Narudia tena: Magufuli si wa kuchezea

Narudia tena: Magufuli si wa kuchezea

Wapambe wake wamepungua sana cku hizi humu.cjui hali ngumu
Hatujapungua ila hatuzungumzi sana, tumeliacha Jembe letu lifanye kazi.
" Dicteta Mtakatifu "
anachapa kazi bila kuangalia kushoto wala kulia, ukiingia kwenye reli zake hakika umeisha hakuna kuchekacheka ovyo.

Tunataka Raisi mwenye msimamo, hata akikemea Rushwa ukimwangalia usoni anamaanisha.

"Udikteta Mtakatifu" umesaidia sana maendeleo ya nchi za
Mashariki ya Mbali, China na Korea ni mfano wa Nchi hizo.

Raisi lazima awe mtu anayetisha na sio anayeitwa Shemeji na wala madawa ya kulevya.

Kasoro ndogondogo zinaweza kutokea kama binadamu.
Ni bora tuanze moja kuweka misingi ya sheria zitakazo linda maliasiri zetu. Zitakazo pambana na Ufisadi na Rushwa inayokithiri nk.

Sasa hivi tunaendelea kumshawishi mheshiwa Raisi aikubali "Katiba ya Warioba"
Ili tujenge Msingi imara wa nchi yetu.

Na Anaelekea Kuikubali.

Wapambe wake tupo na tunawasikiliza mnavyoongea, kuna sehemu mko sahihi na kuna sehemu mnakosea.
 
Wanabodi wanajamii na watanzania kwa ujumla, nawasihi kila Siku kwamba namuona Magufuli kwenye sura za akina sokoine, Nyerere, Mkapa, Tumain el Kihwelu, na saa Nyingine ni kama Mrema Wa enzi zile,

Kwanza tumjue Magufuli ni nani,

Magufuli ni rais Wa jamhuri ya muungano Wa Tanzania,

Mambo yapi yanayoonesha magufuli hana utani kazini wala hataki kukwamishwa,

1. Wakati huu mamlaka zimekuwa active zaid kushughulikia wale wakosaji hata kabla ya yeye kutamka lolote maana wanajua akitamka ni mbaya zaid, bora watende kabla hajatamka

2. Magufuli hataki kutoa ahadi za kuridhisha tu , kama haiwezekan ni haiwezekan, fuatilia hotuba zake nyingi,

3. Magufuli ni mtu asiyependa kukwamishwa wala kubishiwa au kumtoa kwenye misingi anayoamini yeye,

4. Hacheki na MTU na hapendi kujaribiwa na hajaribiwagi

5. Upinzani na watu kwa ujumla wapo.kimya na wanachunguza maneno kabla hawajasema, imekuwa kama mwalimu nyerere vile, ukisema vibaya au kukashfu uko mikononi

6. Wala rushwa na wabadhirifu wanahaha wanashindwa wafanye nini kila kukicha maana njia zote kazibana

7. Magufuli ameweza kuelekeza hela za rambirambi bukoba zifanye mambo ya jamii ya bukoba na hakuna Wa kuhoji wanahoji chini chini,

8. Magufuli anania njema na Tanzania hivyo ukitaka kuleta ujinga tutakutunza sehem Salama kwanaza

9. Magufuli ndo kafanya Maalim seifu kukaa kimya na kuishia kujifariji kuwa kesi iko ICC, na kakataza fyokofyoko.

10. Magufuli ndo kafanya mnyika, mdee na wengine kukaa kimya maana utawala huu hauhitaji ujinga,

11. Magufuli ndo amesababisha Tanzania kujulikana upya uku Nje tulipo na kutambulika sana kama nchi yenye heshima,

12. Kama humjuhi magufuli hebu jaribu kumjaribu maana hata thread nyingi zinafutwa na mods kwa kuogopa,

13. Magufuli kafanya shilling ithaminiwe tena hakuna tip tena kwenya hoteli na bar

14. Mi namuona Magufuli kama MTU sahihi kuongoza nchi ambayo ilikuwa imepinda ,


Dah Magufuli!!!!!!!!!!!




Stupid people don’t always know that they’re stupid. They might be aware that something is wrong, they might notice that things don’t usually turn out the way they imagined, but very few of them think it’s because of them. That they’re the root of their own problems, so to speak. And that sort of thing can be very difficult to explain.
 
Hakuna nchi hapa duniani nayochagua Rais ili aje kupambana na wananchi wake. Kwa nini unasema Rais si wa kuchezea??? Kwa nini unaandika kama vile Rais kazi yake ni kupambana na wananchi waliomchagua? Stop this moronic thinking already..
 
Wanabodi wanajamii na watanzania kwa ujumla, nawasihi kila Siku kwamba namuona Magufuli kwenye sura za akina sokoine, Nyerere, Mkapa, Tumain el Kihwelu, na saa Nyingine ni kama Mrema Wa enzi zile,

Kwanza tumjue Magufuli ni nani,

Magufuli ni rais Wa jamhuri ya muungano Wa Tanzania,

Mambo yapi yanayoonesha magufuli hana utani kazini wala hataki kukwamishwa,

1. Wakati huu mamlaka zimekuwa active zaid kushughulikia wale wakosaji hata kabla ya yeye kutamka lolote maana wanajua akitamka ni mbaya zaid, bora watende kabla hajatamka

2. Magufuli hataki kutoa ahadi za kuridhisha tu , kama haiwezekan ni haiwezekan, fuatilia hotuba zake nyingi,

3. Magufuli ni mtu asiyependa kukwamishwa wala kubishiwa au kumtoa kwenye misingi anayoamini yeye,

4. Hacheki na MTU na hapendi kujaribiwa na hajaribiwagi

5. Upinzani na watu kwa ujumla wapo.kimya na wanachunguza maneno kabla hawajasema, imekuwa kama mwalimu nyerere vile, ukisema vibaya au kukashfu uko mikononi

6. Wala rushwa na wabadhirifu wanahaha wanashindwa wafanye nini kila kukicha maana njia zote kazibana

7. Magufuli ameweza kuelekeza hela za rambirambi bukoba zifanye mambo ya jamii ya bukoba na hakuna Wa kuhoji wanahoji chini chini,

8. Magufuli anania njema na Tanzania hivyo ukitaka kuleta ujinga tutakutunza sehem Salama kwanaza

9. Magufuli ndo kafanya Maalim seifu kukaa kimya na kuishia kujifariji kuwa kesi iko ICC, na kakataza fyokofyoko.

10. Magufuli ndo kafanya mnyika, mdee na wengine kukaa kimya maana utawala huu hauhitaji ujinga,

11. Magufuli ndo amesababisha Tanzania kujulikana upya uku Nje tulipo na kutambulika sana kama nchi yenye heshima,

12. Kama humjuhi magufuli hebu jaribu kumjaribu maana hata thread nyingi zinafutwa na mods kwa kuogopa,

13. Magufuli kafanya shilling ithaminiwe tena hakuna tip tena kwenya hoteli na bar

14. Mi namuona Magufuli kama MTU sahihi kuongoza nchi ambayo ilikuwa imepinda ,


Dah Magufuli!!!!!!!!!!!
Mtu asiejulikana
 
Ukweli mchungu, kwa kweli tumepata Rais bora sana.. Kuna watu wanasubiri atoke Madarakani ndio waseme tulipata kiongozi bora.. Tunaona Leo vioja vya upinzani kumkumbuka Kikwete wakati walimtukana matusi yote
Miaka yote tangu uhuru Tanzania tumekuwa tukipata marais bora, na wote wanatoka CCM. No complaints. Nashangaa mnaposema JPM ametunyoosha kama vile hao wengine hawakutunyoosha wakati nao walikuwa bora na walitoka chama kile kile. Nyie watu mbona hoja zenu huwa zinapingana pingana???
 
Mungu huyo siyo yule tumwaminiwe sisi wanyonge.mungu huyu ni wa kwako na yeye tu.Hakuna Mungu wa Visasi, chuki au ubaguzi.Msitudanganye na Mungu yenu mnayoijua wenyewe
Mtu asiejulikana
 
Hayo ni maoni yako. Ulichokosea ni kumfananisha Mhe Magufuli na Baba wa Taifa na Sokoine. Sidhani ulikuwa makini na nina wasiwasi kuwa hukumaansha.
Lakini ni kweli kabisa. Marais na viongozi na wanachama wa kutoka CCM wote wanafanana. Hawana tofauti hata kidogo. Wote wanakubaliana kwa kila kitu. They are birds with same feathers..... ndio maana Tanzania ipo hapa ilipo leo. No complaints at all.
 
Mi nilikuwa naziona flyovers kwa majirani zetu Kenya zikipendezesha jiji la Nairobi..nikahisi kwetu ni kitu ambacho hakitakuja tokea na hakiwezekaniki..khaa Jamaa kuingia naona zinachipua kama uyoga..noma sana..kweli kila kitu kinawezekana chini ya jua.
Fly over wakati dawa hamna hospitalini?
 
Kweli baba wataifa chapa kazituu ambae hakutaki hata kama ni mimi kama sikupendi ni hame au ahame kwahio chapa kazi twende mbele hata kwakamba tusonge mbere tutakumpendatu
 
Pengine ww ndio unapesa ila kuna vizee kule vijijini hawana hata mia,hii nchi yetu sote.
Kumbe ishu ni pesa..nilidhani dawa..kutokuwa na pesa sio Tanzania tu..na kila mtu haitatokea awe na pesa..ndio maana wengine wanatibiwa Hindu mandala au agakhan..wengine temeke au mwananyamala..wakati wengine India au SA
 
Back
Top Bottom