Naomba mission ya Artemis II kesho isifanikiwe

Naomba mission ya Artemis II kesho isifanikiwe

loose Nut

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2025
Posts
2,274
Reaction score
5,210
Binadamu ni kiumbe mchoyo sana.

Kesho tarehe moja April 2026 chombo chenye nguvu cha shirika la anga za juu Marekani NASA Artemis 2 kitaipeleka Orion capsule kuizunguka mwezi na kurudi duniani.

Wanaanga wanne watakuwa kwenye hiyo "mishen" mwanamke mmoja pamoja na nigger mwenzetu ambaye atakuwa rubani ambalo ni jambo la kupendeza kwa matumbi.

Screenshot_20260331_183601_Gallery.jpg


Ila kwa upande wangu naomba hiyo mishen isifanikiwe chombo kisiwake.

Huwezi ukatumia usd billion 40 kwenda kuzunguka mwezini. Wakati Binadamu wenzako wanashinda na kufa kwa njaa. Hii siyo sawa kabisa.

Namsifu sana waziri mkuu wa Uhispania ambaye anachukizwa na mambo kama haya ya kutumia pesa na rasilimali hovyo hovyo ambapo wangeeleza hizo rasilimali kuinua na kuboresha ubinadamu.

Mijitu yenyewe haimini Mungu. Mungu kawapa maarifa kiduchu tu wanajiona kila kitu. Basi kama wao ni genius wazuie kifo na uzee.

Ukichunguza hilo lichombo limetengenezwa na madini adimu kutoka nchi maskini wanaodhulumiwa rasilimali zao.

Hiyo mishen kesho isifanikiwe tu hao wanaanga wapewe majukumu mengine. Hakuna jipya wanaenda kugundua ama kuvumbua.

Screenshot_20260331_183819_Chrome.jpg


Senior JF human rights activists and philanthropist
 
Pia watala wa Saudi Arabia watakuja kujibu kwa Mungu. Unawezaje kumlipa mchezaji mpira Ronaldo nusu million kwa siku wakati Gazza Sudan Kongo nk watu wanakufa na njaa?

Trump na Netanyahu licha ya kuwapenda ila uvumilivu unatushinda. Mnaanzisha vita ambavyo siyo halali na kusababisha upotevu wa uhai na uchumi.

Hii haikubali asee
 
Pia watala wa Saudi Arabia watakuja kujibu kwa Mungu. Unawezaje kumlipa mchezaji mpira Ronaldo nusu million kwa siku wakati Gazza Sudan Kongo nk watu wanakufa na njaa?

Trump na Netanyahu licha ya kuwapenda ila uvumilivu unatushinda. Mnaanzisha vita ambavyo siyo halali na kusababisha upotevu wa uhai na uchumi.

Hii haikubali asee
Dogo unatema nondo za kiungwana kama kama Dalai Lama.
 
Binadamu ni kiumbe mchoyo sana.

Kesho tarehe moja April 2026 chombo chenye nguvu cha shirika la anga za juu Marekani NASA Artemis 2 kitaipeleka Orion capsule kuizunguka mwezi na kurudi duniani.

Wanaanga wanne watakuwa kwenye hiyo "mishen" mwanamke mmoja pamoja na nigger mwenzetu ambaye atakuwa rubani ambalo ni jambo la kupendeza kwa matumbi.

View attachment 3565208

Ila kwa upande wangu naomba hiyo mishen isifanikiwe chombo kisiwake.

Huwezi ukatumia usd billion 40 kwenda kuzunguka mwezini. Wakati Binadamu wenzako wanashinda na kufa kwa njaa. Hii siyo sawa kabisa.

Namsifu sana waziri mkuu wa Uhispania ambaye anachukizwa na mambo kama haya ya kutumia pesa na rasilimali hovyo hovyo ambapo wangeeleza hizo rasilimali kuinua na kuboresha ubinadamu.

Mijitu yenyewe haimini Mungu. Mungu kawapa maarifa kiduchu tu wanajiona kila kitu. Basi kama wao ni genius wazuie kifo na uzee.

Ukichunguza hilo lichombo limetengenezwa na madini adimu kutoka nchi maskini wanaodhulumiwa rasilimali zao.

Hiyo mishen kesho isifanikiwe tu hao wanaanga wapewe majukumu mengine. Hakuna jipya wanaenda kugundua ama kuvumbua.

View attachment 3565209

Senior JF human rights activists and philanthropist
Tafuta zako usaidie binadamu unavyotaka, usiwapangie wengine jinsi ya kutumia zao.
 
Nilipoona kwamba kwa siku 1 Astronaut mmoja anatumia takriban milioni 50 (dola 25,000) nikachoka kabisa
 
Trump na Netanyahu licha ya kuwapenda ila uvumilivu unatushinda. Mnaanzisha vita ambavyo siyo halali na kusababisha upotevu wa uhai na uchumi.
Subiri ndugu zako wa vijijini kesho waombe na ya kutolea baada ya EWURA kutusherehesha
Na wewe huko yule bibi akakutafutie kazi hata za kuosha vizee maana hali imekuwa sio hali

1774979256548.png
 
Mkuu misheni sucess, naona dua lako limefeli,

To dare means to do, Inawezekana hii mission yao ikafungua milango mingine kabisa ya uchunguzi kuhusu anga za mbali, acha pesa itumike kufanya tafiti ambazo zitaleta majibu ya changamoto ambazo zinatukabili
 
Pia watala wa Saudi Arabia watakuja kujibu kwa Mungu. Unawezaje kumlipa mchezaji mpira Ronaldo nusu million kwa siku wakati Gazza Sudan Kongo nk watu wanakufa na njaa?

Trump na Netanyahu licha ya kuwapenda ila uvumilivu unatushinda. Mnaanzisha vita ambavyo siyo halali na kusababisha upotevu wa uhai na uchumi.

Hii haikubali asee
Saudi hakuna Mungu pale, watu wandanganywa
 
Tafuta zako usaidie binadamu unavyotaka, usiwapangie wengine jinsi ya kutumia zao.
Hata raia wa Marekani wanalalamika kua wana maisha magumu,hawana Health Insurance ila hela zao za tax zinaenda Israel na kwenye matumizi ya vita kuua watu wasio na hatia.
 
Binadamu ni kiumbe mchoyo sana.

Kesho tarehe moja April 2026 chombo chenye nguvu cha shirika la anga za juu Marekani NASA Artemis 2 kitaipeleka Orion capsule kuizunguka mwezi na kurudi duniani.

Wanaanga wanne watakuwa kwenye hiyo "mishen" mwanamke mmoja pamoja na nigger mwenzetu ambaye atakuwa rubani ambalo ni jambo la kupendeza kwa matumbi.

View attachment 3565208

Ila kwa upande wangu naomba hiyo mishen isifanikiwe chombo kisiwake.

Huwezi ukatumia usd billion 40 kwenda kuzunguka mwezini. Wakati Binadamu wenzako wanashinda na kufa kwa njaa. Hii siyo sawa kabisa.

Namsifu sana waziri mkuu wa Uhispania ambaye anachukizwa na mambo kama haya ya kutumia pesa na rasilimali hovyo hovyo ambapo wangeeleza hizo rasilimali kuinua na kuboresha ubinadamu.

Mijitu yenyewe haimini Mungu. Mungu kawapa maarifa kiduchu tu wanajiona kila kitu. Basi kama wao ni genius wazuie kifo na uzee.

Ukichunguza hilo lichombo limetengenezwa na madini adimu kutoka nchi maskini wanaodhulumiwa rasilimali zao.

Hiyo mishen kesho isifanikiwe tu hao wanaanga wapewe majukumu mengine. Hakuna jipya wanaenda kugundua ama kuvumbua.

View attachment 3565209

Senior JF human rights activists and philanthropist
Wasifanye mambo yao kwa sababu kuna watu wanashinda njaa?
 
Back
Top Bottom