Give it up!Sawa.Mimi najua waenda Dodoma ila kumbuka kale kamama kanabinyua mdomo kanakupa saizi yako. Usipokua makini unaweza kumkata ngumi 'before sakamombya' so b careful. Sawa? All the best!
Nasari
aende bungeni? Mnachekesha nyie!! Mfarijini na mumsaidie namna ya
kurudisha madeni aliyokopa kwa ajili ya kampein! Otherwise tunaweza
tukampoteza kwa presha baada ya kutangazwa kuwa kushindwa kwa asilimia
kubwa sana!!
Masikini Sioi atarudishaje madeni na ataitunzaje familia oooh poor.Nasari aende bungeni? Mnachekesha nyie!! Mfarijini na mumsaidie namna ya kurudisha madeni aliyokopa kwa ajili ya kampein! Otherwise tunaweza tukampoteza kwa presha baada ya kutangazwa kuwa kushindwa kwa asilimia kubwa sana!!
Hahahah...umenifurahisha sana. Kuna chama ambacho wakipanda majukwaani badala ya kumnadi mgombea wao na kuonyesha watawafanyia nini wananchi kazi yao ni kuwahamasisha wananchi kulinda kura!!!Yamebaki masaa machache tusikie kauli hizi, "wameiba kuraa!" "kamanda tusikubali mpaka kieleweke" "mwisho wao 2015"
hii ni kwasababu kuna udhaifu mkubwa umeanza kujionesha upande mmoja wa mapambano!
Sawa.Mimi najua waenda Dodoma ila kumbuka kale kamama kanabinyua mdomo kanakupa saizi yako. Usipokua makini unaweza kumkata ngumi 'before sakamombya' so b careful. Sawa? All the best!
akili yako kama avatar yako....akili kama za lusindeHahahah...umenifurahisha sana. Kuna chama ambacho wakipanda majukwaani badala ya kumnadi mgombea wao na kuonyesha watawafanyia nini wananchi kazi yao ni kuwahamasisha wananchi kulinda kura!!!
Aende bungeni ni kwa shangazi yake huko? Atapaskia tu. Kwanza mchangieni mjinga mwenzenu kununua viatu. kachoka hajiwezi ndo mnataka awe mbunge. Hivi chadema mna laana nyie???
Hakyamungu!!!
Joshua ungenza kufanya mazoezi ya kile kiapo cha Bunge.Maana kwa takribani wiki tatu neno peopleees! Limekukaa sana mdomoni usije maliza kiapo chako ukatia neno peopleeees! Bure, halafu bibie pale mjengoni akakupiga Ban
Aende bungeni ni kwa shangazi yake huko? Atapaskia tu. Kwanza mchangieni mjinga mwenzenu kununua viatu. kachoka hajiwezi ndo mnataka awe mbunge. Hivi chadema mna laana nyie???