Nasari aende bungeni? Mnachekesha nyie!! Mfarijini na mumsaidie namna ya kurudisha madeni aliyokopa kwa ajili ya kampein! Otherwise tunaweza tukampoteza kwa presha baada ya kutangazwa kuwa kushindwa kwa asilimia kubwa sana!!
Vipi na wewe upo kwenye timu ya uchakachuaji? Au wale vijana nao mmefanikiwa kuwapa vituo vya kupigia kura? Huko kujiamini kunatoka wapi? Si ungengoja matokeo au?