Sipingi wala kuzuia serikali kufanya kazi yake ila kuna mambo yanachefua na kuudhi kama sio kufedhehesha unapochota maji kisimani kwenda kumwaga mtoni kwa kigezo kwamba maji ya mto yanafaidisha wengi kwa kuwa yanatiririka ila ya kisima yanamfaidisha mmiliki tu!
Diamond anastahili kupewa ruzuku kabisa, tujiulize ni utitiri wa watu wangapi anaowalipa mshahara,ambao serikali imeshindwa kuwaajiri, ana contribute kiasi gani kwenye uchumi wa nchi kupitia sanaa yake?
Serikali kupitia vyombo vyake vya usimamizi na ukusanyaji wa mapato ni kwa namna gani wameweza kukusanya mapato kupitia kampuni na taasisi zinazozalisha kwa kiwango kikubwa na ni vipi wametumia mapato husika?
Kaanza lini Music? Na Tra wameanza lini ......👎