Gullam
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 5,240
- 3,931
Wapi acha husuda zile kenye sio flyovers in upstairs roads. Unaleta mahaba pole sana, muda utakukumbusha.Mi nilikuwa naziona flyovers kwa majirani zetu Kenya zikipendezesha jiji la Nairobi..nikahisi kwetu ni kitu ambacho hakitakuja tokea na hakiwezekaniki..khaa Jamaa kuingia naona zinachipua kama uyoga..noma sana..kweli kila kitu kinawezekana chini ya jua.