Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 5,688
- 8,927
Yaani ni hivyo tu jamani, hakuna kitu kinakera (hata kama huziangalii) kama hizi filamu za bongo. Nahisi kabisa kuwa wanatuaibisha hata nje ya nchi (kwa mataifa jirani wanao angalia kazi zao)
Filamu stori haieleweki wanaigiza ili mradi tu, Unaweza kusema labda bajeti ya uandaaji ni kubwa, lakini mfano mdogo fuatilia filamu za Mexico na Philippines, hamna hata matumizi makubwa ya technology lakini story imepangwa vizuri had unafurahi. Hawa wa kwetu hata hawaeleweki.
Nina mashaka sana, nahisi huwa wanaigiza filamu wiki moja, Sio kwa uozo tunao uona, Yaani mtu unaangalia anavyoigiza unaona kabisa hapa hamna kitu. Unaona kabisa anavyo iogopa kamera.
Atleast basi muigizaji awe na elimu yoyote kuhusu uigizaji kama wafanyavyo kimataifa, Niwapongeze wote wanaoweza kukaa chini na kuenjoy kabisa kuangalia channels kama sinema zetu, Hongereni sana.
Yaani movies hata google au wikipedia hazipo.
Daah
Filamu stori haieleweki wanaigiza ili mradi tu, Unaweza kusema labda bajeti ya uandaaji ni kubwa, lakini mfano mdogo fuatilia filamu za Mexico na Philippines, hamna hata matumizi makubwa ya technology lakini story imepangwa vizuri had unafurahi. Hawa wa kwetu hata hawaeleweki.
Nina mashaka sana, nahisi huwa wanaigiza filamu wiki moja, Sio kwa uozo tunao uona, Yaani mtu unaangalia anavyoigiza unaona kabisa hapa hamna kitu. Unaona kabisa anavyo iogopa kamera.
Atleast basi muigizaji awe na elimu yoyote kuhusu uigizaji kama wafanyavyo kimataifa, Niwapongeze wote wanaoweza kukaa chini na kuenjoy kabisa kuangalia channels kama sinema zetu, Hongereni sana.
Yaani movies hata google au wikipedia hazipo.
Daah