Nashauri mchakato wa katiba mpya uanze January 2026 (umalizike October 2028), lakini tume ya katiba mpya iundwe January 2022.
Tume huru ya uchaguzi ipatikane October 2023 (miaka miwili kabla ya uchaguzi mkuu wa October 2025).
Vyama vya siasa viruhusiwe kufanya mikutano ya hadhara ya kisiasa from January 2022.
Mada kuu ya katiba mpya iwe:
Katiba mpya iwe na a Bill of rights, itakayoheshimu basic human rights.
Muhimili wa Mahakama uwe huru.
Muhimili wa Bunge uwe huru.
Rais wa JMT asiwe na uwezo wa kulivunja Bunge la JMT.
Ikitokea kuna mvutano wowote ule usiotatulika baina ya Rais na Bunge, a national referendum ita amua nani kati yao aachie madaraka, na hakutakuwa na uchaguzi mpaka kipindi kijacho cha uchaguzi mkuu. Kama Bunge litashindwa referendum, nchi itakuwa haina Bunge mpaka uchaguzi mkuu ujao. Kama Rais atashindwa referendum, Bunge litamchagua kaimu Rais atakae kaa mpaka uchaguzi mkuu ujao. Kaimu Rais huyo anaweza awe au asiwe Makamu wa Rais wa huyo Rais ambae ameshindwa referendum.
Principle hiyo hiyo ita apply kwa Rais wa SMZ na Baraza la wawakilishi.
Wananchi wa pande zote za Muungano watapiga referendum kama upande wao unataka Muungano au la. Na kama wanautaka Muungano, wanataka Muungano wa serikali ngapi, moja, mbili au tatu.
Wananchi wa upande husika wa Muungano, watapiga referendum kama wanataka serikali centralised (kama sasa) au serikali za mikoa (zinazoiga zile za counties za Kenya, ila kwa Tanzania zitakuwa kwa level ya mikoa na sio kwa level ya counties/districts) au serikali za majimbo kama kule Nigeria. Mimi nadhani, kwa Tanzania serikali itakayo faa ni serikali za mikoa, zinazoiga zile za counties za Kenya. Serikali za majimbo kama za Nigeria hazitafaa.
Je, Bunge la JMT litakuwa na two houses (house of representatives na Senate) au litakuwa na house moja (kama sasa hivi)?
Since uhuru wa Bunge utaongezeka, basi qualifications za wagombea ubunge zifanane kabisa na qualifications za wagombea urais. Isipokuwa tu, umri wa mgombea ubunge uwe miaka 21 au zaidi.
Since muhimili wa mahakama utakuwa huru, basi qualifications za mahakimu na majaji ziwe zina fanana kabisa na qualifications za wagombea urais isipokuwa tu, umri wa mahakimu na majaji uwe miaka 21 na kuendelea, na wawe na degree ya sheria (au degree ya somo lenye uhusiano na mambo ya sheria).
Tume hiyo mpya ya katiba inaweza ichukue au isichukue mapendekezo ya rasimu ya katiba ya tume ya Warioba.
Mwenyekiti wa tume mpya ya katiba anaweza kuwa Jaji Mary Longway.
Tume huru ya uchaguzi ipatikane October 2023 (miaka miwili kabla ya uchaguzi mkuu wa October 2025).
Vyama vya siasa viruhusiwe kufanya mikutano ya hadhara ya kisiasa from January 2022.
Mada kuu ya katiba mpya iwe:
Katiba mpya iwe na a Bill of rights, itakayoheshimu basic human rights.
Muhimili wa Mahakama uwe huru.
Muhimili wa Bunge uwe huru.
Rais wa JMT asiwe na uwezo wa kulivunja Bunge la JMT.
Ikitokea kuna mvutano wowote ule usiotatulika baina ya Rais na Bunge, a national referendum ita amua nani kati yao aachie madaraka, na hakutakuwa na uchaguzi mpaka kipindi kijacho cha uchaguzi mkuu. Kama Bunge litashindwa referendum, nchi itakuwa haina Bunge mpaka uchaguzi mkuu ujao. Kama Rais atashindwa referendum, Bunge litamchagua kaimu Rais atakae kaa mpaka uchaguzi mkuu ujao. Kaimu Rais huyo anaweza awe au asiwe Makamu wa Rais wa huyo Rais ambae ameshindwa referendum.
Principle hiyo hiyo ita apply kwa Rais wa SMZ na Baraza la wawakilishi.
Wananchi wa pande zote za Muungano watapiga referendum kama upande wao unataka Muungano au la. Na kama wanautaka Muungano, wanataka Muungano wa serikali ngapi, moja, mbili au tatu.
Wananchi wa upande husika wa Muungano, watapiga referendum kama wanataka serikali centralised (kama sasa) au serikali za mikoa (zinazoiga zile za counties za Kenya, ila kwa Tanzania zitakuwa kwa level ya mikoa na sio kwa level ya counties/districts) au serikali za majimbo kama kule Nigeria. Mimi nadhani, kwa Tanzania serikali itakayo faa ni serikali za mikoa, zinazoiga zile za counties za Kenya. Serikali za majimbo kama za Nigeria hazitafaa.
Je, Bunge la JMT litakuwa na two houses (house of representatives na Senate) au litakuwa na house moja (kama sasa hivi)?
Since uhuru wa Bunge utaongezeka, basi qualifications za wagombea ubunge zifanane kabisa na qualifications za wagombea urais. Isipokuwa tu, umri wa mgombea ubunge uwe miaka 21 au zaidi.
Since muhimili wa mahakama utakuwa huru, basi qualifications za mahakimu na majaji ziwe zina fanana kabisa na qualifications za wagombea urais isipokuwa tu, umri wa mahakimu na majaji uwe miaka 21 na kuendelea, na wawe na degree ya sheria (au degree ya somo lenye uhusiano na mambo ya sheria).
Tume hiyo mpya ya katiba inaweza ichukue au isichukue mapendekezo ya rasimu ya katiba ya tume ya Warioba.
Mwenyekiti wa tume mpya ya katiba anaweza kuwa Jaji Mary Longway.