Narudia tena: Magufuli si wa kuchezea

Kazi ya Brother Magu ni kumtoa 'Mzee Bure' kwny Vichwa vya Wendawazimu wanaodhani Kazi ya Serikal ni kuwalisha na kuwavisha Wazembe walsiofanya Kazi
 
Wanabodi wanajamii na watanzania kwa ujumla, nawasihi kila Siku kwamba namuona Magufuli kwenye sura za akina sokoine, Nyerere, Mkapa, Tumain el Kihwelu, na saa Nyingine ni kama Mrema Wa enzi zile,

Kwanza tumjue Magufuli ni nani,

Magufuli ni rais Wa jamhuri ya muungano Wa Tanzania,

Mambo yapi yanayoonesha magufuli hana utani kazini wala hataki kukwamishwa,

1. Wakati huu mamlaka zimekuwa active zaid kushughulikia wale wakosaji hata kabla ya yeye kutamka lolote maana wanajua akitamka ni mbaya zaid, bora watende kabla hajatamka

2. Magufuli hataki kutoa ahadi za kuridhisha tu , kama haiwezekan ni haiwezekan, fuatilia hotuba zake nyingi,

3. Magufuli ni mtu asiyependa kukwamishwa wala kubishiwa au kumtoa kwenye misingi anayoamini yeye,

4. Hacheki na MTU na hapendi kujaribiwa na hajaribiwagi

5. Upinzani na watu kwa ujumla wapo.kimya na wanachunguza maneno kabla hawajasema, imekuwa kama mwalimu nyerere vile, ukisema vibaya au kukashfu uko mikononi

6. Wala rushwa na wabadhirifu wanahaha wanashindwa wafanye nini kila kukicha maana njia zote kazibana

7. Magufuli ameweza kuelekeza hela za rambirambi bukoba zifanye mambo ya jamii ya bukoba na hakuna Wa kuhoji wanahoji chini chini,

8. Magufuli anania njema na Tanzania hivyo ukitaka kuleta ujinga tutakutunza sehem Salama kwanaza

9. Magufuli ndo kafanya Maalim seifu kukaa kimya na kuishia kujifariji kuwa kesi iko ICC, na kakataza fyokofyoko.

10. Magufuli ndo kafanya mnyika, mdee na wengine kukaa kimya maana utawala huu hauhitaji ujinga,

11. Magufuli ndo amesababisha Tanzania kujulikana upya uku Nje tulipo na kutambulika sana kama nchi yenye heshima,

12. Kama humjuhi magufuli hebu jaribu kumjaribu maana hata thread nyingi zinafutwa na mods kwa kuogopa,

13. Magufuli kafanya shilling ithaminiwe tena hakuna tip tena kwenya hoteli na bar

14. Mi namuona Magufuli kama MTU sahihi kuongoza nchi ambayo ilikuwa imepinda ,


Dah Magufuli!!!!!!!!!!!
Hayo ni maoni yako. Ulichokosea ni kumfananisha Mhe Magufuli na Baba wa Taifa na Sokoine. Sidhani ulikuwa makini na nina wasiwasi kuwa hukumaansha.
 
Mungu huyo siyo yule tumwaminiwe sisi wanyonge.mungu huyu ni wa kwako na yeye tu.Hakuna Mungu wa Visasi, chuki au ubaguzi.Msitudanganye na Mungu yenu mnayoijua wenyewe
Visasi kwa waliofikisha Tanzania kuendelea kuwa maskini, pamojana utajiri, ruksha.

Utawala huu hakuna cha Tume panapokuwa na maovu. Kamata na kumfikisha kwenye vyombo vya sheria au ondoa madarakani
 
Tukiwapa hizo hela za maafa hawatahitaji tena Huduma za serikali..ni sawa na mgeni kaja kwenu akampa mzazi wako hela ili akupatie ya kutumia shule..hivi mzazi akikununulia viatu utanuna?? Hutavivaa sababu ulitaka ukanunue bazoka au chostic au goodgood?? Je ukipewa hiyo pesa ndio itakuwa mwisho wa mahitaji yako kwa Mzee wako??
Hivi unafahamu kila mwaka serikali inatenga bajeti ya mfuko wa maafa??? Hizo hela hazijatumika popote pale

wameshasepa na fedha za misaada iliyotelewa. Ningewashauri hao waliobakiza kutoa hizo bili 4.5 wasitoe wakafanyie mambo yao.
CCM na ujambazi ni kama Chapati na chai
 
Mungu huyo siyo yule tumwaminiwe sisi wanyonge.mungu huyu ni wa kwako na yeye tu.Hakuna Mungu wa Visasi, chuki au ubaguzi.Msitudanganye na Mungu yenu mnayoijua wenyewe
Sasa wewe unaamini mungu wenzio tunaamini Mungu ujue kunatofauti. Mungu tunayomwamini sisi ndio tunajua alimwandaa Magufuli kuwa president wa Tanzania. We endelea kuamini mungu wako hakuna atakayekuzuia Tanzania kuna Uhuru wa kuamini na kuabudu ila usitende jinai tu.
 
Sasa wewe unaamini mungu wenzio tunaamini Mungu ujue kunatofauti. Mungu tunayomwamini sisi ndio tunajua alimwandaa Magufuli kuwa president wa Tanzania. We endelea kuamini mungu wako hakuna atakayekuzuia Tanzania kuna Uhuru wa kuamini na kuabudu ila usitende jinai tu.

Angekuwa ameandaliwa na Mungu tumjuaye sisi asingebagua wala kuendesha serikali kwa CHUKI,VISASI na UBAGUZI
 
Tuliosema lowasa ni fisadi ni sisi Mbowe, Lisu, Lema, Mnyika, Msigwa na ushahidi tunao.

Kama Lowasa anabisha atangulie mahakamani
 
Kuna watu awamu ya tano watapoteza umaarufu kupita maelezo. Watasikika wakati wa kampeni za 2020.

JK ni mmoja wa waungwana wa asili. Very gentle kind of trait.
 
Mr President! Hapa kazi tu
Jerry Murro ungerudi tuu kwenye taasnia yako ya zamani ya habari maana ndio hipo vizuri kwa sasa nahisi atang'aa zaidi.....
 
Wanabodi wanajamii na watanzania kwa ujumla, nawasihi kila Siku kwamba namuona Magufuli kwenye sura za akina sokoine, Nyerere, Mkapa, Tumain el Kihwelu, na saa Nyingine ni kama Mrema Wa enzi zile,

Kwanza tumjue Magufuli ni nani,

Magufuli ni rais Wa jamhuri ya muungano Wa Tanzania,

Mambo yapi yanayoonesha magufuli hana utani kazini wala hataki kukwamishwa,

1. Wakati huu mamlaka zimekuwa active zaid kushughulikia wale wakosaji hata kabla ya yeye kutamka lolote maana wanajua akitamka ni mbaya zaid, bora watende kabla hajatamka

2. Magufuli hataki kutoa ahadi za kuridhisha tu , kama haiwezekan ni haiwezekan, fuatilia hotuba zake nyingi,

3. Magufuli ni mtu asiyependa kukwamishwa wala kubishiwa au kumtoa kwenye misingi anayoamini yeye,

4. Hacheki na MTU na hapendi kujaribiwa na hajaribiwagi

5. Upinzani na watu kwa ujumla wapo.kimya na wanachunguza maneno kabla hawajasema, imekuwa kama mwalimu nyerere vile, ukisema vibaya au kukashfu uko mikononi

6. Wala rushwa na wabadhirifu wanahaha wanashindwa wafanye nini kila kukicha maana njia zote kazibana

7. Magufuli ameweza kuelekeza hela za rambirambi bukoba zifanye mambo ya jamii ya bukoba na hakuna Wa kuhoji wanahoji chini chini,

8. Magufuli anania njema na Tanzania hivyo ukitaka kuleta ujinga tutakutunza sehem Salama kwanaza

9. Magufuli ndo kafanya Maalim seifu kukaa kimya na kuishia kujifariji kuwa kesi iko ICC, na kakataza fyokofyoko.

10. Magufuli ndo kafanya mnyika, mdee na wengine kukaa kimya maana utawala huu hauhitaji ujinga,

11. Magufuli ndo amesababisha Tanzania kujulikana upya uku Nje tulipo na kutambulika sana kama nchi yenye heshima,

12. Kama humjuhi magufuli hebu jaribu kumjaribu maana hata thread nyingi zinafutwa na mods kwa kuogopa,

13. Magufuli kafanya shilling ithaminiwe tena hakuna tip tena kwenya hoteli na bar

14. Mi namuona Magufuli kama MTU sahihi kuongoza nchi ambayo ilikuwa imepinda ,


Dah Magufuli!!!!!!!!!!!
Na wakati wa kampeni 2020 aendeelee hivyo hivyo
 
Wanabodi wanajamii na watanzania kwa ujumla, nawasihi kila Siku kwamba namuona Magufuli kwenye sura za akina sokoine, Nyerere, Mkapa, Tumain el Kihwelu, na saa Nyingine ni kama Mrema Wa enzi zile,

Kwanza tumjue Magufuli ni nani,

Magufuli ni rais Wa jamhuri ya muungano Wa Tanzania,

Mambo yapi yanayoonesha magufuli hana utani kazini wala hataki kukwamishwa,

1. Wakati huu mamlaka zimekuwa active zaid kushughulikia wale wakosaji hata kabla ya yeye kutamka lolote maana wanajua akitamka ni mbaya zaid, bora watende kabla hajatamka

2. Magufuli hataki kutoa ahadi za kuridhisha tu , kama haiwezekan ni haiwezekan, fuatilia hotuba zake nyingi,

3. Magufuli ni mtu asiyependa kukwamishwa wala kubishiwa au kumtoa kwenye misingi anayoamini yeye,

4. Hacheki na MTU na hapendi kujaribiwa na hajaribiwagi

5. Upinzani na watu kwa ujumla wapo.kimya na wanachunguza maneno kabla hawajasema, imekuwa kama mwalimu nyerere vile, ukisema vibaya au kukashfu uko mikononi

6. Wala rushwa na wabadhirifu wanahaha wanashindwa wafanye nini kila kukicha maana njia zote kazibana

7. Magufuli ameweza kuelekeza hela za rambirambi bukoba zifanye mambo ya jamii ya bukoba na hakuna Wa kuhoji wanahoji chini chini,

8. Magufuli anania njema na Tanzania hivyo ukitaka kuleta ujinga tutakutunza sehem Salama kwanaza

9. Magufuli ndo kafanya Maalim seifu kukaa kimya na kuishia kujifariji kuwa kesi iko ICC, na kakataza fyokofyoko.

10. Magufuli ndo kafanya mnyika, mdee na wengine kukaa kimya maana utawala huu hauhitaji ujinga,

11. Magufuli ndo amesababisha Tanzania kujulikana upya uku Nje tulipo na kutambulika sana kama nchi yenye heshima,

12. Kama humjuhi magufuli hebu jaribu kumjaribu maana hata thread nyingi zinafutwa na mods kwa kuogopa,

13. Magufuli kafanya shilling ithaminiwe tena hakuna tip tena kwenya hoteli na bar

14. Mi namuona Magufuli kama MTU sahihi kuongoza nchi ambayo ilikuwa imepinda ,


Dah Magufuli!!!!!!!!!!!
Unajuwa hili taifa kunawajinga fulani wametutesa sanaaaaa. Kiukweli kumkashifu Magu nisawa nakumtukana mzazi wako alie kusomesha nakukupeleka shule. Magu ametisha 10 years to come hili taifa litakuwa imara sana i wish tupige kura aendelee kuongoza miaka mitano tena kwa dharula japo sidhani kama atakubali
 
80 Reactions
Reply
Back
Top Bottom