NASA ARTEMIS: Marekani kurudi tena mwezini

Axel Lloyd

JF-Expert Member
Sep 10, 2017
4,169
9,498
Mpango wa anga za mbali maalum kwa ajili ya uchunguzi wa mwezi ujulikanao kama Artemis upo mbioni kukamilika.

Mpango huu unahusisha ushirikiano na mataifa mbalimbali ikiwemo EU,Canada huku Africa tukiwakilishwa na Afrika kusini. Pia unahusisha mashirika na makampuni binafsi kama space X,Air bus na kampuni nyinginezo.

Tarehe 29 mwezi huu (siku ya jumatatu) chombo kitachobeba wanaanga kiitwacho SLS (kwenda mwezini) kitafanyiwa majaribio.

SLS ndo roketi yenye nguvu zaidi kuwahi kutengenezwa na NASA.

Tizama hapa chini kuelewa zaidi kuhusu program hii



Mission ya kurudi tena mwezini inatarajia kufanyika mwaka 2024.
JamiiForums1540920449.jpg



HATIMAE Leo 16/11/2022. SLS imefanikiwa kuruka

 
Hivi hizo parts zinazoachia na kubaki nyuma baada ya kufika uko juu huwa yanaanguka chini?
Zinaangukia baharini then zinakuarecovered na Meli halafu baadae zinakua refurbished zinatumika tena. Kumbuka kutengeneza hayo madude ni gharama sana.

Mfano rocket za space X zinatumika mara nyingi,na kuzifanya kua cheap ndo maana nchi nyingi sasa hivi zinaingia mikataba na Space X ili kurusha satellite zao kupitia space X's rockets.
 
wakati sisi bado tunahangaika na TOZO ili tujenge madaraja, kununua madawa na madawati na kujenga mashimo ya vyoo katika shule za msingi...wenzetu...aisee !!
 
Huku kwetu africa bado tubahangaika kuhamasishana kujenga vyoo vya shule na wanaume kufanyiwa tohara.
 
Na ana project yake ya Hyperloop. Huyu jamaa ni genius sana
Elon ni "smart businessman" lakini sio "genius" kama Media inavyo muonyesha.

Jinsi capitalism ilivyo, kwa capital kubwa aliyonayo Musk, anaweza take credit ya kila idea itakayokuwa proposed kwake.

Ni sawa na kumuita Steve Jobs "genius" kwa kutengeneza iPhone.
 
Leo ndio Leo,

Fuatilia hapa LIVE,SLS inakua fueled muda huu baadae kidogo itarushwa

 
mwezi ni gaseous plasma, is non landable. Hakuna binadamu aliwahi kutua mwezini na haitatokea atue mwezini. Kama mtu bado unaamini eti wamarekani walitua mwezini, wewe ni mgonjwa wa akili na elimu uliyonayo haijakusaidia chochote. Ushahidi upo wazi hata kwa kugoogle tu utaupata.

moon landing was just a movie in a theater, Albert Brocoli alijaribu kuwaonyesha wanadamu kuwa moon landing was feki alipotengeneza james bond movie akaiiita Diamonds are forever (1971) mwanzoni mwa movie. Mazingira ya mwanzoni kabisa, he sent a message.

NASA is an instrument used to inflict fear and control the civilization.
 
mwezi ni gaseous plasma, is non landable. Hakuna binadamu aliwahi kutua mwezini na haitatokea atue mwezini. Kama mtu bado unaamini eti wamarekani walitua mwezini, wewe ni mgonjwa wa akili na elimu uliyonayo haijakusaidia chochote. Ushahidi upo wazi hata kwa kugoogle tu utaupata.

moon landing was just a movie in a theater, Albert Brocoli alijaribu kuwaonyesha wanadamu kuwa moon landing was feki alipotengeneza james bond movie akaiiita Diamonds are forever (1971) mwanzoni mwa movie. Mazingira ya mwanzoni kabisa, he sent a message.

NASA is an instrument used to inflict fear and control the civilization.
Sawa
 
Back
Top Bottom