Za nini?USA wanatoa 100$ kwa kila mpimwaji
Hapa ndio wanazidi kutuvuruga sasa na hizi chanjo.
Mkuu, kabla ya kulifikia sufuria la pilau lazima upite kwenye kidumu cha chanjo ndio utalifikia sufuria la pilau mkuuPilau litaliwa na chanjo wasichanje hata mmoja, hivi unawajua wabongo vizuri lakini?
Za kukubali kuchanjwaZa nini?
Hakuna cha buree!
Ndo hakuna cha bureZa kukubali kuchanjwa
Kwa msosi watajaa kama woteKwaiyo unamaanisha watanzania ni walafi?
Na kwenye kachumbali wasiweke chumvi nyingi sana na kalimao kwa mbali sana.......Naunga mkono hoja, kachumbali ziwe aina mbili moja ina pilipili nyingine wasiweke ili wote tuinjoi....
Ndio nimetoa wazo, ziandaliwe aina mbili yenye pilipili na ambayo haina....wengine hatulagi pilipili