuri lakini?
Haiwezekani kukwepa, unaanzia kwenye chanjo , then ndio unapitia kwenye pilau hapo hapo!!!Pilau litaliwa na chanjo wasichanje hata mmoja, hivi unawajua wabongo vizuri lakini?
Nimeona taarifa ya wizara kua chanjo itaanza kutolewa Agost 3
Nashauri Serikali yetu pendwa chini ya Rais samia, wahakikishe kwenye vituo vya chanjo kuna Chakula
Napendekeza Pilau na nyama
Upande wa nyama wenyewe kama ikiwepo ya kuku itapendeza zaidi lakini wa kienyeji au kama kuku itakua ni ghali basi ya ng'ombe
Ila kwa wale wasio kula nyama ziwepo samaki, na pia mboga za majani kama chainizi kabichi na maharage, au mchicha
Waweke na ndizi za kupikwa but waweke na wali maji maana kuna watu hawalagi pilau, mchele waangalie ule mzuri mzuri mabao sio mpya maana ndio unanukia sana hata kama upo umbali wa mita 400 unasikia harufu,
Matunda pia nashauri waweke ndizi na matikiti maji
Waweke soda na juice ili mpata huduma awe na option ya kuchagua
Mje muone kama watu hawatamsaliti Gwajima
Kila lakheri hayo ni maoni yangu binafsi kama mtaniunga mkono ipitishwe
View attachment 1874160
Haiwezekani kukwepa, unaanzia kwenye chanjo , then ndio unapitia kwenye pilau hapo hapo!!!
Kuna wengine kwenye mazishi wanakula pilau la Marehemu na bado hawaendi kumzika Marehemu, ndiyo maana siku hizi kuna familia zinazofiwa hua zinaomba watu wakazike kwanza alafu ndiyo warudi Nyumbani kwa Marehemu wapate sunaa!! Kisingizio watakuambia watu wajikoni ndiyo wamezinguwa hadi Msosi ukachelewa!!Pilau litaliwa na chanjo wasichanje hata mmoja, hivi unawajua wabongo vizuri lakini?
Unapita unapiga chanjo alafu unanyoosha kwenye pilauPilau litaliwa na chanjo wasichanje hata mmoja, hivi unawajua wabongo vizuri lakini?
Kizuri kinajiuza wewe lofa, acha ujinga. Hivi mnadhani Watanzania ni wajinga kihivyo? Sasa hiyo si bait, wanaona!Nimeona taarifa ya wizara kua chanjo itaanza kutolewa Agost 3
Nashauri Serikali yetu pendwa chini ya Rais samia, wahakikishe kwenye vituo vya chanjo kuna Chakula
Napendekeza Pilau na nyama
Upande wa nyama wenyewe kama ikiwepo ya kuku itapendeza zaidi lakini wa kienyeji au kama kuku itakua ni ghali basi ya ng'ombe
Ila kwa wale wasio kula nyama ziwepo samaki, na pia mboga za majani kama chainizi kabichi na maharage, au mchicha
Waweke na ndizi za kupikwa but waweke na wali maji maana kuna watu hawalagi pilau, mchele waangalie ule mzuri mzuri mabao sio mpya maana ndio unanukia sana hata kama upo umbali wa mita 400 unasikia harufu,
Matunda pia nashauri waweke ndizi na matikiti maji
Waweke soda na juice ili mpata huduma awe na option ya kuchagua
Mje muone kama watu hawatamsaliti Gwajima
Kila lakheri hayo ni maoni yangu binafsi kama mtaniunga mkono ipitishwe
View attachment 1874160
Nimeona taarifa ya wizara kua chanjo itaanza kutolewa Agost 3
Nashauri Serikali yetu pendwa chini ya Rais samia, wahakikishe kwenye vituo vya chanjo kuna Chakula
Napendekeza Pilau na nyama
Upande wa nyama wenyewe kama ikiwepo ya kuku itapendeza zaidi lakini wa kienyeji au kama kuku itakua ni ghali basi ya ng'ombe
Ila kwa wale wasio kula nyama ziwepo samaki, na pia mboga za majani kama chainizi kabichi na maharage, au mchicha
Waweke na ndizi za kupikwa but waweke na wali maji maana kuna watu hawalagi pilau, mchele waangalie ule mzuri mzuri mabao sio mpya maana ndio unanukia sana hata kama upo umbali wa mita 400 unasikia harufu,
Matunda pia nashauri waweke ndizi na matikiti maji
Waweke soda na juice ili mpata huduma awe na option ya kuchagua
Mje muone kama watu hawatamsaliti Gwajima
Kila lakheri hayo ni maoni yangu binafsi kama mtaniunga mkono ipitishwe
View attachment 1874160
Sasa hapo kuna watu wataenda kuchanjwa kila sikuUnapita unapiga chanjo alafu unanyoosha kwenye pilau
nachanjwa kwanza ukiinuka unaenda kwenye pilauPilau litaliwa na chanjo wasichanje hata mmoja, hivi unawajua wabongo vizuri lakini?
Ukimaliza kuchanjwa ndiyo unapewa mlo. Maelezo iwe kwa sababu wengine wakishachanjwa wanaweza kukosa nguvu, ndiyo maana baada ya kuchanjwa unapewa chakula.Pilau litaliwa na chanjo wasichanje hata mmoja, hivi unawajua wabongo vizuri lakini?
Qumerndio nn
Wawalete na wasanii, kina Diamond!Nimeona taarifa ya wizara kua chanjo itaanza kutolewa Agost 3
Nashauri Serikali yetu pendwa chini ya Rais samia, wahakikishe kwenye vituo vya chanjo kuna Chakula
Napendekeza Pilau na nyama
Upande wa nyama wenyewe kama ikiwepo ya kuku itapendeza zaidi lakini wa kienyeji au kama kuku itakua ni ghali basi ya ng'ombe
Ila kwa wale wasio kula nyama ziwepo samaki, na pia mboga za majani kama chainizi kabichi na maharage, au mchicha
Waweke na ndizi za kupikwa but waweke na wali maji maana kuna watu hawalagi pilau, mchele waangalie ule mzuri mzuri mabao sio mpya maana ndio unanukia sana hata kama upo umbali wa mita 400 unasikia harufu,
Matunda pia nashauri waweke ndizi na matikiti maji
Waweke soda na juice ili mpata huduma awe na option ya kuchagua
Mje muone kama watu hawatamsaliti Gwajima
Kila lakheri hayo ni maoni yangu binafsi kama mtaniunga mkono ipitishwe
View attachment 1874160