BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Honey Faith na everlenk hebu njooni huku mtie neno.
Last edited by a moderator:
words...................kama watapita hapa watajionea, pia kwenye siasa nako hawaonekana atleast kufahamu mambo yanvyokwenda, bora dada huwa unajijia jukwaa la siasa na kumwaga hojawanataka wabebwe ndo wazione fursa, mimi sipendi kuona mwanamke analalama kila kitu, hebu na sisi tuonyeshe uwezo,natolea tu mfano mdogo, ukija humu jf ukiingia majukwaa kama sayansi na tech, siasa, biashara, wanawake ni wachache, ila ukiingia kule kwenye mapenzi wamejaaa hakianani hakuna post inayowapita
au ubabe kama wa makinda unategemea nani atakupa uongozi, yani aisee wanawake we still have a long way to go, kwanza tubadilike sisi
Wanawake waliojitambua wanapata heshima na manufaa katika mfumo uliopo.wanawake wengi tunapenda tupate vyote favour ya uanamke na majukumu hatutaki.
Yaan mwanamke sehemu ya kutoa rushwa ya pesa we unataka utoe ya ngono.wanaosafiri anataka afanye biashara then hotel alipiwe na third party wakati hiyo ni gharama ya biashara.
Vyuoni wanataka walale club wachelewesha assigent then aende kurembua kwa dr au prof akiombwa aseme kanyanyaswa.
Kutwa kupost picha za waume au mabwana zetu na kutukanana bila kupeana habari za fursa.kupenda mafanikio ya haraka sana ,Kutafsiri maisha kama ni kuvaa na gari ata nyumba atujengi.
Kwa kifupi wanaume mmetuendekeza sana mpaka tuna dhani tulikuja duniani kustarehe na kufa.
Mwanamke ukijitambua hakuna ata wa kusogeza hatua moja kwenye shamba au kiwanja chako.
Sijui nianze vipi, lakini kwa ufupi kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu sisi wanawake wa tanzania nasema kwa niaba ya wengi tumechoka na mfumo dume.
Kila mahali unaenda unakuta midume imejitutumuaaaaaa, mara miruzi mara weweeeeeeeee tumechoka aaaaaaaaah.
Haya tuanze na majumbani mwetu, kila kitu kipaumbele anapewa mwanaume. Shule yeye, urithi yeye, nyumba yeye.
Tukija makazini hivyo hivyo, tunafanywa kama vitu, hupati kazi mpaka utangulize kitu. jamani tumechoka.
Tukija katika uchumi, tunadhalisha sana lakini hatuthaminiwi juzi shangazi yangu karudi nyumani kakuta mjomba kauza mazao yote aliyolima.
Tumejaribu tumeshaweza kuwa na benki yetu, maana nyungine zimekuwa zikitunyanyapa hazijui mahitaji yetu. Kutokana na malaamiko yaliyomo vyuoni tunataka chuo chetu kikuuu tusinyanyaswe kijinsia na mijibaba mikware yenye kutoka udenda ionapo mwanamwali.
Bado kwenye nafasi za uongozi za nchi hii tumesahauliwa tunadharauliwa sana. Historia ambayo imepindishwa kuhusu uhuru wa nchi hiii ni budi sasa iandikwe upya, sisi tulishiriki kwa hali na mali zaidi tena zaidi kupigania uhuru wa nchi hii, tulikuwa wahamasishaji wakubwa mikoani kuanzia usangi mpaka uyole. Mtwara mpaka Ngara. Kama si wanawake wa nchi hii usingepatikana.
Kwa kumalizia ni haki katika nchi hii, sisi kinamama wa nchi hii mifumo ya mahakama imejaa mfumo dume tunaonewa mahakamani hatupati haki, ni wakati sasa na sisi wanawake tupate mahakama zetu. Mashauri yote ya kinamama na yanausisha wanawake yapelekwe kwenye mahama hizo, natena nasema na sisi ni rahia wa nchi hii.
Kama ni mwanafunzi basi DS imekuvuruga, kama ni wale akina nanii basi u-feminist utakumaliza!!! play your part we mama acha lawama hakunaga usawa duniani!!Sijui nianze vipi, lakini kwa ufupi kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu sisi wanawake wa tanzania nasema kwa niaba ya wengi tumechoka na mfumo dume.
Kila mahali unaenda unakuta midume imejitutumuaaaaaa, mara miruzi mara weweeeeeeeee tumechoka aaaaaaaaah.
Haya tuanze na majumbani mwetu, kila kitu kipaumbele anapewa mwanaume. Shule yeye, urithi yeye, nyumba yeye.
Tukija makazini hivyo hivyo, tunafanywa kama vitu, hupati kazi mpaka utangulize kitu. jamani tumechoka.
Tukija katika uchumi, tunadhalisha sana lakini hatuthaminiwi juzi shangazi yangu karudi nyumani kakuta mjomba kauza mazao yote aliyolima.
Tumejaribu tumeshaweza kuwa na benki yetu, maana nyungine zimekuwa zikitunyanyapa hazijui mahitaji yetu. Kutokana na malaamiko yaliyomo vyuoni tunataka chuo chetu kikuuu tusinyanyaswe kijinsia na mijibaba mikware yenye kutoka udenda ionapo mwanamwali.
Bado kwenye nafasi za uongozi za nchi hii tumesahauliwa tunadharauliwa sana. Historia ambayo imepindishwa kuhusu uhuru wa nchi hiii ni budi sasa iandikwe upya, sisi tulishiriki kwa hali na mali zaidi tena zaidi kupigania uhuru wa nchi hii, tulikuwa wahamasishaji wakubwa mikoani kuanzia usangi mpaka uyole. Mtwara mpaka Ngara. Kama si wanawake wa nchi hii usingepatikana.
Kwa kumalizia ni haki katika nchi hii, sisi kinamama wa nchi hii mifumo ya mahakama imejaa mfumo dume tunaonewa mahakamani hatupati haki, ni wakati sasa na sisi wanawake tupate mahakama zetu. Mashauri yote ya kinamama na yanausisha wanawake yapelekwe kwenye mahama hizo, natena nasema na sisi ni rahia wa nchi hii.
Mie nitoe humoo, Mwanaume ndo kiongozi wa mwanamke. .
Mmmh!! binafsi mtoa mada naomba niwe tofauti nawe kwa namna fulani. Kwa sasa sehemu kubwa ya mfumo dume imebaki kihisia zaidi. wanawake tumeachiwa tufanye sawa sawa na wanaume, tumesoma shule mchanganyiko na tumefanya mtihani mmoja wa taifa, kazi tunaomba wote mwenye kupata anapata awe me au ke, siasa tupo hutukatazwi ukijua kuuza maneno kauze, kuna sehemu nyingi za kutetea wanawake kama TGNP, USTAWI WA JAMII, chama cha wanasheria wanawake n.k SASA tunataka nini zaidiiiiiiii?????????????
Siku hizi wanawake tunaheshimika hata tupitapo kwa kuwa hata wanaume wanajua wanawake wanauwezo kama wakiamua, kuna wakurugenzi, mameneja wangapi wanawake siku hizi. hapana nafasi tunayo bhana.
Nachelea kusema sina mgogoro na mfumo dume, nimeingia sehemu nyingi ambazo zina wanaume lakini nahudumiwa kwa haki, mimi hicho kibank cha wanawake hata sinaga habari nacho. na uanamke wangu na FIGHT CRDB, NMB, ACB
na nafanikiwa bila hongo hata sh kumi.
SORRY NI MTAZAMO TU.
Nimekupenda bureeeeee kim nanahivi una mchumba wewe`au yapo madowezi tuMie nitoe humoo, Mwanaume ndo kiongozi wa mwanamke. .