Narudia tena: Magufuli si wa kuchezea

Mi nilikuwa naziona flyovers kwa majirani zetu Kenya zikipendezesha jiji la Nairobi..nikahisi kwetu ni kitu ambacho hakitakuja tokea na hakiwezekaniki..khaa Jamaa kuingia naona zinachipua kama uyoga..noma sana..kweli kila kitu kinawezekana chini ya jua.
Wapi acha husuda zile kenye sio flyovers in upstairs roads. Unaleta mahaba pole sana, muda utakukumbusha.
 
Mungu yupi? au Mungu wa ccm au wa kabila lenu au wa dini yenu? Kama una maanisha Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo yaani Mungu wa Biblia na hakika na nakuhakikishia zaidi ya 100% siyo yeye. Wewe una maanisha wa kabila lenu au wa chama chenu ccm. Nenda kasome Wafalme, uone wale waliotokana na Mungu kweli ukianzia na Daudi, walipokuwa wakitawala Israel ilikuwa inapatwa na nini? harafu ulinganishe na rais unaemsifia. Kabla hatujafika mbali tu democracy yenyewe tu ni mfumo wa kishetani, sasa rais anayewekwa na mfumo wa kishetani atokane na Mungu kweli?. Acha kabisa kudhihaki jina la Mungu, wee vipi? Franklin Roosevelt 33rd degree member marson na Rais wa 32nd wa Marekeni anasema hivi "Presidents are selected and not elected". So marais wengi huwa hawatokani wa matakwa ya wananchi, kuna kundi dogo tu katika nchi yoyote duniani ndo huwa lina amua nani wampe urais kwa interest zao. So usitake kuleta zako hapa. Unataka kuwa kipofu kama viongozi wa dini wa nchi hii? Toka usingizini na fumbua macho na uyaoshe.
Kuna clip nimeipata, tuombe uzima tu. Watu wamechoka na huu utawala. Watu wapo radhi wafungwe kuliko kunyanyasika.
 
Mungu ndo kakupa taarifa hiyo?

Vipi Mkapa, Nyerere, Mwinyi, na Kikwete wao kakwambia walikuwa ni chaguo la shetani?
Unashangaa, Huyo jamaa ni vibaraka wa sisiem wanaojikomba ili wapate vyeo. Kuna clip nimeipata nitairusha, muda ukifika. Watu wamechoka na huu utawala. Inasikitisha sana
 
[HASHTAG]#Magufuli[/HASHTAG] ni chaguo la Mungu, hawezi kwamishwa na waropokaji...
 
Kuelekea shimoni..we hujui ilifikia hatua serikali inashindwa kuwalipa wafanyakazi ikabidi kina bakhresa na wafanyabiashara wengine wakubwa ndio waifanye kazi hiyo kwa makubaliano maalum na serikali..inawezekana humu wengi wenu mlikuwa hamjui nchi ilikuwa inakwenda wapi..tunaojua haya ni wachache ndio tunawaambia kila siku acheni mihemko nyie wazungusha mikono na viuno..hata sie pia tulikuwa upinzani ila tumeliacha tingatinga litengeneze barabara kwenye msitu..
Bora ukose mali lakini sio akili
 
Kweli mtu huyu si wamchezo.
Alivyoshindwa yeye kubeba msalaba wake mwenyewe hadi akaomba msaada lkn anawambia wananchi wake wanyonge wabebe msalaba wao?
Kweli hakuna mtu hapa, twafaaaa
 
Ha
Angekuwa ameandaliwa na Mungu tumjuaye sisi asingebagua wala kuendesha serikali kwa CHUKI,VISASI na UBAGUZI
Kila MTU anauwezo wake wa kufikiri hakuna ubaguzi wowote unaofanywa. Ila wewe amini hivyo . Ni haki yako .
 
Mi nilikuwa naziona flyovers kwa majirani zetu Kenya zikipendezesha jiji la Nairobi..nikahisi kwetu ni kitu ambacho hakitakuja tokea na hakiwezekaniki..khaa Jamaa kuingia naona zinachipua kama uyoga..noma sana..kweli kila kitu kinawezekana chini ya jua.
Masikini weee! kumbe ndiyo ujinga tulionao siku zote tukifikiri barabara ile imegharimiwa na serikali. Kwa taarifa yako serikali haijachangia hata sentí moja kwenye fly over ule ni msaada kwa serikali ya Japan
 
Back
Top Bottom