Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Nimekupenda bureeeeee kim nanahivi una mchumba wewe`au yapo madowezi tu
Kwa sentesi hiyo wewe inaonekana umetoka kwenye familia yenye maadili bora sana
Sijui nianze vipi, lakini kwa ufupi kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu sisi wanawake wa tanzania nasema kwa niaba ya wengi tumechoka na mfumo dume.
Kila mahali unaenda unakuta midume imejitutumuaaaaaa, mara miruzi mara weweeeeeeeee tumechoka aaaaaaaaah.
Haya tuanze na majumbani mwetu, kila kitu kipaumbele anapewa mwanaume. Shule yeye, urithi yeye, nyumba yeye.
Tukija makazini hivyo hivyo, tunafanywa kama vitu, hupati kazi mpaka utangulize kitu. jamani tumechoka.
Tukija katika uchumi, tunadhalisha sana lakini hatuthaminiwi juzi shangazi yangu karudi nyumani kakuta mjomba kauza mazao yote aliyolima.
Tumejaribu tumeshaweza kuwa na benki yetu, maana nyungine zimekuwa zikitunyanyapa hazijui mahitaji yetu. Kutokana na malaamiko yaliyomo vyuoni tunataka chuo chetu kikuuu tusinyanyaswe kijinsia na mijibaba mikware yenye kutoka udenda ionapo mwanamwali.
Bado kwenye nafasi za uongozi za nchi hii tumesahauliwa tunadharauliwa sana. Historia ambayo imepindishwa kuhusu uhuru wa nchi hiii ni budi sasa iandikwe upya, sisi tulishiriki kwa hali na mali zaidi tena zaidi kupigania uhuru wa nchi hii, tulikuwa wahamasishaji wakubwa mikoani kuanzia usangi mpaka uyole. Mtwara mpaka Ngara. Kama si wanawake wa nchi hii usingepatikana.
Kwa kumalizia ni haki katika nchi hii, sisi kinamama wa nchi hii mifumo ya mahakama imejaa mfumo dume tunaonewa mahakamani hatupati haki, ni wakati sasa na sisi wanawake tupate mahakama zetu. Mashauri yote ya kinamama na yanausisha wanawake yapelekwe kwenye mahama hizo, natena nasema na sisi ni rahia wa nchi hii.
We si hunitakii....unajua nini Bonge nilisoma kitabu fulani hivi kinaitwa haki za wanawake katika uislamu, kimenifungua Sanaa...
Watu lazima wajue kuna usawa na kufanana kwa haki...mfano Kimaumbile wanawake tunajulikana walaini, kama kuna task ya kunyanyua chuma kwa umbali wa mita 200, Tuki apply usawa basis huyu mwanaume mkakamavu na mwanamke mlaini watanyanyua umbali ule ule,
Tukiapply kufanana kwa haki basi huyu mwanamke atanyanyua kwa kiasi cha nguvu zake, na mwanaume pia vile vile...
Mimi naamini katika kufanana kwa haki, kwa sababu kimaumbile hatufanani, hayo mambo ya haki sawa sikubaliani nayooo....
Na ukichunguza kwa makini kelele za mfumo dume na haki sawa zilianza baada ya mapinduzi ya viwanda ili kuwatoa wanawake majumbani wakafanye kazi viwandani kuziba nafasi za wanaume ambao walikuwa wajeuri katika kudai haki zao, migomo kila kukichaa...wanawake tunajulikana waoga tusingeweza kuleta vuruguu...
Sa hivi naona aibuuu, ntakujibu keshoo...
Sijui nianze vipi, lakini kwa ufupi kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu sisi wanawake wa tanzania nasema kwa niaba ya wengi tumechoka na mfumo dume.
Kila mahali unaenda unakuta midume imejitutumuaaaaaa, mara miruzi mara weweeeeeeeee tumechoka aaaaaaaaah.
Haya tuanze na majumbani mwetu, kila kitu kipaumbele anapewa mwanaume. Shule yeye, urithi yeye, nyumba yeye.
Tukija makazini hivyo hivyo, tunafanywa kama vitu, hupati kazi mpaka utangulize kitu. jamani tumechoka.
Tukija katika uchumi, tunadhalisha sana lakini hatuthaminiwi juzi shangazi yangu karudi nyumani kakuta mjomba kauza mazao yote aliyolima.
Tumejaribu tumeshaweza kuwa na benki yetu, maana nyungine zimekuwa zikitunyanyapa hazijui mahitaji yetu. Kutokana na malaamiko yaliyomo vyuoni tunataka chuo chetu kikuuu tusinyanyaswe kijinsia na mijibaba mikware yenye kutoka udenda ionapo mwanamwali.
Bado kwenye nafasi za uongozi za nchi hii tumesahauliwa tunadharauliwa sana. Historia ambayo imepindishwa kuhusu uhuru wa nchi hiii ni budi sasa iandikwe upya, sisi tulishiriki kwa hali na mali zaidi tena zaidi kupigania uhuru wa nchi hii, tulikuwa wahamasishaji wakubwa mikoani kuanzia usangi mpaka uyole. Mtwara mpaka Ngara. Kama si wanawake wa nchi hii usingepatikana.
Kwa kumalizia ni haki katika nchi hii, sisi kinamama wa nchi hii mifumo ya mahakama imejaa mfumo dume tunaonewa mahakamani hatupati haki, ni wakati sasa na sisi wanawake tupate mahakama zetu. Mashauri yote ya kinamama na yanausisha wanawake yapelekwe kwenye mahama hizo, natena nasema na sisi ni rahia wa nchi hii.
We si hunitakii....unajua nini Bonge nilisoma kitabu fulani hivi kinaitwa haki za wanawake katika uislamu, kimenifungua Sanaa...
Watu lazima wajue kuna usawa na kufanana kwa haki...mfano Kimaumbile wanawake tunajulikana walaini, kama kuna task ya kunyanyua chuma kwa umbali wa mita 200, Tuki apply kufanana kwa haki basis huyu mwanaume mkakamavu na mwanamke mlaini watanyanyua umbali ule ule,
Tukiapply usawa basi huyu mwanamke atanyanyua kwa kiasi cha nguvu zake, na mwanaume pia vile vile...
Mimi naamini katika usawa na si kufanana kwa haki, kwa sababu kimaumbile hatufanani, na bahat mbaya hao wanaharakati wanachanganya usawa na kufanana kwa haki....hayo mambo ya haki sawa sikubaliani nayooo....
Na ukichunguza kwa makini kelele za mfumo dume na haki sawa zilianza baada ya mapinduzi ya viwanda ili kuwatoa wanawake majumbani wakafanye kazi viwandani kuziba nafasi za wanaume ambao walikuwa wajeuri katika kudai haki zao, migomo kila kukichaa...wanawake tunajulikana waoga tusingeweza kuleta vuruguu.
sasa jambo LA kujiuliza ni link Bepari amewahi kuumizwa na matatizo ya watu badala ya kuwaza faida....kuna watu wanafaidika nyuma ya kelele hizi za mfumo dume na haki sawa
wanataka wabebwe ndo wazione fursa, mimi sipendi kuona mwanamke analalama kila kitu, hebu na sisi tuonyeshe uwezo,natolea tu mfano mdogo, ukija humu jf ukiingia majukwaa kama sayansi na tech, siasa, biashara, wanawake ni wachache, ila ukiingia kule kwenye mapenzi wamejaaa hakianani hakuna post inayowapita
Will Durant ktk mjadala mrefu anasema msichana ambaye sofa yake kubwa ni elimu na uwezo mkubwa wa kufikiri tu, lakini hana ucheshi wa asili na ujanja wenye akili kidogo haelekei kufanikiwa kupata mume...Anasema asilimia 60 ya wanawake wenye elimu ya chuo kikuu hubaki bila waume....
Amesema mwanamke mmoja mashuhuri na msomi alilalamika kuwa hakuna aliye tayari kumuoa, alikuwa a asema "Ninaweza kuwa mke bora kuliko wengine. lakn bado wanawake wasio na elimu na umuhimu wowote kijamii wanaolewa, Mimi sitafutwi"
Hapa inaonekana hali ya kuvunjika moyo kwa mwanamke huyu ni tofauti na mwanaume yoyote. analalamka kwa nn hakuna mwanaume anayempenda
Me hhvunjika moyo pale tu ambapo anakuwa hawez kupata mwanamke chaguo lake au anamtaka lakin anashindwa kumpata...
Hisia za mwanamke na mwanaume zimepangwa hivi kwa makusudio maalum ya kuufanya muungano wa mke na mume uwe mzuri zaidi, imara na wenye furaha zaidi.