Kiokotee
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 1,675
- 2,194
Imefika mahali hizi Ajali sio bahati mbaya tena ni Uzembe wa mtu mmoja unaweza ondoa maisha ya familia za watu wasiopungua 60 ndani ya basi ndani ya nusu saa tu!
Hii sio sawa...kwa nini tukubali kuwa kama kuku mtu mmoja Atuchinje kwa Akili yake tu bila sababu hivi hakuna njia mbadala ya kudeal na huyu mtu kabla ya kumkabidhi roho zetu azisafirishe tukiwa hai.
Mi sio mtaalam wa Afya ya akili ila nafahamu kuna Councelling huwa inafanyika kumfahamu mtu kabla ya kumkabidhi jukumu zito kama marubani wa ndege na kama hayuko sawa siku hiyo anaweza pewa mwingine
Kama watu wengine, madereva wa vyombo vya moto wanaweza kuwa na matatizo au changamoto ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza kufanya apoteze concentration na hatimaye kusababisha ajali
Kufanya vipimo vya mara kwa mara, au counselling kunaweza kupunguza madhara yanayoweza kusababishwa na dereva kutokuwa na afya njema ya mwili na akili, mamlaka zitafute namna ya kucheki mara kwa mara afya za mwili na akili za madereva ili kutunusuru.
Inauma sana familia nzima inateketea kwa Uzembe wa mtu mmoja.
Hii sio sawa...kwa nini tukubali kuwa kama kuku mtu mmoja Atuchinje kwa Akili yake tu bila sababu hivi hakuna njia mbadala ya kudeal na huyu mtu kabla ya kumkabidhi roho zetu azisafirishe tukiwa hai.
Mi sio mtaalam wa Afya ya akili ila nafahamu kuna Councelling huwa inafanyika kumfahamu mtu kabla ya kumkabidhi jukumu zito kama marubani wa ndege na kama hayuko sawa siku hiyo anaweza pewa mwingine
Kama watu wengine, madereva wa vyombo vya moto wanaweza kuwa na matatizo au changamoto ambazo kwa namna moja au nyingine zinaweza kufanya apoteze concentration na hatimaye kusababisha ajali
Kufanya vipimo vya mara kwa mara, au counselling kunaweza kupunguza madhara yanayoweza kusababishwa na dereva kutokuwa na afya njema ya mwili na akili, mamlaka zitafute namna ya kucheki mara kwa mara afya za mwili na akili za madereva ili kutunusuru.
Inauma sana familia nzima inateketea kwa Uzembe wa mtu mmoja.