Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Hii battle siiwezi ila kwa uongozi bora tunyimwe tu sasa mtu kama hawa ghasia anaongeaga nini au anatenda nini jamani?
Hii battle siiwezi ila kwa uongozi bora tunyimwe tu sasa mtu kama hawa ghasia anaongeaga nini au anatenda nini jamani?
Mwenzenu kajikakamua kampiga mziwanda
wanataka wabebwe ndo wazione fursa, mimi sipendi kuona mwanamke analalama kila kitu, hebu na sisi tuonyeshe uwezo,natolea tu mfano mdogo, ukija humu jf ukiingia majukwaa kama sayansi na tech, siasa, biashara, wanawake ni wachache, ila ukiingia kule kwenye mapenzi wamejaaa hakianani hakuna post inayowapita
au ubabe kama wa makinda unategemea nani atakupa uongozi, yani aisee wanawake we still have a long way to go, kwanza tubadilike sisi
Hii battle siiwezi ila kwa uongozi bora tunyimwe tu sasa mtu kama hawa ghasia anaongeaga nini au anatenda nini jamani?
Mwanamke hapaswi kushindana na Mwanamume na Mwanamume hapaswi kushindana na Mwanamke.
Go figure....
Fikra zako zidumuMie nitoe humoo, Mwanaume ndo kiongozi wa mwanamke. .
Wewe una akili sana. UbarikiweHii battle siiwezi ila kwa uongozi bora tunyimwe tu sasa mtu kama hawa ghasia anaongeaga nini au anatenda nini jamani?