Ifahamike kwamba hata Kamishna wa sasa wa TRA alivuliwa hadhi ya ubalozi na Magufuli

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,722
218,286
Hii maana yake ni kwamba Ubalozi si lolote wala chochote kwenye maisha ya Tanzania.

Kumvua Ubalozi Dkt. Slaa zaidi ni kumuongezea Umaarufu na heshima kwa jamii yake , ni sawa na kumvisha nishani kwa mapambano Matukufu dhidi ya wezi wa Bandari zetu.

Kama aliyevuliwa ubalozi na Magufuli ameteuliwa na Rais Samia kuwa Kamishna wa TRA , basi bila shaka hata Dr Slaa naye atateuliwa popote na wengine wanaokuja.

Hakika washauri wa Hangaya wamelenga kumdhalilisha badala ya kumshauri
 
Kama hadhi ya ubalozi ni gharama anayopaswa kuilipa kupokea uhuru wake wa kupambania rasilimali za Tanganyika; tunamuunga mkono.
 
Alphayo Kidata alikuwa balozi kazini (nchini Canada).
Alivuliwa ubalozi na kurejeshwa nyumbani.

Hata hivyo Sept 2019 akateuliwa tena kuwa RAS Mtwara.

Balozi ambae alivuliwa akiwa hayuko kituo cha kazi (amestaafu) miaka ya hivi karibuni ni Prof Costa Mahalu. Alivuliwa na JK

Hata hivyo baada ya kushinda case ya uhujumu uchumi, JPM akamrejeshea hadhi yake ya Ubalozi.
 
Alphayo Kidata alikuwa balozi kazini (nchini Canada).
Alivuliwa ubalozi na kurejeshwa nyumbani.

Hata hivyo Sept 2019 akateuliwa tena kuwa RAS Mtwara.

Balozi ambae alivuliwa akiwa hayuko kituo cha kazi (amestaafu) miaka ya hivi karibuni ni Prof Costa Mahalu. Alivuliwa na JK

Hata hivyo baada ya kushinda case ya uhujumu uchumi, JPM akamrejeshea hadhi yake ya Ubalozi.
umeona hizo sarakasi !

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Hii inaleta picha gani, aliyevuliwa na mwendazake hangaya kampa kitengo TRA na aliyeveshwa na mwendazake hangaya kamvua, kisa kusemwa kuhusu bandari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom